Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Mo ni wakala ila sidhani kama Ana service centre.
Kuna wakala wawili wa LG Tanzania. Kuna Mo na Garnet star. Mo anapatikana posta nkurumah street oppsite na LATRA na service centre iko hapo hapo. Huyu Garnet star anapatikana Moroco na service centre iko hapo hapo. Ila pia kuna service centre ya LG inayojitegemea ipo kariakoo Nasra tower.
 
Kuna wakala wawili wa LG Tanzania. Kuna Mo na Garnet star. Mo anapatikana posta nkurumah street oppsite na LATRA na service centre iko hapo hapo. Huyu Garnet star anapatikana Moroco na service centre iko hapo hapo. Ila pia kuna service centre ya LG inayojitegemea ipo kariakoo Nasra tower.
My mistake mpo sahihi HIMARS


Kuna kipindi ilikuwa ukitafuta service centre unapelekwa Nairobi, sasa hivi Website ya LG inaonesha kuna Service centre 3 tofauti, Morocco opposite Airtel, Nasra tower na Metl new Chox Nkurumah.
 
Kuna wakala wawili wa LG Tanzania. Kuna Mo na Garnet star. Mo anapatikana posta nkurumah street oppsite na LATRA na service centre iko hapo hapo. Huyu Garnet star anapatikana Moroco na service centre iko hapo hapo. Ila pia kuna service centre ya LG inayojitegemea ipo kariakoo Nasra tower.
Wakala wa Sony yupi kwa Dar?
 
Wakala wa Sony yupi kwa Dar?
Wakala wa sony aliyepo ni Anisuma traders na duka lake liko mlimani city. Kwa bahati mbaya Sony kama imemzidi nguvu kusuply katika sokoni so kuna uhaba kabisa wa Tv za Sony. Nyingi zilizopo ni za watu kununua Dubai na china na kuzileta kwa jina lingine inaitwa Parallel Input au PI.
 
Duh siku hizi umasikini unapimwa kwa kuangalia brand ya TV unayoikubali?[emoji38][emoji38]
Sawa bwana, yangu macho tu[emoji23][emoji23]

Kwani hujui usiano wa purchasing power na income levels? Assuming preferences sio issue!

Ushawahi kuona maskini anakimbilia kununua iphone au BMW? Au anunue Samsung home thatre badala ya Subwoofer ya Sea Piano?

Ukumbuke global brands ni expensive, sasa nani asiyetaka hizo brand maarufu? Kikwazo ni kipato Mkuu!
 
Najuta kuchukua star X [emoji17][emoji55]‍[emoji2418], of course iko vzur Quality HD, muonekano mzuri deep black (margin nzur + kioo) zote n deep black sio unakuta margin nyeus kuliko kioo [emoji706] ishort iko poa nadhan inafatia baada ya hizi zinazo tembelea brand name SAMSUNG, LG,HISENSE labda na SONY

Sasa kilichokuja kuniboa na kuni suprise n kwamba haina direct connection na SUBWOOFER yan huez connect nyaya moja kwa moja kutoka kwenye subwoofer mpaka kwa TV maana ina input tu haina outputs unless utumie king’amuzi daah nlikasilika nkajua tv mbovu nkarudisha dukan jamaa ndo kudai ivo kwamba version mpya ya star X zko ivo nami nkafatilia nkakonfem so ikabid nitulie tu
Coz ile tv n mpya till today inakaratas nkasema hata nkikurupuka kuuza ntapata hasara tu maana nlinunua kipind ambacho tv zko juu sana

Kwaio njia pekee ambayo inaeza kupa connection ya tv na subwoofer ni king’amuzi daah sasa hii ishu imeniboa sana coz mm nna mzuka na music [emoji445] yan imenikata stimu kabisa nlikua sna ata mpango na king’amuzi ila imenibidi nifanye hivyo nataka nichukue DSTV ili ata muda mwingne niwe naweka flash kwenye king’amuzi pale napata ile direct connection

So sad, nmeulizia tena naambiwa kwamba king’amuzi cha DSTV huwa kina sehem ya flash lakini huwa hai function?!

Et wajuzi hasa wa DSTV kuna ukweli wowote katika hili ??maana nazidi kuzima stimu[emoji706][emoji706]

Tafuta 3.5 mm jack kwenye tv,itumie hiyo kuhamisha sauti kwenda kwenye sabufa.kisha tumia waya huu hapa chini,sidhani kama kuna TV inakosa hilo tundu la earphone.
IMG_0448.jpg
 
Kwani hujui usiano wa purchasing power na income levels? Assuming preferences sio issue!

Ushawahi kuona maskini anakimbilia kununua iphone au BMW? Au anunue Samsung home thatre badala ya Subwoofer ya Sea Piano?

