Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Soma vizuri line ya mwisho


—->Technologieën,Quality,durability

Hivo vitu ndo vinakupa value for money!

Nikupe mfano:mwaka 2012 nlinunua sony bravia 32’

Hii tv mpaka leo ipo haimjui fundi…ubora wake na teknolojia kwa kipindi kile ilikuwa mbele ya muda sana.
Mpaka nmeamua kununua sony Android juzi juzi

Hapa mimi sibishani wala si downgrage kampuni zingne ka hisense hapana..ila nazungumzia ubora wa kampuni fulani.

Unaweza kupata teknolojia na uzuri kwa bei rahisi lakini Ubora ni kitu kigumu sana kukipata kwa bei rahisi!!

Ubora ndo huamua bei…

(Nliwahi kutembelea nchi fulani nkakuta hizi saa za Hublot,Casio na Rolex original ni kuanzia £700 huko!

Nlishangaa kwasababu huku kwetu Rolex unapata kwa efu50 lkn ile high quality ambayo tunaona ni O.G inauza laki 3[emoji2][emoji2].

Nlichokuja kugundua kitu bora chochote ni gharama

So kwa bei ya original SONY,LG na SAMSUNG ni sawa kabisa kwa sababu ya ubora

Fid Q aliwahi kusema
“…kizuri ni kizuri lakini chenye ubora ni bora”
Umesomeka boss
 
Si sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.

Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product
Sema wallah?????

Unapoteza watu kijana.
 
Brand comes first

Brand matters

Tatizo tunatumia umasikini wetu kudowngrade hizo brand kubwa..kumbuka hazikufika hapo bahati mbaya

Tukubali tu…SONY,LG,SAMSUNG is the best

Quality,technology and durability and value for money

Hapo kwenye value for money ndio huwa tunapigwa

Hili dubwana la kuitwa BRAND lina mambo yake mengi sana, na sio kwenye Tech to hata kwenye huduma zingine tu...... overpriced

Demu wangu alikomaa birthday yake nimpeleke dinner kwenye migahawa yenye brand kubwa
Yaani tulikula chips kuku tu na juice lakini hela niliyolipa kwa mtaani nakula chips kuku wiki nzima[emoji23][emoji23]
Namwambia hii ni kuchezea hela tu akaniletea habari za value for money..... nikamuangalia nikampotezea
 
Hapo kwenye value for money ndio huwa tunapigwa

Hili dubwana la kuitwa BRAND lina mambo yake mengi sana, na sio kwenye Tech to hata kwenye huduma zingine tu...... overpriced

Demu wangu alikomaa birthday yake nimpeleke dinner kwenye migahawa yenye brand kubwa
Yaani tulikula chips kuku tu na juice lakini hela niliyolipa kwa mtaani nakula chips kuku wiki nzima[emoji23][emoji23]
Namwambia hii ni kuchezea hela tu akaniletea habari za value for money..... nikamuangalia nikampotezea
Mayu unazingua ujue katika Betting unaweka stake mpaka za mil 2 ila kumpeleka mpenzi wako sehemu nzuri unaona tabu!
 
Ninyi ndio aina ya watu mnao define status za watu kwa simu mavazi na tv walizonazo
Inaonekana ukiingia nyumbani kwa mtu ukakuta ana Lg kwako wewe huyo ni tajiri na mwenye Hisense ni masikini

Kuna Hisense zina bei kubwa kuliko Samsung

Wakati mwingine haya mambo ya technology huwa hayaamuliwi na uwezo wa mtu tu, bali pia knowledge ya mtu
Unaweza kukuta mtu anauwezo lakini ana StarX nyumbani kwake na inamtosheleza 100% akitoka kazini anaangalia taarifa ya habari kwisha
Watoto wanaangalia cartoon na kuchomeka flash za movie
Haelewi kabisa kwamba kuna LG sijui ina nini

Kwahy ukaamua ututolee mfano sis wa star X!niko na yangu inch 55 milion 1 na lak mbili sijawah kujuta kuinunua
 
My mistake mpo sahihi HIMARS


Kuna kipindi ilikuwa ukitafuta service centre unapelekwa Nairobi, sasa hivi Website ya LG inaonesha kuna Service centre 3 tofauti, Morocco opposite Airtel, Nasra tower na Metl new Chox Nkurumah.
Wakuu mie ungaunga mwana nataka nikae humu! Maoni yenu wakuu Mayu Chief-Mkwawa View attachment 2499416
Screenshot_20230129-181237_Instagram.jpg
 
Next time funga tracker kama ni tv yenyewe kubwa na ni top brand.
Naomba msaada wa maelezo ya kuipata na kuifunga hii kitu (tracker). Nimehamia nje ya mji/makazi mapya kidogo. Nina hofu sana na usalama hasa ukizingatia nyumbani anashinda house-girl peke yake. Nataka nifunge hii kitu
 
Hizi ndio shule nilikuwa nahitaji mpaka kufunguwa huu Uzi.

Mkuu kwa kunisaidia nimebaini LG wako vizuri ingawa hawakuwa mawazoni kwangu kabisa, Sasa nataka nijilipuwe na LG.

Kwa Sasa LG hiyo Qled ya inch 43 inakwenda kwa bei gani na authorized agent au dealer anapatikana wapi?
LG utafurahia sana. Kama hela ipo nunua kubwa zaidi, 55" na kuendelea. Nilinunua LG 55" mahsusi kwa World-Cup, imenifanya sasa nashindwa kuangalia mpira kwenye TV zingine kabisa; kuna ladha nakosa kabisa.
 
Back
Top Bottom