bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Potelea mbali hukoMaiti mpaka inakuwa na wivu! Wewe vipi bwana! Lazima tumwoe tu!
Jera maisha mkuuAkijitokeza baba yake anakula risasi tu labda kama sio mke wa ndoa.
Kulipwa Hulipwi na mtoto anaenda Kwa baba yakeSheria ya ndoa inampa haki ya umiliki wa watoto wote walio kwenye ndoa baba mwenye ndoa hio.
Mama akibadilika au mpumbavu yeyeto akijitokeza kudai mtoto ndani ya ndoa unayo haki ya kuwafungulia kesi mke wako na mgoni wako na ukadai fidia kubwa sana wakulipe fidia haina ukomo Ukitaka hata billion 10 wakulipe ndipo uwape mtoto.
Kama mke na mgoni wanazo hizo billion 10 wakupe wachukue mtoto hawana watulie au uamue kupotezea hawataki unayo haki ya kuchukua Sheria mkononi
Kama haya yote yalifanyika bila mtoto na wewe kujua basi mtakuwa mmetengeza bond kubwa sana na mtoto kiasi ambacho kuivunja ni ngumu. Yaani uishi na mtoto tangu mtoto mchanga mpaka anafika chuo kikuu halafu uje uambiwe siyo wako? Hiyo bond mtakayokuwa mmetengeza haitavunjika kirahisi. Njia rahisi ya kumkomoa huyo mama (kama alikuwa anajua na kuficha) basi ni kumgegeda huyo mtoto wa kambo.Kheri Kwenu mabibi na mabwana.
Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.
Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.
Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi
Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.
Sasa swali linakuja Hivi.
Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.
Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?
Karibuni sana
Jana niliwazukia wakaja na maneno fln hata sikuwaelewaNikifa MkeWangu Asiolewe kwa huu uzi wako nao ukifutwa nasema uchawi upo...
Hakika Tena ulienda Bali sana Kwa kuwapiga mawe Hadi kufaDhambi ya usaliti ni kubwa hata maandiko hayaisapoti,mtu kuchepuka ni ujumbe wewe umfai we we ni dhaifu.
Mtoto hana hatia kwa upumbavu wa mama yake kushindwa kutunza maandiko.
Kama haujaamua kutulia usiingie kwenye ndoa ota sugu kwanza ufike miaka 45 utakuwa umemaliza ujana wote then ndo uingie kwenye ndoa
Uhakika mkuuMaswali yote Yanalindwa na sheria hakuna kitu kipya vyote vilishawekwa kwenye mchukuo wa Sheria.
Kuzaa na mke wa mtu ni kosa kubwa sana kisheria, kiroho na kijamii pia.
Hao hawakai hapo walipotega mtego wanakaa mbele,unashuka chap unatoa vibao theni kibati .
Sometimes hospital kuna watu wanabadilisha watoto na huo mchezo wanafanya manesi kama mtu ana watoto wakiume watupu basi anaiba wakike mwingine anaiba wakiume so kila tukio umepigwa mkuu sometimes matatizo yanaanzia mama anapojifungua.Kheri Kwenu mabibi na mabwana.
Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa.
Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako.
Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi
Then mama yake anamwambia mtoto kuwa huyu sio baba Yako mzazi asee inauma sana ukijiuliza uliwekeza na ulitoka ghara kubwa.
Kipindi hicho chote baba yake Hana habari anakula Bata na wewe unajinyima Ili usomeshe BAO la mwanaume mwenzio hii inauma mnoo.
Sasa swali linakuja Hivi.
Ni sawa kabisa una mashaka kuwa huenda huyu sio mtoto wako unachukua maamzi ya kwenda kupima DNA na unafanikiwa kupima na kupewa majibu yakuwa mtoto sio wako.
Je utachukua maamzi Gani? Utatimua mama na mtoto ama utatimua mtoto pekee yake?
Karibuni sana
😂😂😂Nilishangaa ghafla nazuiliwa kureply...Jana niliwazukia wakaja na maneno fln hata sikuwaelewa
Je akiwa wa kiume? Akikukataa je?Kama haya yote yalifanyika bila mtoto na wewe kujua basi mtakuwa mmetengeza bond kubwa sana na mtoto kiasi ambacho kuivunja ni ngumu. Yaani uishi na mtoto tangu mtoto mchanga mpaka anafika chuo kikuu halafu uje uambiwe siyo wako? Hiyo bond mtakayokuwa mmetengeza haitavunjika kirahisi. Njia rahisi ya kumkomoa huyo mama (kama alikuwa anajua na kuficha) basi ni kumgegeda huyo mtoto wa kambo.
Ushirikina huo sasa kumgegeda mtotoKama haya yote yalifanyika bila mtoto na wewe kujua basi mtakuwa mmetengeza bond kubwa sana na mtoto kiasi ambacho kuivunja ni ngumu. Yaani uishi na mtoto tangu mtoto mchanga mpaka anafika chuo kikuu halafu uje uambiwe siyo wako? Hiyo bond mtakayokuwa mmetengeza haitavunjika kirahisi. Njia rahisi ya kumkomoa huyo mama (kama alikuwa anajua na kuficha) basi ni kumgegeda huyo mtoto wa kambo.
Wanazingua kumbe uliuona😂😂😂Nilishangaa ghafla nazuiliwa kureply...
Nilikuwepo... Ko saivi wameufungua au?Wanazingua kumbe uliuona
Hii hata yeye hatajua kuwa mtoto huyu siyo wako. Na mtoto hatakuja ambiwa vilevile!. Hii Dunia Ina maumivu Kila konaSometimes hospital kuna watu wanabadilisha watoto na huo mchezo wanafanya manesi kama mtu ana watoto wakiume watupu basi anaiba wakike mwingine anaiba wakiume so kila tukio umepigwa mkuu sometimes matatizo yanaanzia mama anapojifungua.
hirikina vipi wakati siyo mtoto wako? Huna relation yoyote naye zaidi ya ule u-bond wa baba wa bandia. Najua kisheria kulala naye ni kosa lakini kama unataka kumfundisha huyo mama adabu njia ya kumkomoa ndiyo hiyo.Ushirikina huo sasa kumgegeda mtoto