Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Sawa mkuu, Na yeye akijua wewe sio mtoto wake akaamua kukutenga na kukufukuza, utajisikiaje?Hapana sita mudai ila nitakuwa nae siku zote maana ndo amenilea na kunikuza pasipo kujua babangu halisi kwahiyo yeye ndo atabaki kuwa baba siku zote
SijakuelewaNitafanya hivo
View attachment 3046830
Sawa mkuu, Na yeye akijua wewe sio mtoto wake akaamua kukutenga na kukufukuza, utajisikiaje?
Sawa Mkuu, lakini Wamama ndyo huwa chanzo cha haya matatzoUmesema naweza msadia baba asiye mzazi wangu halisi? Maana yake Nina uwezo wa kusaidia na kuendesha maisha yangu Tyr. Akinifukuza ni yeye na atakuwa sawa tu wakulaumiwa ni mama
Kama siyo issues za forensic na criminal mara nyingi Mkemia Mkuu wa Serikali hakupi majibu kuwa mtoto si wako hata kama amegundua kuwa siyo mtoto wako.Kheri Kwenu mabibi na mabwana.
Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.
Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.
Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi
Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.
Sasa swali linakuja Hivi.
Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.
Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?
Karibuni sana
Kabisa umeolewa ila Bado unagenywa Hadi mimba hii ni dharauSawa Mkuu, lakini Wamama ndyo huwa chanzo cha haya matatzo
We utachukua maamuzi gani?Kheri Kwenu mabibi na mabwana.
Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.
Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.
Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi
Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.
Sasa swali linakuja Hivi.
Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.
Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?
Karibuni sana
Na siku hizi naamini wengi wanalea watoto wa wengineKabisa umeolewa ila Bado unagenywa Hadi mimba hii ni dharau
Ushauri wako ni mzuri ila inahitaji msuli wa ImaniKama siyo issues za forensic na criminal mara nyingi Mkemia Mkuu wa Serikali hakupi majibu kuwa mtoto si wako hata kama amegundua kuwa siyo mtoto wako.
Serikali haipendi kuwa chanzo cha kuvunja ndoa za watu. Hiyo ndiyo sababu.
Wengi walioamua kuacha wake zao baada ya kugundua kuwa watoto siyo wa kwao, walifanya testing ya DNA nje ya nchi.
All in all kama limetokea unaamini mtoto siyo wako, nashauri ishi naye, mlee ipasavyo ATAKUJA kukusaidia mbeleni kuliko watoto wa kuzaa mwenyewe. Ila UKIMBAGUA ndiyo inakuwa mbaya.
Mkuu hii mbona ipo wazi kabisaNa siku hizi naamini wengi wanalea watoto wa wengine
We utachukua maamuzi gani?
Ova
NACHINJAKheri Kwenu mabibi na mabwana.
Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.
Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.
Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi
Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.
Sasa swali linakuja Hivi.
Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.
Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?
Karibuni sana
Bao hili lilienda Bure kabisa. Muulize hapo mwisho wa kuwaza kwakwe?hizi mada zinapendwa sana. sawa ulimkuta yupo hivi
NACHINJA
Wewe unaeto***wa sehemu ziingine ndio hufaiAsee wee hufai