Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #41
Walinena waneni wakamalizaKitanda hakizai haramu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walinena waneni wakamalizaKitanda hakizai haramu
Jela Nje Nje mkuu😄 si ulitaka mawazo/ushauri
Ova
Wewe unaeto***wa sehemu ziingine ndio hufai
Andika umalize kabisaNaandika nafuta, anyways
Lakini sio kuuwa mkuuWewe unaeto***wa sehemu ziingine ndio hufai
SIWEZI KUWA NA MTOTO SIO WANGU!! HUONI SIMBA DUME PORINI AKIGUNDUA WATOTO SIO WAKE AUANUA??Andika umalize kabisa
Lakini sio kuuwa mkuu
Kaah ana tumbo zuri miezi mitano mimba haionekaniKwqngu sikuhitaji DNA, nilikutana nae kimwili mwezi wa 8 kwa mara ya kwanza, kumbe ni majamzito (mimba ya miezi kama mitano) halaf sikujua kabisa..
nikaja kumtimua tarehe 1 mwezi wa 12,
akarudi kwao akajifungua tarehe 5 mwezi huo huo!
Kaah ana tumbo zuri miezi mitano mimba haionekani
Uhakika asee
Wapo vibonge hao, tumbo linajificha ndani kwa ndani.Kaah ana tumbo zuri miezi mitano mimba haionekani
😂😂Wapo vibonge hao, tumbo linajificha ndani kwa ndani.
Mimi niliiba mkojo nikaenda kupima bila yeye kujua!
Nilipojua ana mimba halafu ananificha, nikasema acha nizagamue for four months hakafu nimrudishe kwao akapambane na mzazi mwenzie
😂😂Wapo vibonge hao, tumbo linajificha ndani kwa ndani.
Mimi niliiba mkojo nikaenda kupima bila yeye kujua!
Nilipojua ana mimba halafu ananificha, nikasema acha nizagamue for four months hakafu nimrudishe kwao akapambane na mzazi mwenzie
Maiti mpaka inakuwa na wivu! Wewe vipi bwana! Lazima tumwoe tu!Usipuuze wosia utakugharimu shauri yako
Hatari sana
Safi sana ndio unapata chance mwanaume ya kwenda kuposa kitoto kizuri kinabana kunako hata ndugu au kanisani ukiwaambia huyu mzinzi amezaa hawatamulaani umemuacha vyema kabisaKheri Kwenu mabibi na mabwana.
Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.
Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.
Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi
Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.
Sasa swali linakuja Hivi.
Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.
Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?
Karibuni sana