Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Soma kichwa cha habari cha uzi.. kimeandika hivi

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni waarabu Serikali iliitaifisha baada ya uhuru 1961

Kisha leta majibu kwa kutaja majina ya hizo shule
Tabora girl &boys
 
Watakwambia waliacha ustaarabu ukiuliza ni ustaarabu gani huo walioacha eti kutawaza yani kunawa matako baada ya kujisaidia ni kitu wanajivunia sana toka kwa waarabu😂😂😂😂nachekaga sana hawa ndg zetu
Kwa hiyo dada wewe umeweka mgomo hutawazi Kama waarabu!?
 
Wewe usiyetaka weka ushahidi kwamba alijenga mzungu

Soma heading ya uzi vizuri

"Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni waarabu Serikali iliitaifisha baada ya uhuru 1961"

Weka ushahidi kama tabora boys na tabora girls zinajibu hoja ya key question ya uzi
 
Hawa mabwana sijui wana nini sehemu walizokaa ndio ufi***i umekithiri mno hawajawahi kuanzisha shule ukioa wake wanne we tayari profesa
 
Soma heading ya uzi vizuri

"Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni waarabu Serikali iliitaifisha baada ya uhuru 1961"

Weka ushahidi kama tabora boys na tabora girls zinajibu hoja ya key question ya uzi
We mgonjwa akili!?..mi nimekwambia tabora boys &girls.. wewe hutaki,Sasa wewe weka ushahidi kwamba zilijengwa na mzungu
 
Mtoa mada jaribu kutulia kwanza, una hoja nzuri ila unatumia nguvu nyingi ili ueleweke.

Wadau wanataka kwanza wakurekebishe pale wanapoona umekosea kwenye ujumbe ulowafikishia ili mpate uelewa wa pamoja ndo mada iende mbele.

Usilazimishe kueleweka wakati kuna vitu umeviandika na havijakaa sawa.
 
Shule ni neno la kiarabu lenye maana ya mahali pa kujifunza,Sasa Kama mwarabu hakujenga mahali pa kujifunza huku Tanganyika na Zanzibar sawa
Kwa maana yako hii unataka kusema makanisa na misikiti nayo ni shule!. Una lengo la kupotosha.
 
Kuna sehemu moja huwa inaitwa "Maskati" sijui kama kuna shule kule ila hao jamaa wamekaa kule kinachonishangaza kule ni bushi kichizi ilikuaje miamba wakakaa huko

Muscat ya Fisi ni kule ukitoka Tinde kama unaenda Kahama ni kijiji cha Luhumbo huko na kule ndani Didia kuna Waarab mpaka leo ndo wanatoka hawa waraab wa GBP na kuna yule mchezaji wa zamani wa Simba ambae anaishi Oman jina lake kama sikosei anaitwa Hilal
 
Habari wadau.

Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 Serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni

Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Ilboru, Pugu, Mazengo, forodhani, etc

Je ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni waarabu?

Maana waarabu walitangulia kuja Tanganyika na Zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja.

Zanzibar pia waarabu walifika mapema sana maana msikiti wa Kazimkazi ulijengwa mwaka 1006 AD, waarabu walitawala kwa miaka mingi Zanzibar na walifika mapema sana, naomba mnitajie ni shule gani ya sekondari waarabu walijenga Zanzibar, na ilijengwa mwaka gani?
Unayatafut yaliyolala eee!
 
Nimekuuliza kwa uelewa wako shule ni nini!?..hizo shule za mzungu ndo zmekufunza ujinga hata kujibu swali huwezi!?
Ujinga wa hawa wenzetu wanadhani wasomi, ila wakosa udadisi, ndiyo maana leo kanisa lilikengwa kutumia neno la Mungu hutumika kuibia na kutapeli ndani ya makanisa.

Ukifuatilia wale watawala walikuja kwa mission tofauti tofauti wapo walikuja kuvuna asimali za Taifa, hivyo walikuja Tanganyika kusudi maalumu.

Shule zilijengwa na Wamisional, siyo kwa sababu walitupenda sana, wale walikuja kueneza Dini, Shule na hata huduma Afya na hata mavazi vilitumika kuwavuta watu, kwenye imani yao.

Kama leo anavyofanya mchungaji Mwamposa, watu kutoa shuhuda ili kuwavuta wengine kwe juduma anayoitoa.

Sema tofauti iliyopo na wamisionali wanzeke walitoa vitu vya kudumu, mwamposa vitu vinavyomsaidia mtu mda mfupi.
Hivyo dini ni kama biashara walipokua wanaitangaza huku kwetu, wapo walietumia maneno madogo wengine vivutio maalumu.

Ila sababu watu hatusomi hostoria ya nchi na uingiaji wa dini hizi, unajikuta unajitapia ujinga.
 
We mgonjwa akili!?..mi nimekwambia tabora boys &girls.. wewe hutaki,Sasa wewe weka ushahidi kwamba zilijengwa na mzungu

Mimi sijasema kama tabora boys na girls zimejengwa na mzungu.

Ngoja nikupe mfano wa ushahidi kuhusu shule za wazungu

mfano wa kwanza ILBORU
Ilboru School was opened in 1946 as a lutheran school and was managed by the Lutheran Church until 1969 when it became a government school.

Mfano wa pili PUGU

Pugu high school was then know as St. Francis College Under Roman Catholic Church with the famous slogan "Docebit Vos Omnia" meaning "Teach you things"...
Pugu Secondary School is located in the outskirts of Dar es Salaam. There are about 800 students.
In the early 1950s, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere was the only indigenous teacher.


Mfano wa tatu Minaki

In 1970 Minaki school was taken over by the government from the Anglican Missionaries.


Nataka maelezo kama hayo kuhusu tabora girls na tabora boys kwamba serikali ilizitaifisha kutoka kwa Waarabu gani ama taasisi gani ya ki arabu uitaje jina na mwaka gani ?
 
Habari wadau.

Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 Serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni

Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Ilboru, Pugu, Mazengo, forodhani, etc

Je ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni waarabu?

Maana waarabu walitangulia kuja Tanganyika na Zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja.

Zanzibar pia waarabu walifika mapema sana maana msikiti wa Kazimkazi ulijengwa mwaka 1006 AD, waarabu walitawala kwa miaka mingi Zanzibar na walifika mapema sana, naomba mnitajie ni shule gani ya sekondari waarabu walijenga Zanzibar, na ilijengwa mwaka gani?
Labda misikiti ya mawe na madarasa,Wale waarabu ni washenxi sana
 
Back
Top Bottom