Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

Mbona kama usha nasa mkuu? Ulipo kubali kupokea simu achilia mbali kufungua biashara ndio habari yako iliishia hapo
Mkuu, mimi nina akili timamu na mwenyewe anajua anadili na mtu wa aina gani,

Mwanamke ukishazaa nae na kama unataka mwanao/wanao wakupende muheshimu, mfanye awe rafiki yako, wajibika kama Baba ili hata watoto wasipokuona yeye mwenyewe ndo awaambie hiki kawanunulia baba yenu

Sifa kuu ya mwanaume ni kutumia akili kudili na mwanamke, mwanamke ukishamjua udhaifu wake ulipo hatakusumbua

Huyu najua anachohitaji ni uwajibikaji kama mzazi mwenzie, hivyo na mimi nipo active kwa hili
Huwa akiniambia mtoto anahitaji kitu fulani, kama ni cha muhimu nanunua nampelekea ila kama hakina umuhimu nitaangalia mbadala wake ambacho kitakuwa na umuhimu nitanunua nitampelekea akiniuliza alichoniagiza namjibu "siku nyingine"

Hivyo hata nikiondoka namuacha akiwa na furaha kuona Baba nawajibika

Kuhusu ishu ya biashara ni kwa ajili ya watoto mkuu,
Mwanamke hana shughuri yoyote ya kufanya hivyo ikitokea leo nimekufa watoto wataishije?, nani atawahudumia? Vipi kuhusu kuwasomesha? Maana ye yupo yupo tu muda wote anashinda nyumbani hana shughuri yoyote inayomuingizia kipato, kuna kipindi nilimwambia apeleke watoto kwa shangazi yao ili yeye atafute shughuri ya kufanya, siku naonana nae namkuta mtu kakonda hadi nikamwonea huruma

Namuuliza vipi ananijibu anauza duka la mjomba wake lakini biashara hakuna hivyo mjomba wake kaamua kufunga duka na yeye kulala njaa ni kitu cha kawaida, akaniomba kwa kuwa hana kazi ya kufanya basi ni vyema akachukue watoto awalee niwe nawahudumia wakiwa kwake

Hivyo na ukizingatia sa hv ndo anaitafuta 30yrs akili imeshamkaa sawa hivyo hata nikimfungulia biashara kuiua itakuwa ni ngumu maana kushapitia msoto mkali, na nilimuuliza, "ulipokuwa na mimi ulikuwa una mwili na unapendeza sa hv vipi mbona umekongoroka ilhali ulikuwa umeolewa?"

Ananijibu kwa kifupi tu, "Em niache kwanza sitaki hata unikumbushe" akinijibu hivyo mi najikuta namsikitikia tu

Na nimeshamtahadharisha, nimemwambia kabisa nikikufungulia biashara ukiiua nachukua watoto kisha wewe upambane na hali yako

Kifupi ninachokifanya sasa ni kwenda na biti yake tu, akizinguwa na mimi nazinguwa
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Una uhakika naye anatambua uhalisia kama uuonavyo wewe? vizuri umenikuta kwenye utafuti mmoja hebu naomba mfanye zoezi hili na mkeo halafu uniambie kama mnafikiria sawa au tofauti!
Fingers crossed.jpg
Ni simple tu Mbinu mbadala ya kumtambua potential 'soul mate' kwa kutumia vidole!
 
Mkuu sote tuko kwenye dimbwi moja ila mimi nahisi yamenifika shingoni. Nina miaka nane kwenye ndoa na tuna watoto wawili na watatu tunatarajia mwisho wa mwezi wa saba.

Nimekuja kugundua kua mke wangu amekua akini manipulate over the years na kufanya kila tulichochuma kua ni mali yake hivi tunavoongea tumetoka kuhamia kwenye nyumba yetu miezi saba nyuma nyumba iko kwa jina lake japo tumechangia 50-50 kujenga. Pesa ya ujenzi na ununuzi mimi niliipata kwa kukopa kwa marafiki na vijiakiba vya hapa na pale, yeye pesa aliisave sababu alifanya kazi kwa miaka takriban 6 na hakuwahi tumia senti tano yake sababu nilikua nikihudumia kila kitu kama mwanaume.

