Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Waafrika Bado wanaakili za hovyohovyo Kwa sababu ya Imani za hovyohovyo.

Wakristo hasa wakatoliki wanajishikamanisha sana na Wazungu na kuwaona kama ndio miungu mpaka kuweka picha za kijana mzungu mwenye macho ya bluu eti ni picha ya Yesu. Wanaabudu sanamu ya mzungu wakiita yesu na picha ya mdada mzungu wanamwita bikira maria. Yesu alikua ni Myahudi anayefanana na mwafrika na hakuwa mzungu. Lakini Hilo hata haliwafungui macho kabisa wanazudi kujifanya Dunia ya Kiafrika kuwa chini ya wazungu kuanzia kwenye Imani mpaka maisha ya kijamii na kisiasa na kiuchumi.

Siku waafrika watakapo sema no kwenye dini na siasa na uchumi Afrika itakwenda mbele sana.
Kuna watu ndani ya mifumo ni mawakala wa Himaya ya Kirumi na wako tayari kufanya hujuma yoyote ili TU Wazungu wakanywe mvinyo Pale Vaticani. Ujinga mtupu. Kama Mungu ni Roho Kwa Nini awakilishwa na kakundi ka wajanja wanaojificha Vatican na kuitawala Dunia yenye wajinga wengi Kwa mgongo wa dini.?

Mbona tungeweza kuwa Wakristo lakini bila kuathiriwa na Mila za Kizungu nauzungu?
Kama Ukristo ulianzishwa na Yesu kwa Nini tusifuate taratibu zinazoendana na maisha ya alipoishi Yesu ambapo ni Afrika na Uarabuni au Mashariki ya Kati? Yesu alizaliwa Israel na kukulia misri ambapo ni Afrika wakati huo hakuna dini ya Kiislam ya Leo lakini palikua na dini inayofanana na ya Uislam lakini pia hapakua na dini ya Kikirsto ila palikua na upagani unaofanana na Ukristo wa Leo.

Kwa upande wa pili Bado Uislam ni tishio Kwa Afrika na Dunia nzima mana lengo la Waarabu ni kuitawala Dunia Kwa mgongo wa dini.
Wakiitawala Dunia wale wasio Waarabu watakua ni watumwa wao. Kwanza Waarabu walipokuja Afrika walizaana sana na kukaribia nusu ya Bara la Afrika Sasa ni Waarabu au Wana asili ya Kiarabu. Kizazi Cha mwafrika kimenusuriwa na Mzungu.

Sasa jambo la Ajabu mwafrika anaingia madarakani Kwa Lengo la kulinda maslahi ya Vaticani au Saudi Arabia.
Uhalifu wote ndani ya madraka na watawala unalenga kulinda maslahi ya Waziungu na Waarabu
Hili ni jambo la kutafakari sana kwa kina.
 
Muscat ya Fisi ni kule ukitoka Tinde kama unaenda Kahama ni kijiji cha Luhumbo huko na kule ndani Didia kuna Waarab mpaka leo ndo wanatoka hawa waraab wa GBP na kuna yule mchezaji wa zamani wa Simba ambae anaishi Oman jina lake kama sikosei anaitwa Hilal
 
Muscat ya Fisi ni kule ukitoka Tinde kama unaenda Kahama ni kijiji cha Luhumbo huko na kule ndani Didia kuna Waarab mpaka leo ndo wanatoka hawa waraab wa GBP na kuna yule mchezaji wa zamani wa Simba ambae anaishi Oman jina lake kama sikosei anaitwa Hilal
 
sasa mkuu waarabu watajengaje shule hio miaka unayoizungumza wakati hata wao wenyewe hawakuwa nazo?
Uongo waarabu walikuwa nazo kwao ili hawakuleta Tanzania

Soma hapo

The Arab World: Home to the Oldest Learning Institutions in the World.​

POSTED ON: JUN 8, 2022

The Arab World: Home to the Oldest Learning Institutions in the World.

By: Anthony Bayyouk / Arab America Contributing Writer

The history of the Arab world covers many different topics, such as religion, architecture, and trade. A topic that is not talked about often is education. What some people may not know is that some of the world’s oldest learning institutions, in the world are located in the Arab World. From Morocco to Kuwait higher education has existed for centuries. The first educational institutions in the Middle East were focused on religious teachings. Religion was the only subject at these institutions for a long time. As the Middle East expanded subjects such as science and mathematics were added. After all, Arabs did invent Algebra. In this Article, Arab America will explore some of the oldest learning institutions in the Middle East.

