Lakini mbona hadi leo imebaki vile vile. Kila kitu serikali ya Samia, mama katoa hela etc.BM alichimba biti "hakuma selikari sijui ya nani? hii ni selikari ya fisiemu"
Hapo alikuwa hapendi vile wanaita selikari ya Magufuli.
Kipindi cha Jakaya machawa walikuwa hawapo, Uchawa umeanzia kwa JPM.Lakini mbona hadi leo imebaki vile vile. Kila kitu serikali ya Samia, mama katoa hela etc.
Jambo likisha anzishwa na tena kama ni baya haliwezi kufa kirahisi.
Viongozi wameendelea kujikomba na kumsifia "Mama" kama walivyo fanya kwa Magufuli.
Kwani kuna nchi gani ilitangaza kufunga ubarozi wake hapa Tanzania kisa uhusiano umearibika?..hapana.
..matendo ya Magufuli hayakuwa yanaendana na mtu ambaye yuko karibu na anashauriwa na Ben Mkapa.
..Magufuli angekuwa anashauriwa na Mkala asingeharibu taswira ya nchi kimataifa na kidiplomasia kiasi kile.
Vyama ni wanachama ambao ni watu. Huo upya wa vyama unatoka wapi wakati kina Odinga ni walewale kila uchaguzi! Utasikia leo odm, kesho narc, kesho kutwa azimio...Ukiwauliza mbona hapo Kenya vyama ni vipya kila uchaguzi, na Kenya bado wako mbele yetu kwenye uchumi, afya, elimu, siasa nk wanapotezea.
Swala la kusifia mi nililisia ata kwa Kikwete, suala Mh Jakaya katoe hela tujenge hikihiki na kile zilikuwepo sema tu 2014 huko ni mbali hukumbukiKipindi cha Jakaya machawa walikuwa hawapo, Uchawa umeanzia kwa JPM.
Kazi ya machawa Ni kusifia/kutetea pasipostahili sifa/utetezi.
Sasa kwa hizi tozo, mfumuko wa bei, maisha magumu bila machawa labda Raisi ajiuzuru.
Unakumbuka mabango ya kampeni mwaka 2015? % kubwa ya mabango ya kampeni 2015 yalikuwa na maneno chagua Magufuli, Hapa kazi tu sio Chagua CCM! Unajua kwanini? CCM 2015 ilikuwa hoi bini taaban,.Ushauri wa kuwakomoa wapinzani ni kudhibiti kundi la JK ni ushauri aliochokua 100% toka kwa Mkapa. Lakini mambo mengine alikuwa hamsikilizi kabisa. Jambo hilo lilimfanya Mkapa apate msongo wa mawazo maana wenye CCM walimsaka Mkapa kwa kuwachongea kinyago kilichomtisha hata yeye mwenyewe.
Nakumbuka siku moja Mkapa alijitutumua mbele ya Magufuli na kusema, serikali ya Tanzania haipaswi kuitwa ya mtu, bali iitwe serekali ya ccm au ya Tanzania. Toka wakati huo Magufuli kwa aibu sio kwa woga, akawa anajitahidi kwa shingo upande kusema serikali ya CCM, mara ya Tanzania.
Wow! I like this man! Comment yake imenifurahisha Sana hasa hapo kwa Kenya. Vyama Ni vipya kila kukicha na mambo yanaenda.Ni hatari sana unapokuwa na chama kinachofanya chochote kuendelea kukaa madarakani. Kwa sasa CCM wako tayari kufanya lolote ili kubaki madarakani, na sio kwamba wako kwa ridhaa ya umma, bali wanaunyamazisha umma, na sauti zinazotakiwa kutoka ni zile za propaganda kuwa CCM inakubalika sana.
Wakiona hiyo porojo yao haikai vizuri, wanasema ni kweli CCM haipaswi kuendelea kukaa madarakani, lakini ni chama gani kipewe nchi. Ukiwauliza mbona hapo Kenya vyama ni vipya kila uchaguzi, na Kenya bado wako mbele yetu kwenye uchumi, afya, elimu, siasa nk wanapotezea.
Vyama ni wanachama ambao ni watu. Huo upya wa vyama unatoka wapi wakati kina Odinga ni walewale kila uchaguzi! Utasikia leo odm, kesho narc, kesho kutwa azimio...
Hivi chadema ingeshinda 2015 kuna mtu mwenye akili angetamba kwamba ccm imeondoshwa madarakani?
Alikuwa na mapungufu ila alikuwa na nia ya dhati ya kuona nchi inasonga mbele tofauti Sana na wale wahuni walioigeuza ikulu kuwa sehemu ya kuufanyia biashara na kulindana kwa msemo wa ''ccm ina wenyewe''..yule bwana hakufaa kwenye ile nafasi.
..kwanza afya yake haikuwa imara na hali hiyo ilimpelekea kushindwa kutekeleza majukumu yote ya nafasi aliyokabidhiwa.
