Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Tv nzuri, ina decode hadi Av1 hivyo haitakula sana MB kama TV za kawaida na unaweza angalia Full HD youtube 1080p na 4mbps ya TTCL, ina standard nyingi kama Hdr10 na HLG,

Issue kubwa inatumia Panel ya VA, ambazo quality yake si nzuri kama IPS, hasa unapoiangalia kwa pembeni, hivyo angalia mwenyewe kama unaiweka sebule kubwa ambayo ina makochi pembeni vyema utafute yenye ips na kama unatumia tu Gheto na unaangalia straight kwa mbele, ni tv nzuri ya kisasa mkuu.

Pia Hdmi yake ni 2.0/2.1 incase kama una vifaa vya kisasa vinavyotoa resolution kubwa kama Computer.
 
Tv nzuri, ina decode hadi Av1 hivyo haitakula sana MB kama TV za kawaida na unaweza angalia Full HD youtube 1080p na 4mbps ya TTCL, ina standard nyingi kama Hdr10 na HLG,

Issue kubwa inatumia Panel ya VA, ambazo quality yake si nzuri kama IPS, hasa unapoiangalia kwa pembeni, hivyo angalia mwenyewe kama unaiweka sebule kubwa ambayo ina makochi pembeni vyema utafute yenye ips na kama unatumia tu Gheto na unaangalia straight kwa mbele, ni tv nzuri ya kisasa mkuu.

Pia Hdmi yake ni 2.0/2.1 incase kama una vifaa vya kisasa vinavyotoa resolution kubwa kama Computer.
Hiyo HDMI 2.1 siyo ya kweli ni ya jina tu ila haina full features za HDMI 2.1 isipokuwa eARC pekee.
No 120Hz refresh rate (Kama unataka TV inayosupport true HDMI 2.1 kwa ajili ya PS5, hakikisha hiyo port imeandikwa HDMI 2.1 (120Hz))
No VRR
No ALLM
https://www.youtube.com/watch?v=qo9Y7AMPn00
 
Hiyo HDMI 2.1 siyo ya kweli ni ya jina tu ila haina full features za HDMI 2.1 isipokuwa eARC pekee.
No 120Hz refresh rate (Kama unataka TV inayosupport true HDMI 2.1 kwa ajili ya PS5, hakikisha hiyo port imeandikwa HDMI 2.1 (120Hz))
No VRR
No ALLM
https://www.youtube.com/watch?v=qo9Y7AMPn00
Ndio maana nikaandika 2.0/2.1 nafahamu ni partial 2.1 hata website yao wameandika.

Na tv ya 4k 120hz sio tv ya mtu wa kawaida kununua
 
Android tv na Google tv ni kitu kimoja mkuu, ni muonekano tu ndo tofauti (launcher) haibadili functionality yoyote ya Android.
Lakini kwenye website ya TCL wenyewe wameelezea na maelezo ya kutosha kabisa juu ya utofauti wa Android TV na Google TV. Wametoa hadi points ambazo sanasana zinaonesha kuwa Google TV ndio bora zaidi.
Mi naona tofauti ipo hata kwenye functionality la sivyo TCL wasingeelezea uwepo wa tofauti hizo[emoji2960][emoji2960]
 
Lakini kwenye website ya TCL wenyewe wameelezea na maelezo ya kutosha kabisa juu ya utofauti wa Android TV na Google TV. Wametoa hadi points ambazo sanasana zinaonesha kuwa Google TV ndio bora zaidi.
Mi naona tofauti ipo hata kwenye functionality la sivyo TCL wasingeelezea uwepo wa tofauti hizo[emoji2960][emoji2960]
Kama zipi mkuu weka link
 
@Chief-Mkwawa niangalizie hii mkuu
P635 na P735 ni kama A33 na A53 moja ya bei kidogo na nyengine ipo chini kidogo.

Ni almost zinafanana zote zina VA panel, utofauti upo kwenye Audio, P735 ina Dolby Atmos, upo kwenye USB p735 ina usb 3.0 na kwenye panel pia zina utofauti kidogo.

Angalia hii video


Conclusion ya jamaa angalia utofauti wa bei kama ni mdogo lets say laki 1 go with 735 ila kama. Utofauti wa bei ni mkubwa 635 itakua ni deal zuri.

Video haipo kingereza weka on subtitle.
 
Flash dstv nafikiri ni kwa ajili ya PVR, kurecord vipindi vya TV ukiwa haupo Nyumbani. Mfano kuna mechi ya mpira mchana haupo nyumbani itarecord ukirudi uangalie.
Hizi decoder mpya flash ni kwa ajili ku update tu decoder. Haina function nyingine. Hata ku record huwezi
 
Advantage kubwa ya TCL vs wengine ni hio Android tv, utapata Software ambayo ime mature.

Naona ina Dolby vision kama una internet 40mbps kupanda uta enjoy Quality yake.

Ukileta model yake tunaweza kuiangalia zaidi
Fafanua kidogo kama hutojal kwa lugha ya laymen.
 
Dstv Explora na Dstv pvr zote zina uwezo wa kurecord.
IMG_20230130_182208~2.jpg

Hii remote ni ya decoder ya DSTV nimenunua wakati wa World katika hizo ulizotaja ni ipi?
 
Fafanua kidogo kama hutojal kwa lugha ya laymen.
Ili kustream 4k ambayo ipo compressed kama youtube ama Netflix, Amazon prime na app nyengine za Bure kama stremio unahitaji angalau 25mbps speed ya internet ila inashauriwa 40mbps kwa uhakika zaidi.

Hivyo kama una kifaa cha 4k kama hio tv ukivuta Fiber nyumbani ili uitendee haki tv yako kifurushi cha 40mbps ndio kinakufaa.

Kuhusu Android tv hio ni software kama ya Simu ila inawekwa kwenye tv na imekuwa optimized kutumia na remote.

Utofauti wa Android tv na software nyengine kama Tizen, web os, vidaa, roku etc ni kwamba haijafungwa, unaweza ku install app nje ya store, inaweza kuwa app ya movie, mpira, game etc. Os nyengine za TV app unazozikuta ndio hizo hizo ukitaka movie Netflix inakuhusu.
 
Back
Top Bottom