Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

Ni ile tu kwamba hujapazoea au ni mara yako ya kwanza. Je,unashtuka huku ni mara yako ya kwanza kufika. Na hapo, ni kufika na kuondoka. Tena unafikia senta kabisa. Waulize wanajeshi hali hizo ndo wanazijua sana.
Binafsi niliwahi kwenda Bunda,sehemu moja kuna kiwanda cha wahindi sijui cha pamba au mafuta. Masaa kama mawili tu! Mpaka wa leo sitamani kurudiko.
Au watu wanaojua Kigoma, sehemu moja mwaloni panaitwa Lubengela. Unapita Bulombola, mto malagarasi,unaenda weeeee! Unajiuliza watu walijuaje hapa! Ila kambi ya wavuvi,kwa aliepazoea,labda.
Kuna maisha ukiyaona au mazingira, na watu wanaishi fresh,unawaza kati ya msomi na asiesoma nani mjanja
 
Ruvuma.....Namtumbo.....Likuyu......huko kila penye pombe kuna uyoga( nyama ya tembo)...... pori kweli kweli.....Kuna mto Lumbegea...maji meupeeee
 
Ngoja nikumbuke vizuri jina la kijiji flani niliwahi kufika mwaka jana yaani kule watu bado wanajua rais ni Nyerere!
Kule ukisikia mtu anaongea kiswahili ujue ni mgeni hapo kijijini na wenyeji wakiona gari wanakimbia wanajua ni askari wanakuja kukamata wauza gongo na bange!
Hakuna barabara, hakuna umeme, mtandao wa simu haupo yaani ukifika kule ukiwa na smartphone watu wanaishangaa wanakuomba uwawekee movies watazame!
Maisha ni magumu sana hakuna maduka wala starehe yoyote zaidi ya kilabu cha pombe mwitu hasa gongo, ukame na njaa ndo mahala pake
Mademu wa kule wote wachafu wachafu akikatiza mbele yako unasikia harufu ya mnyama!
.mbaya zaidi kuna shule moja ya msingi waalimu wa hapo nao ni wapolipoli yaani wamefanana kabisa na mazingira ya huko mpaka wanaongea kiruga...kifupi niliondoka sijatafuna mbususu kabisa.
 
Tanzania hii ni kubwa sana nashangaa watu kujilinganisha na Rwanda, na Kenya kimaendeleo wakati hizo nchi zinaingia mara mbili kwa Tanzania
Tatizo statistics na calculation za kiuchumi haziangalii hivyo mkuu, ila kupitia uzi huu mimi mwenyewe nmekubali Tanzania ni kubwa balaa
 
Dah, hiki kijiji cha kwenda kutembelea.
 
Huko sidhan kama mazingira ya kuish ni magumu kiasi hicho kwan kiasi kikubwa huduma zote za kijamii zinapatikana
Wachaga kama nitakuwa sahihi ni miongoni mwa makabila ya mwanzo kabisa kuendelea, sidhani kama kutakuwa na maeneo ya namna hii
 
Aisee, kweli tembea uyaone. Hii inashangaza na kusikitisha
 
Mkuu tusaidie jina la kijiji hii ni adventure aisee, nimecheka sana
 
Respect hustler 🫡
 
Mkoa Mara wilaya musoma tarime vijijini aiseee sikieni tu wakuu

Uchawi,
vita,
migogoro,
maji hamna,
wanawake wanabakwa,
ubaguzi,
ubishi
Baridi
Chuki

Yani kule ukiweka biashara umeenda ukijenga block umeenda ukionekana uko juu kiuchumi umeenda.hamna unafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…