Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Wanaendelea kutawala kupitia mlango wa nyumaSikumbuki kama tulitawaliwa na Waarabu, labda Zanzibar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaendelea kutawala kupitia mlango wa nyumaSikumbuki kama tulitawaliwa na Waarabu, labda Zanzibar.
IIlboru secondary
Ilboru secondary
Waarabu hawa kujenga shule ila tunapata faida kutoka kwenye magofu yao ya kaole bwagamoyo na mji mkongwe Zanzibar na kuingineno watalii wanachangia pesa nyingi sana kupitia magofu hayo ya kilwa nkHabari wadau.
Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni
Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Ilboru, pugu, mazengo, forodhani, etc
Je ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni waarabu?
Maana waarabu walitangulia kuja tanganyika na zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja
Waarabu walitawala mwaka gani? wale ni wafanyabiashara walikuwa na trade routes zao walipopita ndo waliacha tamaduni zao...
Hujui usemalo. Mbona wasaudia ni mojawapo ya wanafunzi wa kimataifa wanaongoza kuwa na wanafunzi wengi kwenye vyuo vikuu vya Kanada na Marekani. Sijui UlayaSasa una elimu ambayo ni ustaarabu wa kimagharibi hamna cha maana...Wao wanajielewa hawakopi ovyo kama nyie wana elimu zao Wana maisha Bomba hata maendeleo makubwa.
We Tanzania one unajiproud na nn ? Zaidi ya kuwa mjinga .
Dunia nzima Africa ndo tunafuata elimu za wazungu coz bado hatujiwezi nenda Korea, china ,Iran Wana mifumo yao tofauti na elimu zao hata kiteknolojia wako juu.
🤣🤣🤣Unaelewa wale wapita njia kaangalie katika trade routes kule Kilwa ndo palikuwa na magofu yao ..Tamaduni zao hazikuhusiana na kujenga shule , mbona misikiti walijenga ?
Sokondari au sio.Ngoja waje waliofika secondary
Waarabu hawa kujenga shule ila tunapata faida kutoka kwenye magofu yao ya kaole bwagamoyo na mji mkongwe Zanzibar na kuingineno watalii wanachangia pesa nyingi sana kupitia magofu hayo ya kilwa nk
Wazungu walijenga shule ambazo kabwela uwezi soma shule hizo walio soma shule hizo ndio walio kuwa vibalaka wao mpaka kesho
Kwann tenaHii Nongwa Kabisa
🤣🤣🤣Wewe elimu yako na wanaosoma international school hapa bongo mnafanana?Hujui usemalo. Mbona wasaudia ni mojawapo ya wanafunzi wa kimataifa wanaongoza kuwa na wanafunzi wengi kwenye vyuo vikuu vya Kanada na Marekani. Sijui Ulaya
Mkuu wewe hupendi amani et? Au umewaza nini mpaka unakuja jambo hili😁😁😁😁Habari wadau.
Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni
Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Ilboru, pugu, mazengo, forodhani, etc
Je ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni waarabu?
Maana waarabu walitangulia kuja tanganyika na zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja
Kwani unanijua vizuri na niko wapi? Suppose nimesoma na naishi huko mwanangu? Jifunze kuunganisha mdomo na ubongo wako kabla ya kuandika🤣🤣🤣Wewe elimu yako na wanaosoma international school hapa bongo mnafanana?
👉Wewe mbongo ulipewa robo ya elimu ndo ukarithi sio international Kaa utulie hamna unalojua.
👉Wewe na elimu wanaosoma USA mnafanana ?
👉Mtafute mtu akupe moja mbili tatu ya elimu yetu ndo utaelewa iko tofauti kabisa wazungu walituachi kidogo na tukapreserve mpaka leo.
Umesahau na uchawi ulio ambatana na majiniMwarabu na shule wapi na wapi?
Yeye anakitabu chake kimoja ukishakikariri tayari kimekamilika na itakuwa umeeleea hesabu zote kuanzia hisabati, mathematics, additional mathematics, basic applied mathematics,pure mathematics, physic,chemistry, biology , finance, law , engineering nk. Hawahitaji madrasa ya kawaida Wala viti vya kukaa
Soma chemistry kwa nini imeitwa chemistry,hiyo ni taaluma iliyoanzishwa na mwarabu Kama ilivyo kwa aljebra,msome ibn Sina ujue alifanya nini!?..elimu imeanzia mashariki ya kati, Syria na Iraq,mwarabu hakuja kutawala/kufanya ukoloni hasa kwa Tanganyika,lakini,mzungu alikuja kutawala akitafuta malighafi,alihitaji matarishi wa kuwatuma,hivyo ilibidi ajenge shule ili ujifunze namna afanyavyo kazi,hakuna na lengo jingine,lakini hospitali ya ocean road ilikua shuleMwarabu na shule wapi na wapi?
Yeye anakitabu chake kimoja ukishakikariri tayari kimekamilika na itakuwa umeeleea hesabu zote kuanzia hisabati, mathematics, additional mathematics, basic applied mathematics,pure mathematics, physic,chemistry, biology , finance, law , engineering nk. Hawahitaji madrasa ya kawaida Wala viti vya kukaa
Kuna uchawi usioambatana na majini!?Umesahau na uchawi ulio ambatana na majini
Madrasa maana yake ni shule. Ila wabongo wenyewe wanataka useme school ndo unaonekana mjanja.Madarasa maana yake nn?
Marekani inaongozwa kwa autism, shida nini!?Tamaduni za kuoa mtoto wa baba mdogo au ndugu wa karibu siyo nzuri. Ndiyo maana Saudi Arabia wanashida kubwa sana za birth defects sababu ya kuoana ndugu wa karibu