Umetisha sana, ni ushauri ambao hata mimi nimeuchukuaKama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.
Kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m
Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.
Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.
Hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.
South afrika - boksi la kaki
China - Boksi jeupe
Go for chines.
Kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Nilikuwa sokoni kutafuta tv ya 55',hiyo nanocell weka side by side na hisense uled ndio utajua lg wanauzia jina.Hapa kuna nanocel inchez 55 huwez fananisha na hizo hisence,Nimesema hizo bei hazipo kwa bahati mbaya,hizo ni budget TV tu dont expect more mkuu,mdau hapo juu alitaka sema hakuna cha ziada zaidi ya hype tu kitu ambacho sio cha kweli.
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Unahitaji brand zinazohimili domestic violenceHii TV niliyonayo ni Samsung HD inch 32, nilinunua laki saba wakati ndio zinatoka, imeshawahi kupigwa chini kwenye domestic violence lakini iko vilevile na Ina miaka zaidi ya 10, je Samsung bado watakuwa na bidhaa imara kiasi hiki kwa miaka hii?
Wala usinunue hii crappy,Rtings walipost review YouTube,kawaskilize na comments pia kazisome... ndiomana nakwambia zile bei za brand kubwa hazipo kama hype .Nilikuwa sokoni kutafuta tv ya 55',hiyo nanocell weka side by side na hisense uled ndio utajua lg wanauzia jina.
Soma comparison ya lg qned vs hisense u8
Uone lg anavyoachwa mbali
LG NANO90 2021 vs Hisense U8G Side-by-Side TV Comparison
The Hisense U8G is significantly better than the LG NANO90 2021 for most uses. The Hisense has significantly better contrast, a much better local dimming feature, and significantly better black uniformity, making it a better choice for dark-room viewing. The Hisense also has much better accuracy...www.rtings.com
Hiyo hisense nishachukua u7h QLED, Lg TV amabazo si OLED hamna kitu. Kumbuka QNED ni Nanocel+Quantum dot kutoka LG. Nilifanya comparison pia na samsung Q70B na tofauti haikuwa kubwa sana. Tofauti ya bei ni karibu laki 5.Wala usinunue hii crappy,Rtings walipost review YouTube,kawaskilize na comments pia kazisome... ndiomana nakwambia zile bei za brand kubwa hazipo kama hype .
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Brand comes first
Brand matters
Tatizo tunatumia umasikini wetu kudowngrade hizo brand kubwa..kumbuka hazikufika hapo bahati mbaya
Tukubali tu…SONY,LG,SAMSUNG is the best
Quality,technology and durability and value for money
Hakuna aliyekataa ila hapo kwenye value for money hebu nishushe kidogo[emoji2960][emoji2960]
Naona wewe ni mdau wa Hisense kindaki ndaki,Kiasi kwamba unaona Lg, Sony, Samsung,wote vibua tu..acha nikuache na msimamo wako mzee Wa Hisense [emoji1]Hiyo hisense nishachukua u7h QLED, Lg TV amabazo si OLED hamna kitu. Kumbuka QNED ni Nanocel+Quantum dot kutoka LG. Nilifanya comparison pia na samsung Q70B na tofauti haikuwa kubwa sana. Tofauti ya bei ni karibu laki 5.
Definitely .Brand comes first
Brand matters
Tatizo tunatumia umasikini wetu kudowngrade hizo brand kubwa..kumbuka hazikufika hapo bahati mbaya
Tukubali tu…SONY,LG,SAMSUNG is the best
Quality,technology and durability and value for money
Huyu naye anakuja kuniambia ushuzi gani tena [emoji38][emoji38]Unaelewa maana ya value for money? Lazima utagusa aspects za risk, je hizo brand unazotetea na global brand ipi ina risk zaidi, anzia kwenye warranty na fidia inapopata tatizo!
Say Cocacola & Pepsi Vs Azamcola
Sony & Lg vs Boss
Samsung & Iphone vs Tecno
Haya mambo ni ya kitaalamu aisee, global brand zitasimama tu .. hii haiondoi haki na furaha ya yule anayetumia TV yoyote as far as inampa anachotaka!
No mimi siyo mdau wa brand fulani, huwa naangalia quality na pia value of money. Fridge nina LG, microwave LG, TV yangu ya kwanza ilikuwa samsung 32'", so mimi siko loyal kuchukua brand kwa sababu ya jina, naangalia ubora wa kitu.Naona wewe ni mdau wa Hisense kindaki ndaki,Kiasi kwamba unaona Lg, Sony, Samsung,wote vibua tu..acha nikuache na msimamo wako mzee Wa Hisense [emoji1]
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Habari MkuuNdio maana nikaandika 2.0/2.1 nafahamu ni partial 2.1 hata website yao wameandika.
Na tv ya 4k 120hz sio tv ya mtu wa kawaida kununua
Wala usinunue hii crappy,Rtings walipost review YouTube,kawaskilize na comments pia kazisome... ndiomana nakwambia zile bei za brand kubwa hazipo kama hype .
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu,tunatumia umaskini wetu kuzipiga maneno brand kubwa kua hazina kitu cha zaidi [emoji23][emoji23],Sasa leo huu mchina wa Hisense watu wanataka kuufanya nizaid ya LG, Sony, Samsung,ViZio [emoji23][emoji23]Kweli kabisa brand haikufika hapo kwa bahati mbaya
Watakwambia pia Mercides Benz is overated[emoji28]
Apple products n.k
Narudia tena Cheap is expensive
Umasikini wetu tusidown-grade big brands
Hizo Ni copy maana zinazalishwa substandards kusudi ili kukidhi soko la africaNa ndio machaguo yangu samsung ya kuundwa south sijawahi ifikiria kuinunua hata iwe na spec zipi au lg ya egypt
Hisense baada ya matumizi say ya kuanzia miaka miwili huwa zinatabia ya kufubaa kioo. Yaani kioo kinapoteza mng'ao wake na kutoa picha ya kawaida sasa kwa tunaothamini ubora huwa tunakosa uzingizi kabisa kwenye hilo swala.Si sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.
Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product