Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ila mwamba ni muongo sana waarabu vyuo vinatumia mitaala ya wazungu, mfumo wa elimu Dunia kote ni WA wazungu kuanzia primary, secondary, first degree, masters na PhD ni mifumo ya wazungu kwa hiyo acha uongo
Toa ujinga wako unajua mfumo wa elimu ...Mfumo wa kimataifa umepitisha na Kuna vitu vyote .
 
physics, chemistry, mathematics, biology, commerce usome Tanzania, marekani au sehemu yeyote ile hayo masomo yote yako sawa hakuna utofauti

Unataka kuniambia mechanics au differential equation, quantum mechanics n.k anayosoma mwanafunzi wa Tanzania na international school ziko tofauti jibu ni hapana haziko tofauti

Utofauti Mkubwa wa elimu ya Tanzania na western world ni kwamba huku hamna practical hio ndo changamoto kubwa
 
Waarabu na wafuasi wake ni moja kati ya wanadamu wapumbafu sana. Huyo mwarabu asingepewa mafuta angekua ndio bogaz kabisa
We msukuma kale ugali akili imedumaa Kwa kule ugali...Mwarabu level ya Maisha yake huwezi kufikia Maisha yako yote ndo top katika biashara za bongo..halafu mnafuatia nyie washamba ngozi hazing'ai wala hazina nuru kwa kula ugali.

Ugali unapelekea mnakojoa sana kitandani na ushamba.
 
Toa ujinga wako unajua mfumo wa elimu ...Mfumo wa kimataifa umepitisha na Kuna vitu vyote .
We ndo mjinga huo mfumo wa kimataifa si ndo wa wazungu ambao wewe unasema utamaduni wao sio mzuri Zaid ya waarabu

Huu mfumo wa kusoma Dunia nzima umeanzia kwa wazungu kwa kina Socrates, Plato n.k
 
Waarabu Wana mifumo yao ya elimu huu mfumo wa shule ni mfumo wa wakoloni wa kizungu. Hata waafrika tulikuwa na mfumo wetu wa elimu. Waarabu walijikita Sana kueneza dini na utamaduni wao. Mfumo wao wa maisha ni elimu ya dini na biashara, thus hata sasa 80% ya matajiri nchini ni waislamu sababu ya asili yao. Hizi elimu za kukariri darasani KISHA ukaajiriwe serikalini ni ideology za Wakristo. Wafanyabiashara wengi ni waislamu, wamiliki wa malori, mabus, daladala, tax, maduka, magorofa, viwanda, masokoni wengi ni waislamu . Wakristo wapo kwenye ajira zaidi unajenga nyumba moja ya kuishi na moja ya kupanga maisha yameishia hapo unastaafu unasubiri kufa kwa cycle hio hio.
 
Sio waislamu sema warabu na wahindi mbona waislamu wa Tanzania wako kawaida

kama point ingekua ni dini waislamu waafrika wangekua na hela sana
 
Kote huko wamekopi wazungu wao ndio asili ya maendeleo yote duniani
 
Sio waislamu sema warabu na wahindi mbona waislamu wa Tanzania wako kawaida

kama point ingekua ni dini waislamu waafrika wangekua na hela sana
Waarabu na Wahindi ambao wengi ni waislamu
 
Waarabu na Wahindi ambao wengi ni waislamu
Kuna wahindi wengi tu sio waislamu, kama point ingekua ni dini waislamu waafrika wangekua na hela sana lakin nenda zile sehemu zenye waislamu wengi waafrika alafu uone wanavyostruggle
 
Badala ya kuwapa watu elimu, wao wanawapa tende.

Kuna sehemu kulikua na shida ya madarasa, wakaemda kuombwa kuchangia ujenzi. Badala ya kuchangia ujenzi wa madarasa, wao wakaleta maboksi ya tende
Njaa mzee, wanashangaa vipi binadamu anaenda kusoma huku ana njaa hahahaaa
 

Nyakato secondary school- MWANZA [emoji736]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…