Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Halafu mpaka mwanamke anaamua kulala hiyo itakuwa ni kuanzia kwenye saa 4 usiku na kuendeleaYupo sahihi, huo muda ni wa kukaa na mkeo ndani, we upo bar unapiga vyombo, kisha mwenzio akiwa kapumzika ndio uanze kumsumbua akufungulie mlango
WE KUWEZA?
Hawateseki, wanapenda. Hakuna mwanamke asiyependa ulinzi 100%, mavazi 100%, matibabu 100%, Kupendeza 100%, burudani asilimia 100% n.kNawahurumia wanawake wanaotegemea 100% of their needs from their husband. 99.9% watakuwa wanateseka na kunyanyasika sana
Wapi kaandika anarudi saa 2?Nasema hata baba yangu sijawahi ona akitembe na funguo na either mama au sisi tulikuwa tunamfungulia mlango ila alikuwa harudi saa 8 za usiku... hii case mwanaume anarudi saa 2 sasa why mwanamke asifungue mlango??
Ashukuru katumiwa ujumbe.Kwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Ukisikia gubu ndio hiliHajui hata niko wapi nafanya nini?
Kwanza angalia hata muda uliyotuma. Bado uko Bar unakunywa!!!Kwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Washauri wa ndoa ni wengi kuliko ndoa zilizopo
[emoji848]
Mambo si hayo[emoji8]Rudi hata na "kifuniko Cha Asali" au hata kilo ya sukari basi, aagh ana haki ya kugomewa kufunguliwa, Mimi nachelewa Kurudi na nafunguliwa kwa bashasha, nakaribishwa dining, nanawishwa mikono, nakaribishwa msosi, anaombea msosi then naandaliwa Maji ya kuoga aagh tukifika chumbani, anasali na ananiombea ndio tunalala
Funguo ataitupa akishalewa[emoji1787]Tembea na funguo kama huwezi kurudi mapema uondoe usumbufu.
😂😂 Aah ndoa hiziFunguo ataitupa akishalewa[emoji1787]
Yataka moyo aisee[emoji23][emoji23][emoji23] Aah ndoa hizi
Ndio maana mnatooo mbewaKwa nini alale kabla jamaa hajarudi?
Pitia comments bila shaka umeshapata jibuHuwa wanafanya alfajiri
Hajui hata niko wapi nafanya nini?
Haina maalumu japo mnaweza kuweka utaratibu sasa mtu aje akute umeshalala kweli hizo hamu zinakuwepo ama ni kubakana tuKwani kiutaratibu mapenzi yanatakiwa yafanywe saa ngapi?
Hiyo message imekaa kidharau dharau flani hivi.eti kuepuka usumbufu, inamaana mtu kurudi nyumbani kwake akagonga mlango ni usumbufu?
Washa makofi huyo akili ikae sawa.
Hayo ya upo wapi unajua wewe! Unarudi chakarii halafu asijue ulikuwa wapi mkuuHajui hata niko wapi nafanya nini?
Yupo sahihi, huo muda ni wa kukaa na mkeo ndani, we upo bar unapiga vyombo, kisha mwenzio akiwa kapumzika ndio uanze kumsumbua akufungulie mlango
WE KUWEZA?