Ukumbuke global brands ni expensive, sasa nani asiyetaka hizo brand maarufu? Kikwazo ni kipato Mkuu!
Kuna masikini kibao wananunua iPhone na kuna jamaa yangu Mzee wake ni mbunge lakini anatumia Infinix Smart 6 licha ya kuwa na nyumba ya gharama kubwa na ukizingatia ni mbunge , nilishangaa sana. Ndio nikaacha kupima uwezo wa kifedha wa mtu kwa kuangalia simu au labda TV au bidhaa yoyote anayotumia🥱🥱
 
Brand comes first

Brand matters

Tatizo tunatumia umasikini wetu kudowngrade hizo brand kubwa..kumbuka hazikufika hapo bahati mbaya

Tukubali tu…SONY,LG,SAMSUNG is the best

Quality,technology and durability and value for money
 
Lakini wabongo tuna dhana mbaya sana.

Hivi kweli mtu hata mwenye iphone 11 mtu anaona ana hela[emoji28][emoji28].

Tunashindwa kujua mtu anaweza jitia ujinga tu akauza shamba akanunua iphone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio kama hapa tu, kisa watu wanatumia TV za Samsung na LG ndo wanajiona matajiri[emoji38][emoji38]
 
Brand comes first

Brand matters

Tatizo tunatumia umasikini wetu kudowngrade hizo brand kubwa..kumbuka hazikufika hapo bahati mbaya

Tukubali tu…SONY,LG,SAMSUNG is the best

Quality,technology and durability and value for money
Hakuna aliyekataa ila hapo kwenye value for money hebu nishushe kidogo[emoji2960][emoji2960]
 
Ni kwa sababu moja tu mkuu, value for money.

Hisense ni budget tv brand, inakuonjesha ubora kidogo kwa bei ya chini kidogo.

Hata hivyo Hisense sio brand bora ya kuchina, kuna TCL sijui TLC hii ndio kidogo kujaribu kuwakaribia Samsung ama LG.

Ukitaka tv ya bei ndogo na ubora wa kawaida nenda tu Hisense.

Samsung Galaxy S22 ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni milioni 2-3, Tecno ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni laki 5-7. Kwa kua zote zinaweza kurekodi video za 8k haina maana kwamba zinalingana.

Vits ni gari sasa sawa na LC 300, kwamba zote zinatembea barabarani kama gari ila kuna tofauti kubwa sana kati ya vits na V8.
Nitajie Tekno inayoweza kurekodi 8K
 
Mimi natumia sundar inatumia umeme mdogo kioo ni 4k harafu inakuja na screen protector wenyewe wanaita double screen. Tatizokubwa sio multpurpose yani huwezi kuchart whatsap huku unasikiliza mziki wa kwenye tv hiyo iyo. Harafu mda mwingine ni kama inazidiwa uwezo kama nikiitumia kuchat na kubrowse mtandaoni ila kwa kutizama movie tu ama kusikiliza music hii tv ni nzuri sana. Kwenye application za smart tu ndio ina kera sana
Sasa uchati whatsapp kwenye TV ili iweje? Watu wengine bana!
 
Hakuna aliyekataa ila hapo kwenye value for money hebu nishushe kidogo[emoji2960][emoji2960]

Soma vizuri line ya mwisho


—->Technologieën,Quality,durability

Hivo vitu ndo vinakupa value for money!

Nikupe mfano:mwaka 2012 nlinunua sony bravia 32’

Hii tv mpaka leo ipo haimjui fundi…ubora wake na teknolojia kwa kipindi kile ilikuwa mbele ya muda sana.
Mpaka nmeamua kununua sony Android juzi juzi

Hapa mimi sibishani wala si downgrage kampuni zingne ka hisense hapana..ila nazungumzia ubora wa kampuni fulani.

Unaweza kupata teknolojia na uzuri kwa bei rahisi lakini Ubora ni kitu kigumu sana kukipata kwa bei rahisi!!

Ubora ndo huamua bei…

(Nliwahi kutembelea nchi fulani nkakuta hizi saa za Hublot,Casio na Rolex original ni kuanzia £700 huko!

Nlishangaa kwasababu huku kwetu Rolex unapata kwa efu50 lkn ile high quality ambayo tunaona ni O.G inauza laki 3[emoji2][emoji2].

Nlichokuja kugundua kitu bora chochote ni gharama

So kwa bei ya original SONY,LG na SAMSUNG ni sawa kabisa kwa sababu ya ubora

Fid Q aliwahi kusema
“…kizuri ni kizuri lakini chenye ubora ni bora”
 
Back
Top Bottom