Al-Azhar-University.jpg
Al Azhar University
Al Azhar University is located in Cairo, Egypt, and was founded in 970 AD. The founder of the University was a Sunni, and the basis of study when Al Azhar opened was Islamic law Theology and Arabic study. Al Azhar is the most important religious university in the Muslim world, at one given time 90,000 students study at Al Azhar. It is the main center of Arabic literature and Sunni Islamic learning in the world. Those three subjects are still the main majors at the university. Despite the many rulers, empires, and occupations that have come and left in Egypt the University survived through it all. The University is a statue for all other high education learning institutes in Egypt.

IMG_20201229_144823-scaled-1.jpg
The University of al-Qarawiyyin
In Morocco, about three hours away from the capital lies the university of al-Qarawiyyin in Fez. Founded in 859 AD, the university is the oldest degree-granting institution in the world. Similar to Al Azhar, this university is also historically Muslim. The university’s library contains historic copies of the Quran. In fact, there is an interesting story behind the founding of the university. In 859 AD, a lady by the name of Fatima al-Fihri used her inheritance to fund the construction of a mosque for her community with an associated school. She intended to give back to the community that had welcomed her family many years prior. They immigrated when she was young from Tunisian. The university is still thriving and serves an array of majors such as medicine, astronomy, physics, and foreign languages.

Not far from the Tigris River in Baghdad, Iraq lies Mustansiriya University. The oldest university in Iraq and one of the oldest in the world. The Universe is named the great survivor. It obtained this nickname because the University survived the rise and fall of empires, regime changes, and drastic urban modernization. The university was established in 1227 AD by the Abbasid Caliph Al-Mustansir.

1-10-1.jpg
Mustansiriya University
Traditionally, in the Arab World, Education institutions were based on Religion. Starting in the eleventh century Sunni Islam dominated the education sector. The oldest institutions started as Islamic teaching centers, and still value the religion to this day. Institutions have grown by adding many majors, such as medicine and law, but Islam is still important to all these institutions.

aum-sport.png
American University in the Middle East
The many occupations of the Arab world have greatly influenced education in each nation today. In Egypt, Palestine, and Jordan education is shaped after the British system due to the decades of British occupation. All schools in those nations teach proper English. Although the schools are mostly attended by non-Christians, because of the British influence many schools are still private Christian schools that teach about Christianity. Egypt and Syria follow the French system due to the decades of French occupation. The influence of the French is still present in Lebanon every day. It is more common to speak French in Beirut than it is to speak Arabic. Similar to Egypt, Palestine, and Jordan. Lebanon is filled with Christian schools attended by non-Christians.

Overall, when you look deeper into the history of the Arab World. You will find an array of historical topics that are rarely talked about. Today, there are American universities scattered around the Middle East that teach hundreds of topics. Besides the American University’s nations, they have established many universities that serve majors unique to the region.
 
Habari wadau.

Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 Serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni. Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Minaki, Ilboru, Pugu, Mazengo, forodhani, etc

Je, ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni Waarabu?

Maana waarabu walitangulia kuja Tanganyika na Zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja.

Zanzibar pia waarabu walifika mapema sana maana msikiti wa Kazimkazi ulijengwa mwaka 1006 AD, waarabu walitawala kwa miaka mingi Zanzibar na walifika mapema sana, naomba mnitajie ni shule gani ya sekondari waarabu walijenga Zanzibar, na ilijengwa mwaka gani?
Hapa Mohamed Said hawezi kanyaga hapa. Anaona aibu... Mwarabu hajawahi msaidia mtu yoyote. Mi huwa nashangaa, mabilionea kama wale wa kiarabu mpaka leo huwezi kusikia wanajenga shule, hospital nk kama wazungu. Utaona wanachimba visima hivi vya milioni 3, sijui wanadhania tupo jangwani tuna shida ya maji? Na tena visima vyenyewe wanajenga misikitini! Mwarabu hamna kitu 🚮
 
Sasa una elimu ambayo ni ustaarabu wa kimagharibi hamna cha maana...Wao wanajielewa hawakopi ovyo kama nyie wana elimu zao Wana maisha Bomba hata maendeleo makubwa.

We Tanzania one unajiproud na nn ? Zaidi ya kuwa mjinga .

Dunia nzima Afrika ndo tunafuata elimu za wazungu coz bado hatujiwezi nenda Korea, China, Iran Wana mifumo yao tofauti na elimu zao hata kiteknolojia wako juu.
Kaulize China huwa wanambana kuwaeleka wapi vyuo vikuuu wanafunzi wao bora.
 
Hapa Mohamed Said hawezi kanyaga hapa. Anaona aibu... Mwarabu hajawahi msaidia mtu yoyote. Mi huwa nashangaa, mabilionea kama wale wa kiarabu mpaka leo huwezi kusikia wanajenga shule, hospital nk kama wazungu. Utaona wanachimba visima hivi vya milioni 3, sijui wanadhania tupo jangwani tuna shida ya maji? Na tena visima vyenyewe wanajenga misikitini! Mwarabu hamna kitu 🚮
Mbona point yako ni dhaifu sana kwa waarabu waje kukujengea 😂😂.

