Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Sema tu waislamu walinyang’anywa viwanja vyao hata ilipo DUCE ni kiwanja chao
 
Soma chemistry kwa nini imeitwa chemistry,hiyo ni taaluma iliyoanzishwa na mwarabu Kama ilivyo kwa aljebra,msome ibn Sina ujue alifanya nini!?..elimu imeanzia mashariki ya kati, Syria na Iraq,mwarabu hakuja kutawala/kufanya ukoloni hasa kwa Tanganyika,lakini,mzungu alikuja kutawala akitafuta malighafi,alihitaji matarishi wa kuwatuma,hivyo ilibidi ajenge shule ili ujifunze namna afanyavyo kazi,hakuna na lengo jingine,lakini hospitali ya ocean road ilikua shule

Zanzibar mwarabu alijenga shule gani ? Ama zanzibar napo mwarabu akutawala ?
Sema tu waislamu walinyang’anywa viwanja vyao hata ilipo DUCE ni kiwanja chao

Walinyang'anywa na nani? Na hiko kiwanja waislamu walikinunua kwa nani?

Leo hii iko kiwanja anakimiliki nani? Na kimejengwa nini?
 
Hata waislam wasomi wamesomea western au unataka kunitajia msomi wa Zenzi aliyesomea arabuni 😂😂😂😂

Zanzibar yenyewe waarabu wametawala miaka zaidi ya 1000 ila shule ya sekondari hawakujenga mpaka mzungu alipokuja

Kina mama samia, shein , karume wamesoma shule ya lumumba ambayo ilijengwa na mzungu mwaka 1958 na kupewa jina la King George.

Jiulize mwaarabu yupo zanzibar toka mwaka 1007 AD ila shule inajengwa mwaka 1958 na wazungu.. yaani miaka 1000 mbele
 
Sasa una elimu ambayo ni ustaarabu wa kimagharibi hamna cha maana...Wao wanajielewa hawakopi ovyo kama nyie wana elimu zao Wana maisha Bomba hata maendeleo makubwa.

We Tanzania one unajiproud na nn ? Zaidi ya kuwa mjinga .

Dunia nzima Africa ndo tunafuata elimu za wazungu coz bado hatujiwezi nenda Korea, china ,Iran Wana mifumo yao tofauti na elimu zao hata kiteknolojia wako juu.

Hivi kuna mahali duniani hapa wanaishi bila kutegemea ujuzi na utaalamu kutoka kwa wazungu?
 
Zanzibar mwarabu alijenga shule gani ? Ama zanzibar napo mwarabu akutawala ?

Walinyang'anywa na nani? Na hiko kiwanja waislamu walikinunua kwa nani?

Leo hii iko kiwanja anakimiliki nani? Na kimejengwa nini?
Zanzibar shule alijenga nani!?
 
Zanzibar yenyewe waarabu wametawala miaka zaidi ya 1000 ila shule ya sekondari hawakujenga mpaka mzungu alipokuja

Kina mama samia, shein , karume wamesoma shule ya lumumba ambayo ilijengwa na mzungu mwaka 1958 na kupewa jina la King George.

Jiulize mwaarabu yupo zanzibar toka mwaka 1007 AD ila shule inajengwa mwaka 1958 na wazungu.. yaani miaka 1000 mbele
Mwarabu hajawahi kutawala Zanzibar,aliyetawala ni muingereza.
 
Mbona alijenga halafu mkoloni akaita ocean road!!

Weka nyama.. nimeuliza kwenye uzi.. mtaje shule ambazo baada ya uhuru serikali ilizitaifisha kutoka kwa waarabu..

Mbona za wazungu nimezitaja Ilboru, mazengo, pugu, forodhani, oldu moshi.

Na wewe zitaje za waarabu majina?
 
Zanzibar yenyewe waarabu wametawala miaka zaidi ya 1000 ila shule ya sekondari hawakujenga mpaka mzungu alipokuja

Kina mama samia, shein , karume wamesoma shule ya lumumba ambayo ilijengwa na mzungu mwaka 1958 na kupewa jina la King George.

Jiulize mwaarabu yupo zanzibar toka mwaka 1007 AD ila shule inajengwa mwaka 1958 na wazungu.. yaani miaka 1000 mbele
Kwa elimu yako shule ni nini!?
 
Tamaduni za kuoa mtoto wa baba mdogo au ndugu wa karibu siyo nzuri. Ndiyo maana Saudi Arabia wanashida kubwa sana za birth defects sababu ya kuoana ndugu wa karibu

Umeshseahi kuisoma bibilia vizuri, eneo la mahusiano, au unaandika tu usionr leo Dunia imejaa, mtu wa Iringa anaenda kuoa Arusha.

Dunia imejaa watu kwa mahusiano ya ndugu, mpaka kufika hatua ya Leo mtanzania kuoa mkenya.
 
Back
Top Bottom