Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kabisa bora kupoteza vyote ikibidikwa faida yao, hapo unapoteza vyote pesa na rafiki.
Unajua kuna wakati nikikaa kupiga hesabu huwa napigia hesabu pesa zangu zilizo nje nilizowakopesha watu
Kumbe silipwi basi mipango inaharibika au inachelewa