Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #381
I appreciate that bro, je unapenda technology kuhusu nini 👉medicine, cars, food production au ipi??Napenda kuangalia mashine mpya au technologia mpya iliyogunduliwa duniani ya kitu chochote japo navutiwa zaidi na Mchines. Yaani naweza kukaa kwenye Computer hata siku nzima nafuatilia (new discoveries)
Hivi vitu (machines/gadgets) vinakuja madukani vya new tech mnavishangaa pengine mimi navifahamu vizuri miaka tatu iliyopita.....
Feeling better kidogo, nakuona mpiga chaboo wa chama Cha weziAhahahah mkuu uzima upo..
How about your machooo
Ila mkuu umekuwa honest Sana,Hongera [emoji2]
Roho beganiHahaha, I mean no malice to nobody 😁😀
Sera zetu 👉 Panga mkononiRoho begani
Panga mkononi
Kuna Jamaa yupo igoma, anaitwa Paschal aisee ana vyuma ni 🔥🔥.Nipo mwanza, napenda sana sana movies hasa latest movies. Nipe direction
I mean no malice to nobody, keep enjoying unachopenda. Ila kuwa makini Kuna wengine wanabeba hadi mapanga😁😀Sijui kama nitakuja kuacha kubishana Yanga na Simba! Yaani ninavyoipenda Yanga huwa sitaki mtu aiseme vibaya halafu mimi ninyamaze!
Hahahaha, I mean no malice to nobody. Ko we na mabinti damudamu😁😀Ngono zembe...hii kitu hata wakisema Yesu anarudi leo sitoboi.!!!
Hongera kwa starehe yako, ila kuhusu shule. Nakushauri uwekeze kwenye matangazo ya Kulipia ili kufikisha ujumbe kwa hadhira kubwa.Uraibu wangu ni vitabu. Nasoma sana vitabu.😀😀. Nichukue nafasi hii kuwakaribisha Pius High School. Ni shule ya kutwa na Bweni yenye mazingira Bora sana. Tunapokea wanafunzi wa KIDATO Cha Tano Kwa muhula wa masomo 2023/2024 katika tahasusi zifuatazo PCB, PCM, CBG, EGM, HKL, HGL, HGK, PGM na HGE. Uteuzi unategemeana na matokeo ya KIDATO Cha nne 2022. Muombaji anatakiwa kuwa na angalau D mbili katika tahasusi anayotaka kusoma na matokeo ya jumla ya daraja la tatu. Tunapokea pia wanafunzi wa kuhamia Kwa KIDATO Cha kwanza, tatu na sita Kwa mwaka 2023. Ada zetu ni nafuu na hulipwa Kwa awamu. Kwa maelekezo zaidi, tafadhali wasiliana nami 0613162459. Shule ipo kata ya Toangoma-mbagala, Dar es salaam. Karibuni.
Sawa sawa ni vizuri sana....Feeling better kidogo, nakuona mpiga chaboo wa chama Cha wezi
Mkuu nakusubiri kule kwenye thread ya seriesHongera kwa starehe yako, ila kuhusu shule. Nakushauri uwekeze kwenye matangazo ya Kulipia ili kufikisha ujumbe kwa hadhira kubwa.
👉Mfano redioni na channel za tv
oops! That's what i need, ninampataje sasa mkuuKuna Jamaa yupo igoma, anaitwa Paschal aisee ana vyuma ni
Mkuu labda nimuulizie mtu, yupo huko Kisha anipe direction Mana nime pasahau kidogooops! That's what i need, ninampataje sasa mkuu
Hii imeharibu maisha ya wengi nikiwemo mmKumwagilia moyo kwa kiasi huku nikiwa na mtoto mzuri pembeni yangu 😋
Kilikukuta nini tena 🤔🤔Hii imeharibu maisha ya wengi nikiwemo mm
hata phone number za huyo jamaa?Mkuu labda nimuulizie mtu, yupo huko Kisha anipe direction Mana nime pasahau kidogo
Same hereSinaga starehe aisee.. naendeshwa na mood