Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Home kuna TV moja inaitwa Sundar ina miaka mwaka wa tano sasa haijawahi kusumbua chochote subwoofer zimeungua sana na hadi stabilizer ya umeme imungua fuse mara kwa mara lakini TV haijawahi kusumbua chochote ni nzima kama ilivyonunuliwa ishu ni utunzaji tu.
 
Kwa kuzingatia haja yako ya kutaka kupata TV mpya ya 4K, hapa chini nimekuandalia orodha ya televisheni za 4K zenye ubora na bei nzuri kwa sasa nchini Tanzania.

#Brand na JinaMaelezoLinkBei wastani (TZS)
1LG UM7300Ina ukubwa wa inchi 55, teknolojia ya IPS 4K, inasaidia Dolby Vision na HDR10 Pro, na ina Smart TV yenye kiolesura cha LG webOS 4.5https://www.lg.com/eastafrica/tvs/lg-55UM7300PTA3,200,000
2Samsung RU7300Ina ukubwa wa inchi 65, teknolojia ya UHD Processor, inasaidia HDR10+ na HLG, na ina Smart TV yenye kiolesura cha Tizen OShttps://www.samsung.com/eastafrica/tvs/uhd-ru7300/UA65RU7300KXXA/4,500,000
3Sony X8000GIna ukubwa wa inchi 55, teknolojia ya 4K X-Reality Pro, inasaidia HDR10, HLG, na Dolby Vision, na ina Smart TV yenye kiolesura cha Android TVhttps://www.sony.co.tz/electronics/televisheni/x8000g-series3,700,000
4Hisense B7500Ina ukubwa wa inchi 50, teknolojia ya UHD Processor, inasaidia HDR10+, HLG, na Dolby Vision, na ina Smart TV yenye kiolesura cha VIDAA U 3.0https://www.hisense.co.tz/product/b7500/1,600,000
5TCL P715Ina ukubwa wa inchi 65, teknolojia ya 4K HDR Processor X1, inasaidia HDR10+ na HLG, na ina Smart TV yenye kiolesura cha Android TVhttps://www.tcl.com/tz/en/products/p715.html3,800,000
Natumaini orodha hii itakusaidia kupata TV ya 4K yenye ubora na bei nzuri. Unaweza kubofya link husika ili upate maelezo zaidi kuhusu kila TV na pia kuona bei halisi.
 
Mkuu, Model ipi ya Hisense you can recommend?
 
Umeeleza vema kwa lugha rahisi sana,
 
Mkuu, Model ipi ya Hisense you can recommend?
Model zipo nyingi mkuu na zina Variety ndogo ndogo ngumu nikikwambia model fulani halafu ukaikuta. Cha muhimu ujue tu specs za Tv husika. Ukienda Dukani nenda na Simu halafu Google specs ujiridhishe.
 
Model zipo nyingi mkuu na zina Variety ndogo ndogo ngumu nikikwambia model fulani halafu ukaikuta. Cha muhimu ujue tu specs za Tv husika. Ukienda Dukani nenda na Simu halafu Google specs ujiridhishe.
Angetaja budget yake, anataka size gani, kipaumbele kwa TV yake ni matumizi ya kawaida au kucheza game etc.,, Sehemu atakayokuwa anaitumia kuna mwanga sana au la, hizi taarifa kidogo zingesaidia ku narrow down
 
Wazungu hawaweki hela ya maana kwenye pochi. Angalia vizuri hilo pochi lako, sanasana utakutana na business cards tu.
Kama hilo pochi lina hela kweli basi si la mzungu bali ni la Mwana CCM anayeenda kwenye uchaguzi au aliyetoka kusaini mkataba wa nchi
 
Model zipo nyingi mkuu na zina Variety ndogo ndogo ngumu nikikwambia model fulani halafu ukaikuta. Cha muhimu ujue tu specs za Tv husika. Ukienda Dukani nenda na Simu halafu Google specs ujiridhishe.
Ahsante sana mkuu
 
Angetaja budget yake, anataka size gani, kipaumbele kwa TV yake ni matumizi ya kawaida au kucheza game etc.,, Sehemu atakayokuwa anaitumia kuna mwanga sana au la, hizi taarifa kidogo zingesaidia ku narrow down
Matumizi yangu ya TV ni kuangalia mpira, Filamu, kusafu mtandaoni.

Sio mpenzi wa Games.
Ninapenda picha nzuri. TV walau 55"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…