dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
daah kutunza ndiyo issue nikipitisha masaa 24 tu hali tete kama nimetoka jelaWe kitunze kikiwa kingi anakuja kupita nacho mmoja shwaa kwa spidi ya 5G unakosa vyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daah kutunza ndiyo issue nikipitisha masaa 24 tu hali tete kama nimetoka jelaWe kitunze kikiwa kingi anakuja kupita nacho mmoja shwaa kwa spidi ya 5G unakosa vyote.
Za kusikia changanya na zako, siku hizi gono limeenea sanazile classic nasikia hawana Gono
😂 kwa hali hiyo lazima usaliti chamadaah kutunza ndiyo issue nikipitisha masaa 24 tu hali tete kama nimetoka jela
ukipiga na mafuta Gono inadundaZa kusikia changanya na zako, siku hizi gono limeenea sana
Huwezi kuacha bia mkuu.Kwanini mkuu? Soda hii hii pepsi ya baridi
Sitaki zinizoee kabisa, huwa nakunywa nikiamua sio dailyHuwezi kuacha bia mkuu.
Nimewahi kuitumia pia ila kuna muda nashindwa nachukua soda.Unapokuwa unatamani kutumia soda , jitahidi utumie kununua maji kama mbadala hii mbinu niliitumia na nina miaka 8 sasa situmii soda.
Hii ndio naiona leo, kwanini idundeukipiga na mafuta Gono inadunda
Jaribu tena ukiwa umeweka mikakati thabiti.Nimewahi kuitumia pia ila kuna muda nashindwa nachukua soda.
kuna kemikali inawauaHii ndio naiona leo, kwanini idunde
Sawa mkuu nitajaribu.Jaribu tena ukiwa umeweka mikakati thabiti.
😂 nimecheka sana, hilo sidhani kama lina ukweli. Siwezi onja sumu kwa kuilambakuna kemikali inawaua
alisikika clinician mmoja toka Mvuti
Kiukweli bado kidogo mkuu, zingine nimeshafanikisha kuacha. Hahahahahaa......Anza kuacha sasa kama unahitaji kubadilika
Marufuku kuwa na rafiki.Habari wakuu, herini wote kwa sikukuu za mwisho wa mwaka.
Tukiwa kwenye siku ya mwisho ya mwaka 2023 ni jambo jema sana kumshukuru Mungu na kumuomba atuvushe salama wote tuuone na kuuanza mwaka mpya wa 2024.
Kama ilivyo kawaida kwa miaka mingine iliyopita, baadhi yetu huweka maazimio ya kufanya kitu fulani kwa mara ya mwisho na kuahidi kubadilika kabisa mwaka mpya ukishaanza. Wengi ni ishu ya tabia na mazoea ya kufanya jambo fulani kwa mfano kuvuta sigara, kunywa pombe, kujichukulia sheria mkononi na tabia nyinginezo.
Hii ya kufanya kwa mara ya mwisho inawagharimu wengi sana na kushindwa kuacha tabia husika.
Binafsi mwisho wa mwaka jana niliweka azimio la kuachana na unywaji wa soda kabisa ila nimeshindwa kulifanikisha hilo, kwa kiasi fulani nimepunguza ila sijaweza kuacha jumla. Nipeni mbinu wakuu.
Ni tabia gani unapambana kuiacha kila mwaka na imeshindikana? Tupeane mbinu za kuacha/kuondokana kwa waliofanikiwa kuachana na mazoea/tabia hizo.
Wale wa kushindana na pombe na wanawake slow down ni hatari kwa afya.
Tuumalize mwaka 2023 salama wakuu.
NB: Pambana na yale mambo yaliyokukwamisha mwaka uliopita ufanye mwaka mpya kuwa wa kipekee kwako na wanaokuzunguka.
Umeweza?Marufuku kuwa na rafiki.
Kulala mapema yaani kulala saa tatu au nne kamili nimeshindwa lakini sijashindwa kabisaHabari wakuu, herini wote kwa sikukuu za mwisho wa mwaka.
Tukiwa kwenye siku ya mwisho ya mwaka 2023 ni jambo jema sana kumshukuru Mungu na kumuomba atuvushe salama wote tuuone na kuuanza mwaka mpya wa 2024.
Kama ilivyo kawaida kwa miaka mingine iliyopita, baadhi yetu huweka maazimio ya kufanya kitu fulani kwa mara ya mwisho na kuahidi kubadilika kabisa mwaka mpya ukishaanza. Wengi ni ishu ya tabia na mazoea ya kufanya jambo fulani kwa mfano kuvuta sigara, kunywa pombe, kujichukulia sheria mkononi na tabia nyinginezo.
Hii ya kufanya kwa mara ya mwisho inawagharimu wengi sana na kushindwa kuacha tabia husika.
Binafsi mwisho wa mwaka jana niliweka azimio la kuachana na unywaji wa soda kabisa ila nimeshindwa kulifanikisha hilo, kwa kiasi fulani nimepunguza ila sijaweza kuacha jumla. Nipeni mbinu wakuu.
Ni tabia gani unapambana kuiacha kila mwaka na imeshindikana? Tupeane mbinu za kuacha/kuondokana kwa waliofanikiwa kuachana na mazoea/tabia hizo.
Wale wa kushindana na pombe na wanawake slow down ni hatari kwa afya.
Tuumalize mwaka 2023 salama wakuu.
NB: Pambana na yale mambo yaliyokukwamisha mwaka uliopita ufanye mwaka mpya kuwa wa kipekee kwako na wanaokuzunguka.
Usiache. Ndio kijianiri kwenyewe hukoMiaka mitatu mfululizo nilipanga kuacha kubet....yani 2021-2023
Ngoja tuone 2024