Ni sheria zipi nchini Tanzania zinazokataza Mahusiano ya Kimapenzi kati ya ndugu?

Habari za wakati huu wakuu,
Bila kupoteza muda, na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kujua kuhusu sheria za Tanzania zinazokataza mahusiano ya kimapenzi au kuzaliana kati ya ndugu (Ancestry).
Sheria zinazozuia Ziko Mbili Sheria Mama (Kanuni ya Adhabu ya makosa Ya Jinai) Penal code sura ya 16 pamoja na Sheria ya Ndoa "The Marriage Ordinance" Sura ya 29...

Kwa Penal code Soma Kifungu cha 158-162..



Kwa Sheria ya Ndoa ya mwaka 1977 "The marriage Ordinance Soma kifungu cha 14
 
Yes sheria ya ndoa hasa hasa. Na nyingine ni sheria ya makosa ya jinai (penal code)
 
Habari za wakati huu wakuu,
Bila kupoteza muda, na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kujua kuhusu sheria za Tanzania zinazokataza mahusiano ya kimapenzi au kuzaliana kati ya ndugu (Ancestry).
Sheria ya asili na sheria ya maadili.
 
Asante sana Dr. Nimesoma vizuri kwa kina, nimekupata vizuri. Sasa nimezielewa vyema hizi sheria, sikuzijua hapo kabla... Japo bado sijaona kipengele kilichoelezea kuhusu hawa ndugu wanaoitwa "Cousins". Naona hawajaongelewa kabisa.
 
Asante sana Dr. Nimesoma vizuri kwa kina, nimekupata vizuri. Sasa nimezielewa vyema hizi sheria, sikuzijua hapo kabla... Japo bado sijaona kipengele kilichoelezea kuhusu hawa ndugu wanaoitwa "Cousins". Naona hawajaongelewa kabisa.
Binamu haijakatazwa
 
Asante sana Dr. Nimesoma vizuri kwa kina, nimekupata vizuri. Sasa nimezielewa vyema hizi sheria, sikuzijua hapo kabla... Japo bado sijaona kipengele kilichoelezea kuhusu hawa ndugu wanaoitwa "Cousins". Naona hawajaongelewa kabisa.
Hakuna Sheria yoyote wala Dini yoyote inayozuia kuoa Binamu Mkuu..
Binamu ni Ruksa Japo Taboo haziruhusu
 
Habari za wakati huu wakuu,
Bila kupoteza muda, na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kujua kuhusu sheria za Tanzania zinazokataza mahusiano ya kimapenzi au kuzaliana kati ya ndugu (Ancestry).
Sheria ya makosa ya jinai. Wanasema kuzini na maharimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…