Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kabisa bora kupoteza vyote ikibidikwa faida yao, hapo unapoteza vyote pesa na rafiki.
Kwani ukibet nani anajua/anakuona au ndio unabet ile ya makaratasi
Well said mkuu ndio yale yale kama ya mwezi mtukufu, watu wanaweka stop kwa muda lakini wanarudi kulekule.Ukweli ni kwamba watu wanatakiwa wa~focus kwenye value ya 24hours, nikiwa na maana ya kuipa heshima EVERY SINGLE DAY.
Haya masuala ya kusibiri mwisho wa mwaka ndio mtu ubadilishe life style huwaga ni excitement tu ya kuuona mwaka mpya,na baada tu ya kupita siku mbili tatu unashangaa umejikuta umerudi kwenye cycle ya tabia ulizoazimia kuacha kama kawaida.
Watu tujifunze kuona thamani ya kila siku mpya
Mara ya mwsho kubet karatasi ilikuwa 2019, nilitoa mkeka mrefu kunizidi urefu wanguAkili ikinirukaga natimba kibandani nabet makaratasini 😃
Samahani katibu was chama Cha mkono bao, form mpya zime ingia kutoka kwa mwenyekiti dronedrakeNyeto itanimaliza ndugu zangu.
Toka 2018 napambana, naacha miezi kadhaa narudi.
Ephen kisomo, mkali wa zimamoto. Muombe mshamba_hachekwi akufundishe mbinu za kivita.Nilipanga kila siku nitakua nasoma kupunguza mzigo UE ikikaribia, lakini holaaa!
Acha nione huu mwaka wa mwisho itakuaje
Dah🤣🤣😀🤔🤣🤣🤣🤣
Kwakuwa mimi ni malaika,bhas nayafahamu.
Hana lolotee!😒Ephen kisomo, mkali wa zimamoto. Muombe mshamba_hachekwi akufundishe mbinu za kivita.
Ila sio jf, wanawake hii kitu mnapenda sana.Kuchambana mtandaoni
nilivyo na upwiru nitamla🤣Ephen kisomo, mkali wa zimamoto. Muombe mshamba_hachekwi akufundishe mbinu za kivita.
Mtu ambaye hayuko civilized ana tofauti gani na kobeWatu au vikobe?
Mkuu hongera sana umefanikiwa kupunguza mwshowe utaweza kabisa kuacha, uzinzi 2023 hiyo dhambi sina.UZINZI
POMBE
SIGARA
UZINZI mwaka huu wote 2023 nimefanikiwa lkn pia 2023 nimekunywa bia zisizo zidi 30
unazipelekaga wapi?Nataka kuacha kuwarecord wateja wakizagamuana kwenye hii guest hapa Arusha
Yupi huyo?mtagi huyo IT guy, mie siachi ng'o
ukimkopesha mtu hakikisha hiyo hela haitoathiri mipango yako ya karibuni.Kabisa bora kupoteza vyote ikibidi
Unajua kuna wakati nikikaa kupiga hesabu huwa napigia hesabu pesa zangu zilizo nje nilizowakopesha watu
Kumbe silipwi basi mipango inaharibika au inachelewa
Nakua nazo na zile ambazo sio quality nazifutaunazipelekaga wapi?
Anza kuacha sasa kama unahitaji kubadilikaKuchukua wadada wazuri siachi kwa kipindi hiki. Labda baada ya miaka miwili mbeleni (kama Mungu atanijaalia uzima).