Ni Sawa umeenda kupima DNA Na ukakuta mtoto sio wako utafanyaje?

Ni Sawa umeenda kupima DNA Na ukakuta mtoto sio wako utafanyaje?

Dhambi ya usaliti ni kubwa hata maandiko hayaisapoti,mtu kuchepuka ni ujumbe wewe umfai we we ni dhaifu.
Mtoto hana hatia kwa upumbavu wa mama yake kushindwa kutunza maandiko.
Kama haujaamua kutulia usiingie kwenye ndoa ota sugu kwanza ufike miaka 45 utakuwa umemaliza ujana wote then ndo uingie kwenye ndoa
 
Maswali yote Yanalindwa na sheria hakuna kitu kipya vyote vilishawekwa kwenye mchukuo wa Sheria.
Kuzaa na mke wa mtu ni kosa kubwa sana kisheria, kiroho na kijamii pia.
 
Sheria ya ndoa inampa haki ya umiliki wa watoto wote walio kwenye ndoa baba mwenye ndoa hio.
Mama akibadilika au mpumbavu yeyeto akijitokeza kudai mtoto ndani ya ndoa unayo haki ya kuwafungulia kesi mke wako na mgoni wako na ukadai fidia kubwa sana wakulipe fidia haina ukomo Ukitaka hata billion 10 wakulipe ndipo uwape mtoto.
Kama mke na mgoni wanazo hizo billion 10 wakupe wachukue mtoto hawana watulie au uamue kupotezea hawataki unayo haki ya kuchukua Sheria mkononi
Kulipwa Hulipwi na mtoto anaenda Kwa baba yake
 
Kheri Kwenu mabibi na mabwana.

Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.

Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.

Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi

Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.

Sasa swali linakuja Hivi.

Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.

Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?

Karibuni sana
Kama haya yote yalifanyika bila mtoto na wewe kujua basi mtakuwa mmetengeza bond kubwa sana na mtoto kiasi ambacho kuivunja ni ngumu. Yaani uishi na mtoto tangu mtoto mchanga mpaka anafika chuo kikuu halafu uje uambiwe siyo wako? Hiyo bond mtakayokuwa mmetengeza haitavunjika kirahisi. Njia rahisi ya kumkomoa huyo mama (kama alikuwa anajua na kuficha) basi ni kumgegeda huyo mtoto wa kambo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240720-072024.jpg
    Screenshot_20240720-072024.jpg
    340.6 KB · Views: 6
Dhambi ya usaliti ni kubwa hata maandiko hayaisapoti,mtu kuchepuka ni ujumbe wewe umfai we we ni dhaifu.
Mtoto hana hatia kwa upumbavu wa mama yake kushindwa kutunza maandiko.
Kama haujaamua kutulia usiingie kwenye ndoa ota sugu kwanza ufike miaka 45 utakuwa umemaliza ujana wote then ndo uingie kwenye ndoa
Hakika Tena ulienda Bali sana Kwa kuwapiga mawe Hadi kufa
 
Hakunaga usaliti usiojificha ni suala la mda tu itajulikana tu na lazima utavuna ulichopanda kwa sababu si uliapa madhabauni au ofisini kile kiapo ulichovunja ni lazima tu kitaongea ipo siku
Thus pana watu walichepuka zamani wakaja gundulika na ndoa ikaja kuisha.
Labda tu utubu mapema kabla ya wakati kufika.
Hii dunia hatupo pekee yetu thus huwezi tunza siri.
 
Kheri Kwenu mabibi na mabwana.

Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.

Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.

Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi

Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.

Sasa swali linakuja Hivi.

Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.

Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?

Karibuni sana
Sometimes hospital kuna watu wanabadilisha watoto na huo mchezo wanafanya manesi kama mtu ana watoto wakiume watupu basi anaiba wakike mwingine anaiba wakiume so kila tukio umepigwa mkuu sometimes matatizo yanaanzia mama anapojifungua.
 
Kama haya yote yalifanyika bila mtoto na wewe kujua basi mtakuwa mmetengeza bond kubwa sana na mtoto kiasi ambacho kuivunja ni ngumu. Yaani uishi na mtoto tangu mtoto mchanga mpaka anafika chuo kikuu halafu uje uambiwe siyo wako? Hiyo bond mtakayokuwa mmetengeza haitavunjika kirahisi. Njia rahisi ya kumkomoa huyo mama (kama alikuwa anajua na kuficha) basi ni kumgegeda huyo mtoto wa kambo.
Je akiwa wa kiume? Akikukataa je?

Mkuu hii hutokea kabisa unafichwa mtoto anakuja kuambiwa baada ya kufanikiwa!! Ama kama wewe ni hohehahe mtoto anaambiwa mapema tu baba Ako ni fln ni boss sehem fln
 
Kama haya yote yalifanyika bila mtoto na wewe kujua basi mtakuwa mmetengeza bond kubwa sana na mtoto kiasi ambacho kuivunja ni ngumu. Yaani uishi na mtoto tangu mtoto mchanga mpaka anafika chuo kikuu halafu uje uambiwe siyo wako? Hiyo bond mtakayokuwa mmetengeza haitavunjika kirahisi. Njia rahisi ya kumkomoa huyo mama (kama alikuwa anajua na kuficha) basi ni kumgegeda huyo mtoto wa kambo.
Ushirikina huo sasa kumgegeda mtoto
 
Sometimes hospital kuna watu wanabadilisha watoto na huo mchezo wanafanya manesi kama mtu ana watoto wakiume watupu basi anaiba wakike mwingine anaiba wakiume so kila tukio umepigwa mkuu sometimes matatizo yanaanzia mama anapojifungua.
Hii hata yeye hatajua kuwa mtoto huyu siyo wako. Na mtoto hatakuja ambiwa vilevile!. Hii Dunia Ina maumivu Kila kona
 
Back
Top Bottom