Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Kama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.

Kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m

Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.

Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.

Hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.

South afrika - boksi la kaki

China - Boksi jeupe

Go for chines.

Kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Umetisha sana, ni ushauri ambao hata mimi nimeuchukua
 
Hapa kuna nanocel inchez 55 huwez fananisha na hizo hisence,Nimesema hizo bei hazipo kwa bahati mbaya,hizo ni budget TV tu dont expect more mkuu,mdau hapo juu alitaka sema hakuna cha ziada zaidi ya hype tu kitu ambacho sio cha kweli.

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Nilikuwa sokoni kutafuta tv ya 55',hiyo nanocell weka side by side na hisense uled ndio utajua lg wanauzia jina.
Soma comparison ya lg qned vs hisense u8
Uone lg anavyoachwa mbali
 
Nilikuwa sokoni kutafuta tv ya 55',hiyo nanocell weka side by side na hisense uled ndio utajua lg wanauzia jina.
Soma comparison ya lg qned vs hisense u8
Uone lg anavyoachwa mbali
Wala usinunue hii crappy,Rtings walipost review YouTube,kawaskilize na comments pia kazisome... ndiomana nakwambia zile bei za brand kubwa hazipo kama hype .

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Wala usinunue hii crappy,Rtings walipost review YouTube,kawaskilize na comments pia kazisome... ndiomana nakwambia zile bei za brand kubwa hazipo kama hype .

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Hiyo hisense nishachukua u7h QLED, Lg TV amabazo si OLED hamna kitu. Kumbuka QNED ni Nanocel+Quantum dot kutoka LG. Nilifanya comparison pia na samsung Q70B na tofauti haikuwa kubwa sana. Tofauti ya bei ni karibu laki 5.
 
Brand comes first

Brand matters

Tatizo tunatumia umasikini wetu kudowngrade hizo brand kubwa..kumbuka hazikufika hapo bahati mbaya

Tukubali tu…SONY,LG,SAMSUNG is the best

Quality,technology and durability and value for money

Mkuu agiza chochote
Nakuja kulipa!
 
Hakuna aliyekataa ila hapo kwenye value for money hebu nishushe kidogo[emoji2960][emoji2960]

Unaelewa maana ya value for money? Lazima utagusa aspects za risk, je hizo brand unazotetea na global brand ipi ina risk zaidi, anzia kwenye warranty na fidia inapopata tatizo!

Say Cocacola & Pepsi Vs Azamcola
Sony & Lg vs Boss
Samsung & Iphone vs Tecno


Haya mambo ni ya kitaalamu aisee, global brand zitasimama tu .. hii haiondoi haki na furaha ya yule anayetumia TV yoyote as far as inampa anachotaka!
 
Hiyo hisense nishachukua u7h QLED, Lg TV amabazo si OLED hamna kitu. Kumbuka QNED ni Nanocel+Quantum dot kutoka LG. Nilifanya comparison pia na samsung Q70B na tofauti haikuwa kubwa sana. Tofauti ya bei ni karibu laki 5.
Naona wewe ni mdau wa Hisense kindaki ndaki,Kiasi kwamba unaona Lg, Sony, Samsung,wote vibua tu..acha nikuache na msimamo wako mzee Wa Hisense [emoji1]

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Brand comes first

Brand matters

Tatizo tunatumia umasikini wetu kudowngrade hizo brand kubwa..kumbuka hazikufika hapo bahati mbaya

Tukubali tu…SONY,LG,SAMSUNG is the best

Quality,technology and durability and value for money
Definitely .

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Unaelewa maana ya value for money? Lazima utagusa aspects za risk, je hizo brand unazotetea na global brand ipi ina risk zaidi, anzia kwenye warranty na fidia inapopata tatizo!

Say Cocacola & Pepsi Vs Azamcola
Sony & Lg vs Boss
Samsung & Iphone vs Tecno


Haya mambo ni ya kitaalamu aisee, global brand zitasimama tu .. hii haiondoi haki na furaha ya yule anayetumia TV yoyote as far as inampa anachotaka!
Huyu naye anakuja kuniambia ushuzi gani tena [emoji38][emoji38]
 
Naona wewe ni mdau wa Hisense kindaki ndaki,Kiasi kwamba unaona Lg, Sony, Samsung,wote vibua tu..acha nikuache na msimamo wako mzee Wa Hisense [emoji1]

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
No mimi siyo mdau wa brand fulani, huwa naangalia quality na pia value of money. Fridge nina LG, microwave LG, TV yangu ya kwanza ilikuwa samsung 32'", so mimi siko loyal kuchukua brand kwa sababu ya jina, naangalia ubora wa kitu.
 
Wale wa Samsung ya kuruka nayo hii
Screenshot_20230201_105005_com.instagram.android_edit_10826962780638.jpg
 
Wala usinunue hii crappy,Rtings walipost review YouTube,kawaskilize na comments pia kazisome... ndiomana nakwambia zile bei za brand kubwa hazipo kama hype .

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app

Kweli kabisa brand haikufika hapo kwa bahati mbaya

Watakwambia pia Mercides Benz is overated[emoji28]
Apple products n.k

Narudia tena Cheap is expensive

Umasikini wetu tusidown-grade big brands
 
Kweli kabisa brand haikufika hapo kwa bahati mbaya

Watakwambia pia Mercides Benz is overated[emoji28]
Apple products n.k

Narudia tena Cheap is expensive

Umasikini wetu tusidown-grade big brands
Kabisa mkuu,tunatumia umaskini wetu kuzipiga maneno brand kubwa kua hazina kitu cha zaidi [emoji23][emoji23],Sasa leo huu mchina wa Hisense watu wanataka kuufanya nizaid ya LG, Sony, Samsung,ViZio [emoji23][emoji23]

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Nina smart TV ya alitop nyuma ina kitu kama antenna kazi yake ni nini wakuu?
 
Si sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.

Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product
Hisense baada ya matumizi say ya kuanzia miaka miwili huwa zinatabia ya kufubaa kioo. Yaani kioo kinapoteza mng'ao wake na kutoa picha ya kawaida sasa kwa tunaothamini ubora huwa tunakosa uzingizi kabisa kwenye hilo swala.
 
Back
Top Bottom