inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Nililenga kijerumaniShule ni kijerumani wao huandika schule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nililenga kijerumaniShule ni kijerumani wao huandika schule
Tabora girl &boysSoma kichwa cha habari cha uzi.. kimeandika hivi
Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni waarabu Serikali iliitaifisha baada ya uhuru 1961
Kisha leta majibu kwa kutaja majina ya hizo shule
Kwa hiyo dada wewe umeweka mgomo hutawazi Kama waarabu!?Watakwambia waliacha ustaarabu ukiuliza ni ustaarabu gani huo walioacha eti kutawaza yani kunawa matako baada ya kujisaidia ni kitu wanajivunia sana toka kwa waarabu😂😂😂😂nachekaga sana hawa ndg zetu
Tabora girl &boys
Na kanzu ndani kipedo,ndo kilikua chupiNa vipedo?
Wewe usiyetaka weka ushahidi kwamba alijenga mzunguWeka ushahidi kama tabora boys na tabora girls zilijengwa na mwarabu
Wewe usiyetaka weka ushahidi kwamba alijenga mzungu
We mgonjwa akili!?..mi nimekwambia tabora boys &girls.. wewe hutaki,Sasa wewe weka ushahidi kwamba zilijengwa na mzunguSoma heading ya uzi vizuri
"Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni waarabu Serikali iliitaifisha baada ya uhuru 1961"
Weka ushahidi kama tabora boys na tabora girls zinajibu hoja ya key question ya uzi
Mliooa kulala lazima kwenda wote kumbe duh kweli mwili mmojaMda wa kulala wazeee au nyie hamjaoa???!
Kwa maana yako hii unataka kusema makanisa na misikiti nayo ni shule!. Una lengo la kupotosha.Shule ni neno la kiarabu lenye maana ya mahali pa kujifunza,Sasa Kama mwarabu hakujenga mahali pa kujifunza huku Tanganyika na Zanzibar sawa
Meta mm ni sekondari ya wazazi kupiti chAma cha MapinduziMeta sekondari na harison sec
Kuna sehemu moja huwa inaitwa "Maskati" sijui kama kuna shule kule ila hao jamaa wamekaa kule kinachonishangaza kule ni bushi kichizi ilikuaje miamba wakakaa huko
Unayatafut yaliyolala eee!Habari wadau.
Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 Serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni
Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Ilboru, Pugu, Mazengo, forodhani, etc
Je ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni waarabu?
Maana waarabu walitangulia kuja Tanganyika na Zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja.
Zanzibar pia waarabu walifika mapema sana maana msikiti wa Kazimkazi ulijengwa mwaka 1006 AD, waarabu walitawala kwa miaka mingi Zanzibar na walifika mapema sana, naomba mnitajie ni shule gani ya sekondari waarabu walijenga Zanzibar, na ilijengwa mwaka gani?
Ujinga wa hawa wenzetu wanadhani wasomi, ila wakosa udadisi, ndiyo maana leo kanisa lilikengwa kutumia neno la Mungu hutumika kuibia na kutapeli ndani ya makanisa.Nimekuuliza kwa uelewa wako shule ni nini!?..hizo shule za mzungu ndo zmekufunza ujinga hata kujibu swali huwezi!?
We mgonjwa akili!?..mi nimekwambia tabora boys &girls.. wewe hutaki,Sasa wewe weka ushahidi kwamba zilijengwa na mzungu
Labda misikiti ya mawe na madarasa,Wale waarabu ni washenxi sanaHabari wadau.
Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 Serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni
Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Ilboru, Pugu, Mazengo, forodhani, etc
Je ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni waarabu?
Maana waarabu walitangulia kuja Tanganyika na Zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja.
Zanzibar pia waarabu walifika mapema sana maana msikiti wa Kazimkazi ulijengwa mwaka 1006 AD, waarabu walitawala kwa miaka mingi Zanzibar na walifika mapema sana, naomba mnitajie ni shule gani ya sekondari waarabu walijenga Zanzibar, na ilijengwa mwaka gani?