Hapo ushaweka ukristo wako kwamba ndo wazungu na hao wazungu in hata yesu hawamjui..kuwa na akili timamu hawajawahi kuitawala Africa haswa Tanzania ..

Inakuwaje unakimbilia kujengewe ili iweje?
 
Mbona point yako ni dhaifu sana kwa waarabu waje kukujengea 😂😂.

Hapo ushaweka ukristo wako kwamba ndo wazungu na hao wazungu in hata yesu hawamjui..kuwa na akili timamu hawajawahi kuitawala Africa haswa Tanzania ..

Inakuwaje unakimbilia kujengewe ili iweje?
Nadhani uelewa wako ni mdogo kwenye mambo ya historia.. lakin nitakufundisha kidogo. Mwarabu ndo Mtawala wa kwanza kabla ya Mzungu kuja Africa... alivyokuwa anatawala alijenga shule gani? Kama alikuwa anachukua rasilimali zetu kama dhahabu,almas,pembe za ndovu kwa wingi miaka na miaka zaidi ya miaka 200 nk yeye alirudisha nini kwenye jamii? Kwamba akijenga ni msaada au anarudisha kidogo ya alichochukua? Hebu ustaaz mtetea waarabu niambie hapo!
 
Nadhani uelewa wako ni mdogo kwenye mambo ya historia.. lakin nitakufundisha kidogo. Mwarabu ndo Mtawala wa kwanza kabla ya Mzungu kuja Africa... alivyokuwa anatawala alijenga shule gani? Kama alikuwa anachukua rasilimali zetu kama dhahabu,almas,pembe za ndovu kwa wingi miaka na miaka zaidi ya miaka 200 nk yeye alirudisha nini kwenye jamii? Kwamba akijenga ni msaada au anarudisha kidogo ya alichochukua? Hebu ustaaz mtetea waarabu niambie hapo!
We ndo una uelewa mdogo kabisa!! Ni wapi uliona walitawala zaidi ya Zanzibar Kuna tofauti ya kuwahi kufika na kutawala .

Kutawala ni fully administration system je niambie ukiachana na mfumo wa sultani kule zanzibar hapa bongo walitawala kwa mfumo upi?

Wakiwa wenzio wanasoma unangoja mtihani uvuje ndo tatizo lako..

Waliwahi kufika sio kutawala kuwa na akili ...
 
Mbona point yako ni dhaifu sana kwa waarabu waje kukujengea 😂😂.

Hapo ushaweka ukristo wako kwamba ndo wazungu na hao wazungu in hata yesu hawamjui..kuwa na akili timamu hawajawahi kuitawala Africa haswa Tanzania ..

Inakuwaje unakimbilia kujengewe ili iweje?

Kilwa haipo Tanzania? Je sultani hajawai kutawala dola ya kilwa ?

Pia Zanzibar je mwarabu alijenga shule gani? Ama zanzibar napo mwarabu hajawai tawala?
 
We ndo una uelewa mdogo kabisa!! Ni wapi uliona walitawala zaidi ya Zanzibar Kuna tofauti ya kuwahi kufika na kutawala .

Kutawala ni fully administration system je niambie ukiachana na mfumo wa sultani kule zanzibar hapa bongo walitawala kwa mfumo upi?

Wakiwa wenzio wanasoma unangoja mtihani uvuje ndo tatizo lako..

Waliwahi kufika sio kutawala kuwa na akili ...

Kwenye swali la hii hoja zanzibar napo imetajwa.

Unaruhusiwa kujibu kuhusu shule za sekondari ambazo mwarabu alijenga zanzibar.

Zitaje majina
 
Mwarabu na shule wapi na wapi?

Yeye anakitabu chake kimoja ukishakikariri tayari kimekamilika na itakuwa umeeleea hesabu zote kuanzia hisabati, mathematics, additional mathematics, basic applied mathematics,pure mathematics, physic,chemistry, biology , finance, law , engineering nk. Hawahitaji madrasa ya kawaida Wala viti vya kukaa
Sasa kiongoz mbna Mataifa ya kiaraabu ndo wataalam sana wa mambo kama ya Tiba, uhandisi na Biochemistry
 
We ndo una uelewa mdogo kabisa!! Ni wapi uliona walitawala zaidi ya Zanzibar Kuna tofauti ya kuwahi kufika na kutawala .

Kutawala ni fully administration system je niambie ukiachana na mfumo wa sultani kule zanzibar hapa bongo walitawala kwa mfumo upi?

Wakiwa wenzio wanasoma unangoja mtihani uvuje ndo tatizo lako..

