Ni suala la aibu kwa kampuni kubwa kama samsung, flagship device kuwa na technical weekness

Ni suala la aibu kwa kampuni kubwa kama samsung, flagship device kuwa na technical weekness

No lowend hazihusiki hapa wala midrange, hivi vioo vilitumika kwenye flagship, na kama kumbukumbu zipo sahihi flagship ya Xiaomi equivalent ya S20 Wali tumia IPS display simu kama Mi 10T na 10T pro.
Samahani kwa kukuuliza hivi hii phone ni lowended phone?
Screenshot_20240813-182906.png
 

Attachments

  • Screenshot_20240813-182906.png
    Screenshot_20240813-182906.png
    381.8 KB · Views: 4
Low to midrange mkuu, ni nzuri kuliko lowend za kawaida ila bado sio proper midrange.
Daaah, kumbe ndivyo.

Samahani lakini maana naona ina display ya Amoled pia Chipset ni ya Snapdragon gen 1 kwanini iwe low to mid-range device?
 
Daaah, kumbe ndivyo.

Samahani lakini maana naona ina display ya Amoled pia Chipset ni ya Snapdragon gen 1 kwanini iwe low to mid-range device?
Snapdragon zipo kwa tier hii

Snapdragon 8 gen
Snapdragon 7 gen
Snapdragon 6 gen
Snapdragon 4 gen

Zinazoanziwa na 8 hizo ni highend na flagship kwa ujumla, hizo ndio best na zinatumika simu za mamilioni,

Snapdragon 7 series hizi ni midrange za kati mpaka za juu. Kuna snapdragon 7+ hizi zenye kijumlisha zinakuwa zinakaribia highend na kuna snapdragon 7 gen bila alama hizi ni za kati na kuna snapdragon 7s hizi zinakaribia snapdragon 6 gen series.

Snapdragon 6 series na 4 series hazitofautiani sana ila 6 series ni nzuri kidogo.

4 series zipo chini zaidi ila nazo zinatofautiana zenye 4S zinakua chini zaidi.

Same kwa amoled, sio Amoled zote zinafanana,. Most of time Amoled za bei rahisi zinatoka Boe China, kuna feature nyingi hazina kama adaptive refresh rate, mwanga unakua sio mkali sana etc.
 
Snapdragon zipo kwa tier hii

Snapdragon 8 gen
Snapdragon 7 gen
Snapdragon 6 gen
Snapdragon 4 gen

Zinazoanziwa na 8 hizo ni highend na flagship kwa ujumla, hizo ndio best na zinatumika simu za mamilioni,

Snapdragon 7 series hizi ni midrange za kati mpaka za juu. Kuna snapdragon 7+ hizi zenye kijumlisha zinakuwa zinakaribia highend na kuna snapdragon 7 gen bila alama hizi ni za kati na kuna snapdragon 7s hizi zinakaribia snapdragon 6 gen series.

Snapdragon 6 series na 4 series hazitofautiani sana ila 6 series ni nzuri kidogo.

4 series zipo chini zaidi ila nazo zinatofautiana zenye 4S zinakua chini zaidi.

Same kwa amoled, sio Amoled zote zinafanana,. Most of time Amoled za bei rahisi zinatoka Boe China, kuna feature nyingi hazina kama adaptive refresh rate, mwanga unakua sio mkali sana etc.
Asante sana ngoja niingie YouTube niangalie sifa display yake na muonekana maana napenda sana simu yenye display isiyoumiza macho, pia isiyochemka wala kumaliza battery mapema.
 
Inashusha hadhi brand, hapa kwanza nmestop maana kuna wengne wanaleta hadi kesi za s21,22 na 23. Bora warudishe note sokoni tuachane na s series
Tatizo ni kwamba hakuna unapoweza kuipata samsung isipokuwa kwa samsung wenyewe.

Wenzenu duniani wanapotoa bidhaa jambo la kwanza wanalohangaikia ni upekee,hawataki kabisa unachopata kwao ukipate kwingine,ndio sababu hilo kioo la samsung huwezi kutana nalo kwingine likakufurahisha.

2016 walitoa samsung note 7,simu ile ililipotiwa kuripuka maeneo mengi sana kwa sababu ya ukubwa wa betri ambao haukuzingatia nguvu ya simu,ikawa ni kama kinu cha nuclear,katika mwaka ambao samsung wangepoteza kabisa wateja wao ilikuwa ni huu,maana walipigwa ban mpaka airport,mpaka kulazimika kurudisha simu zote viwandani,ila haikuwa hivyo.maana tayar wana kitu chao ambacho lazima uwatafute ukipate.

