Ni Sawa umeenda kupima DNA Na ukakuta mtoto sio wako utafanyaje?

Ni Sawa umeenda kupima DNA Na ukakuta mtoto sio wako utafanyaje?

Umesema naweza msadia baba asiye mzazi wangu halisi? Maana yake Nina uwezo wa kusaidia na kuendesha maisha yangu Tyr. Akinifukuza ni yeye na atakuwa sawa tu wakulaumiwa ni mama
Sawa mkuu, Na yeye akijua wewe sio mtoto wake akaamua kukutenga na kukufukuza, utajisikiaje?
 
Kheri Kwenu mabibi na mabwana.

Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.

Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.

Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi

Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.

Sasa swali linakuja Hivi.

Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.

Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?

Karibuni sana
Kama siyo issues za forensic na criminal mara nyingi Mkemia Mkuu wa Serikali hakupi majibu kuwa mtoto si wako hata kama amegundua kuwa siyo mtoto wako.

Serikali haipendi kuwa chanzo cha kuvunja ndoa za watu. Hiyo ndiyo sababu.

Wengi walioamua kuacha wake zao baada ya kugundua kuwa watoto siyo wa kwao, walifanya testing ya DNA nje ya nchi.

All in all kama limetokea unaamini mtoto siyo wako, nashauri ishi naye, mlee ipasavyo ATAKUJA kukusaidia mbeleni kuliko watoto wa kuzaa mwenyewe. Ila UKIMBAGUA ndiyo inakuwa mbaya.
 
Kheri Kwenu mabibi na mabwana.

Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.

Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.

Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi

Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.

Sasa swali linakuja Hivi.

Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.

Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?

Karibuni sana
We utachukua maamuzi gani?

Ova
 
Kama siyo issues za forensic na criminal mara nyingi Mkemia Mkuu wa Serikali hakupi majibu kuwa mtoto si wako hata kama amegundua kuwa siyo mtoto wako.

Serikali haipendi kuwa chanzo cha kuvunja ndoa za watu. Hiyo ndiyo sababu.

Wengi walioamua kuacha wake zao baada ya kugundua kuwa watoto siyo wa kwao, walifanya testing ya DNA nje ya nchi.

All in all kama limetokea unaamini mtoto siyo wako, nashauri ishi naye, mlee ipasavyo ATAKUJA kukusaidia mbeleni kuliko watoto wa kuzaa mwenyewe. Ila UKIMBAGUA ndiyo inakuwa mbaya.
Ushauri wako ni mzuri ila inahitaji msuli wa Imani

Copied from Ambwene mwasongwe
 
hizi mada zinapendwa sana. sawa ulimkuta yupo hivi
 

Attachments

  • GSwdKrMXsAADOAo.jpg
    GSwdKrMXsAADOAo.jpg
    172.6 KB · Views: 7
Kheri Kwenu mabibi na mabwana.

Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.

Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.

Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi

Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.

Sasa swali linakuja Hivi.

Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.

Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?

Karibuni sana
NACHINJA
 
Back
Top Bottom