Ni suala la aibu kwa kampuni kubwa kama samsung, flagship device kuwa na technical weekness

Ni suala la aibu kwa kampuni kubwa kama samsung, flagship device kuwa na technical weekness

Younguther

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
243
Reaction score
483
Habari zenu watanzania wenzangu na poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa. Mwaka jana mwezi dec nilibahatika kununua samsung s20+, baada ya kujikunja kwa muda mrefu kutokana na simu niliyokuwa natumia mwanzo(samsung s8) kuharibika betri. Lengo la kuandika uzi huu miezi miwili iliyopita nilipata mshutuko baada ya simu yangu ghafla kujitokeza mstari wa kijani kweny kioo mbaya zaidi sikuiangusha wala kuiingiza kwenye maji. Nikajaribu kupiga simu sehemu niliyonunulia kwa kuwa ilikuwa ndani ya warranty wakanijibu"warranty yao haihusishi vioo" nikapotezea.
Lakini baada ya kufanya tafiti zangu mitandaoni nimekutana na watu wengi duniani wakilalamikia hilo suala kwenye simu zao hasa samsung s series baada ya kumaliza kufanya update za software zilijitokeza mistari kama issues ya kwangu(global issue). Sasa kwa simu flag ship kama hizi ambazo zinabeba jina la kampuni haiwezi kuleta kashfa na sura mbaya kwa samsung, je kuna mwingine kashawahi kupata tatizo kama la kwangu?
 
Habari zenu watanzania wenzangu na poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa. Mwaka jana mwezi dec nilibahatika kununua samsung s20+, baada ya kujikunja kwa muda mrefu kutokana na simu niliyokuwa natumia mwanzo(samsung s8) kuharibika betri. Lengo la kuandika uzi huu miezi miwili iliyopita nilipata mshutuko baada ya simu yangu ghafla kujitokeza mstari wa kijani kweny kioo mbaya zaidi sikuiangusha wala kuiingiza kwenye maji. Nikajaribu kupiga simu sehemu niliyonunulia kwa kuwa ilikuwa ndani ya warranty wakanijibu"warranty yao haihusishi vioo" nikapotezea.
Lakini baada ya kufanya tafiti zangu mitandaoni nimekutana na watu wengi duniani wakilalamikia hilo suala kwenye simu zao hasa samsung s series baada ya kumaliza kufanya update za software zilijitokeza mistari kama issues ya kwangu(global issue). Sasa kwa simu flag ship kama hizi ambazo zinabeba jina la kampuni haiwezi kuleta kashfa na sura mbaya kwa samsung, je kuna mwingine kashawahi kupata tatizo kama la kwangu?
Kama ni software update hiyo ni kawaida watatoa patch ya kurekebisha as long as sio issue ya hardware. Crowdstrike tu juzi update yao ilisababisha computer na server kucrash duniani kote so haya mambo ni ya kawaida. apple aliwahi toa update ya maps barabara na madaraja yakapinda kwenye ramani yake
 
Ni refurb broh, but hata huko duniani wenye uwezo wanasema baada ya kufanya update za software nao zlionekana kuwasumbua
Kioo chake ni dynamic amoled ambavyo ndo vioo vipya sasa hvIe issue ya ku update kuweka mstari sidhan hv vioo vinhitaji intensive care kwa kwelinla sivyo utakua unalia cmu usingushe hovyo usiigonge hovyo au kuiibana kwenye mfukp wa suruali hovyo utalia
 
Kuna wanaosema hiv vioo vya OLED vilivyopo kwenye simu za samsung hasa s series kuanzia 20 na kuendelea vikipokea software update huwa simu inapata joto ambalo vioo vinashindwa kuhimili hivyo kupelekea hili tatizo la vertcal green lines
 
Habari zenu watanzania wenzangu na poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa. Mwaka jana mwezi dec nilibahatika kununua samsung s20+, baada ya kujikunja kwa muda mrefu kutokana na simu niliyokuwa natumia mwanzo(samsung s8) kuharibika betri. Lengo la kuandika uzi huu miezi miwili iliyopita nilipata mshutuko baada ya simu yangu ghafla kujitokeza mstari wa kijani kweny kioo mbaya zaidi sikuiangusha wala kuiingiza kwenye maji. Nikajaribu kupiga simu sehemu niliyonunulia kwa kuwa ilikuwa ndani ya warranty wakanijibu"warranty yao haihusishi vioo" nikapotezea.
Lakini baada ya kufanya tafiti zangu mitandaoni nimekutana na watu wengi duniani wakilalamikia hilo suala kwenye simu zao hasa samsung s series baada ya kumaliza kufanya update za software zilijitokeza mistari kama issues ya kwangu(global issue). Sasa kwa simu flag ship kama hizi ambazo zinabeba jina la kampuni haiwezi kuleta kashfa na sura mbaya kwa samsung, je kuna mwingine kashawahi kupata tatizo kama la kwangu?

Mkuu hizo simu zipo zenye hiyo shida labda unakuta ina doti kwenye kioo,
Sasa hapo muuzaji anabidi akwambie
 
Habari zenu watanzania wenzangu na poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa. Mwaka jana mwezi dec nilibahatika kununua samsung s20+, baada ya kujikunja kwa muda mrefu kutokana na simu niliyokuwa natumia mwanzo(samsung s8) kuharibika betri. Lengo la kuandika uzi huu miezi miwili iliyopita nilipata mshutuko baada ya simu yangu ghafla kujitokeza mstari wa kijani kweny kioo mbaya zaidi sikuiangusha wala kuiingiza kwenye maji. Nikajaribu kupiga simu sehemu niliyonunulia kwa kuwa ilikuwa ndani ya warranty wakanijibu"warranty yao haihusishi vioo" nikapotezea.
Lakini baada ya kufanya tafiti zangu mitandaoni nimekutana na watu wengi duniani wakilalamikia hilo suala kwenye simu zao hasa samsung s series baada ya kumaliza kufanya update za software zilijitokeza mistari kama issues ya kwangu(global issue). Sasa kwa simu flag ship kama hizi ambazo zinabeba jina la kampuni haiwezi kuleta kashfa na sura mbaya kwa samsung, je kuna mwingine kashawahi kupata tatizo kama la kwangu?
Hili ni tatizo limejitokeza kwa wengi duniani, nina jamaa naye alinunua mpya, alivyo update ikaleta mstari, samsung shop wamemlazimisha kaikaliq au kuangusha ila ni glabal issue. Samsung nao wamekubali kuna waliokumbwa na shida hii ila sijui wanaaumuaje.
 
Hili ni tatizo limejitokeza kwa wengi duniani, nina jamaa naye alinunua mpya, alivyo update ikaleta mstari, samsung shop wamemlazimisha kaikaliq au kuangusha ila ni glabal issue. Samsung nao wamekubali kuna waliokumbwa na shida hii ila sijui wanaaumuaje.
Inashusha hadhi brand, hapa kwanza nmestop maana kuna wengne wanaleta hadi kesi za s21,22 na 23. Bora warudishe note sokoni tuachane na s series
 
Back
Top Bottom