Waliwahi kufika sio kutawala kuwa na akili ...
Waarabu walitawala pwani yote ya Africa mashariki kuanzia Lamu, Mombasa,Tanga,Bagamoyo, Kilwa nk.. Kutawala maana yake nini, ni kusimamia mifumo yote ya kijamii na kiuchumi na kuwa na jeshi pia, haijalishi hilo jeshi ni dhaifu. Sasa hapo unabisha nini? Ili mradi isionekane mwarabu alitawala lakin hakujenga shule?😂😂
 
Kilwa haipo Tanzania? Je sultani hajawai kutawala dola ya kilwa ?

Pia Zanzibar je mwarabu alijenga shule gani? Ama zanzibar napo mwarabu hajawai tawala?
Ndo nikuulize wewe ? Kwamba kilwa walitawala wapi zaidi ya kuwa na makazi yao ebu fuatilia historia wale walikuwa ni wafanya biashara na walikuwa na trade route tu ..
 
Kwenye swali la hii hoja zanzibar napo imetajwa.

Unaruhusiwa kujibu kuhusu shule za sekondari ambazo mwarabu alijenga zanzibar.

Zitaje majina
Waulize wanzibar kule wamekaa kwani mi mzanzibar ile ni nch yao wakikutajia utasemaje? Sio Tanzania acha kujifanya mzungu kisa mkristo zaidi ya kuwa mpumbavu tu mweny ngozi nyeusi..

Rejea kichwa cha mada
 
Waulize wanzibar kule wamekaa kwani mi mzanzibar ile ni nch yao wakikutajia utasemaje? Sio Tanzania acha kujifanya mzungu kisa mkristo zaidi ya kuwa mpumbavu tu mweny ngozi nyeusi..

Rejea kichwa cha mada

Nakuuliza mwarabu alijenga shule gani ya sekondari zanzibar.

Mambo ya kujifanya mzungu, mkristo, mpumbavu yanaingiaje ?

Hoja ya hii topic ni majina ya shule za sekondari ambazo mwarabu alizijenga zanzibar ama tanganyika enzi za utawala wake.

Acha matusi shiriki topic kwa kutaja majina ya shule ambazo mwarabu alizijenga zanzibar

Kutaja majina ya shule tu ni jambo la kukufanya ukasirike?
 
Nakuuliza mwarabu alijenga shule gani ya sekondari zanzibar.

Mambo ya kujifanya mzungu, mkristo, mpumbavu yanaingiaje ?

Hoja ya hii topic ni majina ya shule za sekondari ambazo mwarabu alizijenga zanzibar ama tanganyika enzi za utawala wake.

Acha matusi shiriki topic kwa kutaja majina ya shule ambazo mwarabu alizijenga zanzibar

Kutaja majina ya shule tu ni jambo la kukufanya ukasirike?
Unalazimisha kwamba wajenge shule ya elimu yako wewe.

Je ukiambiwa walikuwa na elimu yao ya madrasa sio ya mzungu utakubali maana ni watawala tofauti?

Kwa nn unavutia kwako? Elewa watawala tofauti Wana idea tofauti.

W
 
Unalazimisha kwamba wajenge shule ya elimu yako wewe.

Je ukiambiwa walikuwa na elimu yao ya madrasa sio ya mzungu utakubali maana ni watawala tofauti?

Kwa nn unavutia kwako? Elewa watawala tofauti Wana idea tofauti.

W

Waarabu kwao hawana shule za sekondari ?

Waarabu kwao hawana shule zinazofundisha masomo ya sekondari kama physics, chemistry, biology etc ?

Nitajie majina ya Shule ambazo zinazofundisha hayo masomo ambazo waarabu walizijenga Tanganyika na zanzibar ?

Sema kama waarabu Walikuwa hawataki na sisi tusome hayo masomo ama nini ?
 
Waarabu kwao hawana shule za sekondari ?

Waarabu kwao hawana shule zinazofundisha masomo ya sekondari kama physics, chemistry, biology etc ?

Je walijenha Shule ambazo zinazofundisha hayo masomo huku Tanganyika na zanzibar ?

Walikuwa hawataki na sisi tusome hayo masomo ama nini ?
Kwa hyo kupitia kiarabu watu hawawezi kusoma hayo masomo mbona mi nimesoma level ya msingi kabla kuanza darasa la kwanza hisabati na mambo ya biology kwa kiarabu kupitia madrasa?

Mbona tumesoma Sana hayo mambo madrasa hata baadhi ya Aya zinaeleza mifumo ya uzazi na baadhi ya tiba kama "kupiga chuku" ili kuondoa damu mbaya.

Kwa akili yako katika utawala wa mwarabu kwamba shule ziitwe "school'" na wafundishwe kingereza 🤔🤔

We wakuja nn? Mbona hauna ufahamu kabisa wa mambo je waarabu wanasoma kingereza huko shule kwao?
 
Back
Top Bottom