Worse enough ninapokua sina pesa sababu ya majukumu hua hanielewi na ndio inakua chanzo cha ugomvi wetu kila siku na inafikia hadi kutaka kuniua kipindi akiwa na hasira. On three different occassion ameshanishkia kisu tukiwa wawili tu ndani na akataka talaka yake na nilimpa mara mbili maana sikua na jinsi.

Mwisho wa siku nimekuja kugundua mke wangu ana mental disorder inaitwa NARCISSIST na the only solution is to run away.

Hapa nasubiri ajifungue nimwache na kila kitu mimi nikatafute peace of mind life is too short.
 
Mkuu sote tuko kwenye dimbwi moja ila mimi nahisi yamenifika shingoni. Nina miaka nane kwenye ndoa na tuna watoto wawili na watatu tunatarajia mwisho wa mwezi wa saba.

Nimekuja kugundua kua mke wangu amekua akini manipulate over the years na kufanya kila tulichochuma kua ni mali yake hi
Aisee...
 
Mkuu sote tuko kwenye dimbwi moja ila mimi nahisi yamenifika shingoni. Nina miaka nane kwenye ndoa na tuna watoto wawili na watatu tunatarajia mwisho wa mwezi wa saba.

Nimekuja kugundua kua mke wangu amekua akini manipulate over the years na kufanya kila tulichochuma kua ni mali yake hivi tunavoongea tumetoka kuhamia kwenye nyumba yetu miezi saba nyuma nyumba iko kwa jina lake japo tumechangia 50-50 kujenga. Pesa ya ujenzi na ununuzi mimi niliipata kwa kukopa kwa marafiki na vijiakiba vya hapa na pale, yeye pesa aliisave sababu alifanya kazi kwa miaka takriban 6 na hakuwahi tumia senti tano yake sababu nilikua nikihudumia kila kitu kama mwanaume.

Worse enough ninapokua sina pesa sababu ya majukumu hua hanielewi na ndio inakua chanzo cha ugomvi wetu kila siku na inafikia hadi kutaka kuniua kipindi akiwa na hasira. On three different occassion ameshanishkia kisu tukiwa wawili tu ndani na akataka talaka yake na nilimpa mara mbili maana sikua na jinsi.

Mwisho wa siku nimekuja kugundua mke wangu ana mental disorder inaitwa NARCISSIST na the only solution is to run away.

Hapa nasubiri ajifungue nimwache na kila kitu mimi nikatafute peace of mind life is too short.
Hii ya kwako ndo yenyewe sasa.
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Hivi mpka unaamua kukaa namtu hukuyaona hayo?
 
Piga chini atapata wa kufanana naye...

Kulazimisha sana mahusiano ya hivyo, mwisho wa siku ndio watu huishia kutoana roho sababu uvumilivu hufikia ukomo...
 
Daaa mkuu pole Sana, yaani hata wa kwangu yupo hivyohivyo. Mi nilichokifa ya nimempiga mimba ahangaike nayo huko harafu tendo la ndoa hata simuombi tena na yeye anaona kawaida tu


Umempiga mimba kama adhabu??!😱--- na wewe ulipokuwa mimba maana yake Baba yako alimpa adhabu mama yako??!!

Tunapoandika tuwe tukifikiri kwanza.
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa


Hakuna kesi ya upande mmoja, labda na wewe unao ukorofi wako ambao yeye ndiye anaoujua, haiwezekani akawa na kiburi na.jeuri from nowhere!!😱
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Mbona ni rahisi sana tu, chagua mwenyewe mojawapo ya suluhisho hapa chini.
1. Acha kumpa pesa za matumizi (kama wewe ndio umeshikiria uchumi wa familia).

2. Fukuza kabisa (kama hamna ndoa rasmi au unaishi bila kujari sana)

3. Tafuta pisi nyingine kali zaidi na hakikisha anajua (kama wewe ni muhuni kimtindo)

4. Kata kabisa huduma ya unyumba (kama unaweza kula mizigo mingine mitaani)
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Mbuzi kagoma kwenda
 
Back
Top Bottom