..pili hakuwa ana uelewa wa dhamana ya uraisi na namna raisi wa nchi hii anavyotakiwa kuenenda.
CCM yenye VISION ilikuwa ya Nyerere.CCM walilazimika kumpa madaraka Magufuli kutokana na mazingira ya wakati ule ila walidhani wangeweza kumdhibiti. Magufuli akawashangaza na kuwafumba midomo hata wale ambao walidhani wangekuwa na sauti juu yake. Mmoja wa watu pekee ambaye NADHANI bado alibaki na kauwezo fulani ka kumkemea alikuwa ni Benjamin Mkapa.
Lakini kwa wengine Magufuli alikuwa too much. Si vigogo si nani, wote waliishi kwa hofu wasijue mzee anaweza akaamka na maamuzi gani juu ya maisha yao.
Sasa hivi CCM wako comfortable, Mama ameweza kuwadhibiti watu wa Magufuli. Polepole kamalizwa kisiasa kwa kupewa ubalozi na wengine kama kina Mwigulu ndiyo wanachafuliwa CV zao za kuwamaliza kabisa kisiasa.
Ila ninachoona CCM ni chama kinachotapatapa. Toka 1995 ni chama ambacho ni nusu mfu. Chochote wanachoweza kujishikizia ili waendelee tu kubaki madarakani, wanafanya hivyo. Siyo tena habari za itikadi au principles. Kwa maneno ya Kolimba, ni chama kilichopoteza dira na muelekeo.
Kesho wanaweza kumtengeneza 'Magufuli' mwingine ambaye watajiaminisha wataweza kumdhibiti tofauti ya yule wa nyuma au mazingira yatawalazimisha kumuunga mkono, na watatulazimisha tumkubali. Na kama kawaida yetu, tutakuwa tunarudia makosa ya nyuma bila kujifunza chochote kwa yaliyopita.
Unakumbuka mabango ya kampeni mwaka 2015? % kubwa ya mabango ya kampeni 2015 yalikuwa na maneno chagua Magufuli, Hapa kazi tu sio Chagua CCM! Unajua kwanini? CCM 2015 ilikuwa hoi bini taaban,.
JPM Aliharibuje taswira kimataifa? Kuna nchi tulikosana nayo? Kuna uhusiano tulivunja? Kifupi sema tu wazungu walikuwa hawampendi kwa sababu walishazoea kufaidi rasilimali zetu kwa Bei chee, JPM alikuwa na msimamo kitaifa kwa maslahi ya wengi...hapana.
..matendo ya Magufuli hayakuwa yanaendana na mtu ambaye yuko karibu na anashauriwa na Ben Mkapa.
..Magufuli angekuwa anashauriwa na Mkala asingeharibu taswira ya nchi kimataifa na kidiplomasia kiasi kile.
Wewe pia nili Sukuma gangBado unaleta hadithi zile zile za kushtakiwa MIGA
Watu wanakunyonya kwenye mikataba ya uwekezaji alafu unaogopa kuwagusa kisa utashitakiwa na utaharibu taswira ya nchi..!??
Hahahahaha, mkuu ina maana wewe pekee ndiye hujui kuwa Jiwe alikuwa muuaji na muovu kuliko mtu yoyote Tanzanian?JPM Aliharibuje taswira kimataifa? Kuna nchi tulikosana nayo? Kuna uhusiano tulivunja? Kifupi sema tu wazungu walikuwa hawampendi kwa sababu walishazoea kufaidi rasilimali zetu kwa Bei chee, JPM alikuwa na msimamo kitaifa kwa maslahi ya wengi.
Waliompinga wengi wao ni kwamba aliingilia maslahi yao waliyoyachuma kifusadi iwe kwenye CCM au serikali. Hawa ndiyo walitaka na wanaendelea kuaminisha baadhi ya watu kwamba Magu alikuwa ni katili (bila ushahidi) Mwengine anaweza kumpa jina baya kwa sababu aliondolewa kazini kwa vyeti feki. Kuna waliochota mali za CCM bila utaratibu, akiguswa, ooh Mwenyekiti mbabe.
Ukichanganya hao na jamaa zao lazima watamchukia, watapinga na kuchelewesha miradi kama SGR, MNHPP, ili waweze kuingia mikataba na kampuni wanazozijua ili zizalishe umeme mbadala, megawati 2,100 Au ndo kitengeneza ushindani wa kibiashara na MNHPP, naendelea kutafiti hilo.
Utasikia maiti ziliokotwa kwenye viroba. Juzi hapa nilisikia maiti ziliokotwa tena ila sijaona wanahabari wetu wakiendeleza hilo, yule Twaha kabana mdomo kimyaa!
RIP
Ila ccm walikosea sana kumleta yule muovu, bila Mungu tungeisha woteUnakumbuka mabango ya kampeni mwaka 2015? % kubwa ya mabango ya kampeni 2015 yalikuwa na maneno chagua Magufuli, Hapa kazi tu sio Chagua CCM! Unajua kwanini? CCM 2015 ilikuwa hoi bini taaban,.