The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Ubora wa kioo upi?Si sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.
Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product
Piga chiniHisense
Upo sawa ungeongeza idadi za TV nyingineSio kwa sasa tu kwa kila wakati ni Lg Na Samsung tu
Hisense ondoa kwenye TV zinye ubora na mzuriSumsung, LG Hisense
Umenena vyemaLg Tv with magic remote control,
Utakuja kuniambia kitukitacho kukuta maneno yangu yaweke pini kisha weka mfukoniTafuta Hisense mi mwezi ujao Nachukua Hisense mpya..
Hakuna cha kuongezea hapoKufananisha Hisense na Samsung Ni Sawa na kufananisha tecno na iPhone
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Nilichojifunza hapa ni kwamba LG wapo vizuri lakini hawana kelele brand yao inajiuza yenyewe.Ni bajeti yako tu mkuu
Wale wachovu wenzangu wanakwenda na Boss, StarX
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu wa Tecno, Itel, infinix
Wale wa uchumi wa kati wanakwenda na Hisense, TLC
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Oppo Xiaomi nk
Wale wanaojiweza wanakwenda na Sony LG Samsung Apple Tv
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Samsung iPhone nk
Hii comments imemaliza, Hisense hamna kitu pale aisee upande wa TV only Sony na LG, Samsung nao almost jina tuu, TCL ni brand ya kichina Ila ya kibabe Sana.kama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.
kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m
Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.
Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.
hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.
South afrika - boksi la kaki
china - Boksi jeupe
Go for chines.
kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Inafanyaje inabdilisha channels au vipi?Jamani msaada, wadau flat yangu na king'amuzi Cha dstv vimekuwa na tabia ya kujibonyeza (hata usiposhika rimoti) Na ukisema ushike mda mwingine inajibonyeza hovyo hovyo Nafaka Accumen Mo Unavoidable Servant Reuben Challe
Hisense sio kaliHisense
Sio kweli, Fanya weka channel moja ziweke pamoja utaona kitu fulani hapo picha ndio linaanzaSi sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.
Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product
Nilitaka kushangaa hii TV isitajwe humu ningesema mumefanya makosa kumshauri vizuriTop brand ni SONY nlinunua android 4k TV 55 ni 1.8m lakini utapata value for money.
Sony moto mwngneI like sony
my entaitaiment package yote ni sony
Ps5
Sound bar(japo nmekutana na harman kardon studio8)
TV
Wewe unajua TVkama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.
kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m
Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.
Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.
hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.
South afrika - boksi la kaki
china - Boksi jeupe
Go for chines.
kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Uchukue utakuja kuyakumbuka maneno yakeMbona Hisense wengi wameisifu wewe umeitowa maana kabisa?
Mpeleke mwzio chooChuki tu si unajua m'bongo akishachukia kitu ndio basi tena
Umetoa muongozo vyemaNi kwa sababu moja tu mkuu, value for money.
Hisense ni budget tv brand, inakuonjesha ubora kidogo kwa bei ya chini kidogo.
Hata hivyo Hisense sio brand bora ya kuchina, kuna TCL sijui TLC hii ndio kidogo kujaribu kuwakaribia Samsung ama LG.
Ukitaka tv ya bei ndogo na ubora wa kawaida nenda tu Hisense.
Samsung Galaxy S22 ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni milioni 2-3, Tecno ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni laki 5-7. Kwa kua zote zinaweza kurekodi video za 8k haina maana kwamba zinalingana.
Vits ni gari sasa sawa na LC 300, kwamba zote zinatembea barabarani kama gari ila kuna tofauti kubwa sana kati ya vits na V8.
Hii inakamata vibaka boss?,watarudi hao na kuibeba na hiyo mpya😆😆Nimefunga camera.