Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #81
Nilikuwepo... Ko saivi wameufungua au?
Inauma sana yaniSikuhizi watoto wengi si wa ndani ya ndoa
NakubaliHakunaga usaliti usiojificha ni suala la mda tu itajulikana tu na lazima utavuna ulichopanda kwa sababu si uliapa madhabauni au ofisini kile kiapo ulichovunja ni lazima tu kitaongea ipo siku
Thus pana watu walichepuka zamani wakaja gundulika na ndoa ikaja kuisha.
Labda tu utubu mapema kabla ya wakati kufika.
Hii dunia hatupo pekee yetu thus huwezi tunza siri.
Ushirikina ni kufanya anything against nature mtoto ana makosa gani dhidi ya upumbavu wa mama yakehirikina vipi wakati siyo mtoto wako? Huna relation yoyote naye zaidi ya ule u-bond wa baba wa bandia. Najua kisheria kulala naye ni kosa lakini kama unataka kumfundisha huyo mama adabu njia ya kumkomoa ndiyo hiyo.
πππππEbu naomba link nikapatembelee tena...Hapana walibadirisha heading
Ile ilivyokuwa unasema "moderator anaefuta nyuzi zetu bila kutuambia atakuwa ana mimba changa huyu siyo bure " wakaandika kwanini Uzi wangu umefutwa?ππ
Bahati mbaya Huwa sijui kuweka link hapaπππππEbu naomba link nikapatembelee tena...
SanaInauma sana yani
Poa ngoja nisearch...Bahati mbaya Huwa sijui kuweka link hapa
Ushirikina siyo kufanya anything agaist nature!Ushirikina ni kufanya anything against nature mtoto ana makosa gani dhidi ya upumbavu wa mama yake
Nifundishe asee Huwa nashindwa hata kuambanisha Uzi fln kwenye bandikoPoa ngoja nisearch...
Mm nilivyoona tu Ile miguu nikasema huu mguu wa soka ....wangu kabisa midfielder kisheti .........
Uzi umefungiwa bado...Nifundishe asee Huwa nashindwa hata kuambanisha Uzi fln kwenye bandiko
Wala haihitaji DNA mkuu ππ€Au sio mkuu yaani unajiona kabisa na kulisifu BAO lakoππ
Unakopy link yake kwenye Sehemu ya kusearch google kwa juu then una kuja kupaste kama hivi Ni Sawa umeenda kupima DNA Na ukakuta mtoto sio wako utafanyaje?Nifundishe asee Huwa nashindwa hata kuambanisha Uzi fln kwenye bandiko
Hata Mimi vijana wangu ukiwaona huulizi kabisaWala haihitaji DNA mkuu ππ€
Kumbe unaenda google? Nilijua ni hapapaUnakopy link yake kwenye Sehemu ya kusearch google kwa juu then una kuja kupaste kama hivi Ni Sawa umeenda kupima DNA Na ukakuta mtoto sio wako utafanyaje?
Kama unatumia mobile app unabonyeza kwenye vidoti vitatu upande wa juu kulia kisha unabonyeza Copy URL, then unaenda kubandika Sehemu husika kama hiviNifundishe asee Huwa nashindwa hata kuambanisha Uzi fln kwenye bandiko
Kwani we unatumia application auKumbe unaenda google? Nilijua ni hapapa