Ni suala la aibu kwa kampuni kubwa kama samsung, flagship device kuwa na technical weekness

Ni suala la aibu kwa kampuni kubwa kama samsung, flagship device kuwa na technical weekness

Zpo tofaut mkuu kama dex,wireless power sharing halafu pia hauwez kufananisha processor ya exynos ya kweny a 54 na qualcomm snapdragon ya kweny s series, huwez kurecord video ya 8k resolution kweny a54(performance kwa ujumla ni tofaut pia)
Kuna raia zinatumia simu kipiga na kupokea tu hazijui matumiz mengine ya simu ndio maana anaonana zinafanana
 
Back
Top Bottom