bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Dhambi ya usaliti ni kubwa hata maandiko hayaisapoti,mtu kuchepuka ni ujumbe wewe umfai we we ni dhaifu.
Mtoto hana hatia kwa upumbavu wa mama yake kushindwa kutunza maandiko.
Kama haujaamua kutulia usiingie kwenye ndoa ota sugu kwanza ufike miaka 45 utakuwa umemaliza ujana wote then ndo uingie kwenye ndoa
Mtoto hana hatia kwa upumbavu wa mama yake kushindwa kutunza maandiko.
Kama haujaamua kutulia usiingie kwenye ndoa ota sugu kwanza ufike miaka 45 utakuwa umemaliza ujana wote then ndo uingie kwenye ndoa