Ukiachana na hayo masimu yanayoharibika vioo,wana hizo A series ambazo ni nadra sana kukutana na tatizo hilo,hizo flagship za nyuma ambazo ndizo zina matatizo hayo na ubovu wa mabetri nyingi ni refub.
 
Hii ishu bwana inachangamoto mimi nae natuamia s20 kuna sik nilikaa online masaa 6 simu ikachemka baada ya muda ilileta vidot vidov vidog kwenye kioo hvo vidot unaona mwanga mweupe kwa ndan ila ilivyopoa tu ikarud kweny hali ya kawaida hizi sim n shida bors utumie tecno
Tecno? Tema mate chini mkuu.
 
Sijadondosha mkuu wewe jaribu kufwatilia utaona watu wanavyolalamikia hli suala
Hujaangusha kaka s20, s20+ naona ni shida kuna jamaa angu hapa kazini alichukua kakaa nayo miezi miwili imeleta hiyo mistari. Kuna jamaa mwingine ni foreigner anatunza sana simu yani nae juzi nilikuta kaweka simu yake mezani tayari imepata hizo lines. Kwakweli sijajua issue ni nini maana hilo tatizo lilikuwapo sana kwenye s6edge na s7 ila naona hizi s20 simekuwa changamoto
 
Snapdragon zipo kwa tier hii

Snapdragon 8 gen
Snapdragon 7 gen
Snapdragon 6 gen
Snapdragon 4 gen

Zinazoanziwa na 8 hizo ni highend na flagship kwa ujumla, hizo ndio best na zinatumika simu za mamilioni,

Snapdragon 7 series hizi ni midrange za kati mpaka za juu. Kuna snapdragon 7+ hizi zenye kijumlisha zinakuwa zinakaribia highend na kuna snapdragon 7 gen bila alama hizi ni za kati na kuna snapdragon 7s hizi zinakaribia snapdragon 6 gen series.

Snapdragon 6 series na 4 series hazitofautiani sana ila 6 series ni nzuri kidogo.

4 series zipo chini zaidi ila nazo zinatofautiana zenye 4S zinakua chini zaidi.

Same kwa amoled, sio Amoled zote zinafanana,. Most of time Amoled za bei rahisi zinatoka Boe China, kuna feature nyingi hazina kama adaptive refresh rate, mwanga unakua sio mkali sana etc.
Hivi na zile exynos ndo vipi. Mana baadhi ya flagship za Samsung zipo
 
Hivi na zile exynos ndo vipi. Mana baadhi ya flagship za Samsung zipo
Exynos ni soc za Samsung wenyewe, kwenye S23 series hawakutumia Exynos kabisa, na S24 series wame tumia Exynos 2400 ambayo ni nzuri.

Exynos za S22 na S21 zilikua na tabia ya ku overheat kama una matumizi makubwa vyema kuziepuka.

Pia Exynos 1480 ambayo Ipo kwenye Samsung Galaxy A55 ni nzuri.

Zenyewe zipo kama hivi

Exynos 2xxx series hizi ni flagship
Exynos 1xxx series hizi ni midrange

Hapo naongelea Zilizotoka hivi karibuni.
 
Exynos ni soc za Samsung wenyewe, kwenye S23 series hawakutumia Exynos kabisa, na S24 series wame tumia Exynos 2400 ambayo ni nzuri.

Exynos za S22 na S21 zilikua na tabia ya ku overheat kama una matumizi makubwa vyema kuziepuka.

Pia Exynos 1480 ambayo Ipo kwenye Samsung Galaxy A55 ni nzuri.

Zenyewe zipo kama hivi

Exynos 2xxx series hizi ni flagship
Exynos 1xxx series hizi ni midrange

Hapo naongelea Zilizotoka hivi karibuni.
Mfano hiyo Samsung exynos 9810 ambayo ipo kwenye baadhi ya simu za zao za s9 ndo ikoje mana hujaitaja au hizo namba zinakuwapo wapi
 
Kuna wanaosema hiv vioo vya OLED vilivyopo kwenye simu za samsung hasa s series kuanzia 20 na kuendelea vikipokea software update huwa simu inapata joto ambalo vioo vinashindwa kuhimili hivyo kupelekea hili tatizo la vertcal green lines
hili neno "refurb" ndio nimeliona leo.

ama kweli, kujifunza ni kila siku

YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
Ya kwangu ni clean kabisa hata haina dots, labda nahisi samsung wamefanya hvyo ili watu wanunue products zao mpya lakin inachafua jina la kampuni
Nunua mpya, kwa mawakala wanaotambulika na Samsung, achana na refurbished
 
Back
Top Bottom