Ni Sawa umeenda kupima DNA Na ukakuta mtoto sio wako utafanyaje?

Ni Sawa umeenda kupima DNA Na ukakuta mtoto sio wako utafanyaje?

Kwqngu sikuhitaji DNA, nilikutana nae kimwili mwezi wa 8 kwa mara ya kwanza, kumbe ni majamzito (mimba ya miezi kama mitano) halaf sikujua kabisa..

nikaja kumtimua tarehe 1 mwezi wa 12,
akarudi kwao akajifungua tarehe 5 mwezi huo huo!
Kaah ana tumbo zuri miezi mitano mimba haionekani
 
Kaah ana tumbo zuri miezi mitano mimba haionekani
Wapo vibonge hao, tumbo linajificha ndani kwa ndani.

Mimi niliiba mkojo nikaenda kupima bila yeye kujua!

Nilipojua ana mimba halafu ananificha, nikasema acha nizagamue for four months hakafu nimrudishe kwao akapambane na mzazi mwenzie
 
Wapo vibonge hao, tumbo linajificha ndani kwa ndani.

Mimi niliiba mkojo nikaenda kupima bila yeye kujua!

Nilipojua ana mimba halafu ananificha, nikasema acha nizagamue for four months hakafu nimrudishe kwao akapambane na mzazi mwenzie
😂😂
 
Wapo vibonge hao, tumbo linajificha ndani kwa ndani.

Mimi niliiba mkojo nikaenda kupima bila yeye kujua!

Nilipojua ana mimba halafu ananificha, nikasema acha nizagamue for four months hakafu nimrudishe kwao akapambane na mzazi mwenzie
😂😂
 
Sheria ya ndoa inampa haki ya umiliki wa watoto wote walio kwenye ndoa baba mwenye ndoa hio.
Mama akibadilika au mpumbavu yeyeto akijitokeza kudai mtoto ndani ya ndoa unayo haki ya kuwafungulia kesi mke wako na mgoni wako na ukadai fidia kubwa sana wakulipe fidia haina ukomo Ukitaka hata billion 10 wakulipe ndipo uwape mtoto.
Kama mke na mgoni wanazo hizo billion 10 wakupe wachukue mtoto hawana watulie au uamue kupotezea hawataki unayo haki ya kuchukua Sheria mkononi
 
Dunia ni tambala bovu unaishi na mwanadamu chochote tu tegemea toka kwake mtoto wa nje,kusalitiwa,njama za kuuliwa ukiyajua haya ukajiandaa nayo huwezi jitundika kisa mapenzi
 
Kheri Kwenu mabibi na mabwana.

Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.

Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.

Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi

Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.

Sasa swali linakuja Hivi.

Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.

Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?

Karibuni sana
Safi sana ndio unapata chance mwanaume ya kwenda kuposa kitoto kizuri kinabana kunako hata ndugu au kanisani ukiwaambia huyu mzinzi amezaa hawatamulaani umemuacha vyema kabisa
 
Back
Top Bottom