Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Well said, utakua umeoa wewe! Na ndoa Yako itakua na Amani, huwezi kukubali mwanamke akulishie family, NEVER EVER, ukikubali Hilo kosa umeisha.Inategemea na mwanaume. Vijana wengi wanapenda kusaidiwa majukumu na mwanamke. Ukiruhusu hili kubali kupoteza upande wa pili wa kuabudiwa na kusujudiwa kama mwanaume na ukikaa vibaya mtapangiana mpaka kazi za ndani kwa zamu.
" Baba juniour leo utasafisha chumba sababu natakiwa nikachukue mzigo nikauze junior apate ada na hicho choo ni kichafu."
Unarudi saa nane usiku halafu hujambebea hata kapaja ka Kuku? Unarudi unamsifia jinsi kitimoto choma ilivyokua NZURI.....dah poleNanuonea huruma mtoto wa watu leo atakavyoenda tukanwa usiku wa manane,,,
Kuishi na janaume levi yataka moyo wa chuma.
Sio suala la kuwa dependent ni utaratibu wa kawaida tu... kwa hiyo familia ikiwa kubwa inabdi wote mchongeshe funguo??Mkuu we have different views, kwetu hakuna hayo mambo kila mtu anapambana na hali yake ndo maana napata wakati mgumu kuelewa kwanini watu wanapenda kuwa so dependent kwa wengine. I just can't. But to each their own.
Hapo kaaga asubhi natoka naenda kutafuta pesa,anarudi kalewa,Unarudi saa nane usiku halafu hujambebea hata kapaja ka Kuku? Unarudi unamsifia jinsi kitimoto choma ilivyokua NZURI.....dah pole
Kabisa mkuu....Ukikubali tu kugawana majukumu yako basi kubali na kupoteza sehemu ya haki zako la sivyo utaandika kila aina ya mada humu kuhusu wanawake. Ts nature, ukipata hapa kubali kupoteza pale.Well said, utakua umeoa wewe! Na ndoa Yako itakua na Amani, huwezi kukubali mwanamke akulishie family, NEVER EVER, ukikubali Hilo kosa umeisha.
Baba atabaki kuwa Baba, nafasi ya Baba haiwezi kuwa compromised hata siku moja, huwezi kumpangia majukumu salary ya mkeo, akipenda afanye kwa Upendo wake tu na si vinginevyo.Kabisa mkuu....Ukikubali tu kugawana majukumu yako basi kubali na kupoteza sehemu ya haki zako la sivyo utaandika kila aina ya mada humu kuhusu wanawake. Ts nature, ukipata hapa kubali kupoteza pale.
Rudi hata na "kifuniko Cha Asali" au hata kilo ya sukari basi, aagh ana haki ya kugomewa kufunguliwa, Mimi nachelewa Kurudi na nafunguliwa kwa bashasha, nakaribishwa dining, nanawishwa mikono, nakaribishwa msosi, anaombea msosi then naandaliwa Maji ya kuoga aagh tukifika chumbani, anasali na ananiombea ndio tunalalaHapo kaaga asubhi natoka naenda kutafuta pesa,anarudi kalewa,
Hii hapana,
sio suala la kuwa dependent ni utaratibu wa kawaida tu... kwa hiyo familia ikiwa kubwa inabdi wote mchongeshe funguo??
Kabisa. Na ukishaoa mke ana hofu ya MUNGU na ambaye kipato ulichonacho ni kingi kwake na kinabaki, nakwambia baada ya MUNGU na wazazi utafata wewe mume wake. Tena wazazi utakuwa na sauti kuliko wao ni vile mzazi ni mzazi huwezi taka kuvimba kuliko yeye, unakuwa humble.Baba atabaki kuwa Baba, nafasi ya Baba haiwezi kuwa compromised hata siku moja, huwezi kumpangia majukumu salary ya mkeo, akipenda afanye kwa Upendo wake tu na si vinginevyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo ni meseji ya kawaida sana kutoka kwa mke wacha utoto wewe dogo wa mwaka 95
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wengi wanaochangia ni kama hawana ndoa na kama wameoa/olewa, ni wale waliozaliwa kuanzia mwaka '92, unaona kabisa wamejawa na Ubeijing
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo message imekaa kidharau dharau flani hivi.eti kuepuka usumbufu, inamaana mtu kurudi nyumbani kwake akagonga mlango ni usumbufu?
Washa makofi huyo akili ikae sawa.
Itakuwa ndiyo hivyo tena mkoa wa Mara!Acha bas yeye ulimuoa akufungulie mlango acha kumchosha Kama ume mshindwa toa namba waungwana wamuondolee uchovu uho maana we hujui kupenda af unaonekana Kama mtu wa kanda ya ziwa ?
Unachelewa ukiwa wapi tuanzie hapo! Mke naye binadamu anahangaika na watoto nyumbani kutwa nzima basi angalau apumzike kidogo, yaani upo kupiga vyombo kama mtoa mada halafu mke akae tu kwa sebule akusubilie kukufungulia mlango kweli? Daa hii sio kabisa .✓ Wakati mwingine funguo inaweza kupotea kisha ikawa msala kwa aliyefungiwa mlango kwa nnje kwa ATHARI zifuatazo;
1. Mke anaweza kuhitaji msaada wa ghafla ikiwa anaumwa na msaada zaidi wa karibu ukawa ni mumewe lakini bahati mbaya mtendao wa simu usiwe vizuri.
2. Anaweza kuzidiwa akashindwa kujikongoja hadi kufungua geti ili apate msaada hata toka kwa Jirani au kwa wapita njia.
✓ "Usumbufu" inamaana kurudi kwa Mumewe ni kero kwake ilihali usikute ni yeye mwenyewe ndiye sababu ya Mumewe kurudi usiku sana home tokana na gubu.
✓ Haiba ya kike huanzaga kuondoka kwa jinsi ujumbe unavyowasilishwa kwa Mumewe kwa lugha isiyo rafiki kimahusiano maana Me yeyote ajitambuaye hupenda utii toka kwa Mke.
✓ Watu wengi wameandika kimuhemuko bila ya kuangalia upande wa Me unasababishwa na ulazima upi hadi awe anamgongea Ke wake kufungua geti.
✓ Me anaweza kuajiri House Girl akawa anatelekeza yote kisha akawa Mke mwenza wa huyo Mke halali wa ndoa sababu ya uvivu wa kijinga.
Wewe huwa unarudi saangapi?[emoji3]Haswa lengo la mtuma meseji ilikuwa ni kusababisha taharuki kwenye ubongo wa mlengwa.