Usingetia comment hapa ningejinyomga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingetia comment hapa ningejinyomga
Usiache. Ndio kijianiri kwenyewe huko
He jamani 😂Usingetia comment hapa ningejinyomga
Hongera mkuuu nakuombea uendelee kufanikiwa zaidi 2024UZINZI
POMBE
SIGARA
UZINZI mwaka huu wote 2023 nimefanikiwa lkn pia 2023 nimekunywa bia zisizo zidi 30
Basi acha mapema kabla hazijakukolea.Sitaki zinizoee kabisa, huwa nakunywa nikiamua sio daily
Kidogo kidogo hujaza kibabaKiukweli bado kidogo mkuu, zingine nimeshafanikisha kuacha. Hahahahahaa......
Soda ni kipengele kwa wengi ila tujitahidi tuache.Kupunguza matumizi ya soda, hii limeshashindikana kwangu miaka mitatu najaribu lakn waaapi.......nkitoka nje ya dar naweza kaa wiki sijagusa ila nkirudi asubuhi na mapema tu walete Kati na Takeaway au sprite/mirinda niga/7up/ Pepsi baridi mchana, mara nyingi asubuh joto Kali nashindwa kunywa chai natumia sana soda
Npo rough sana kwenye matumizi ya pesa😢 najaribu kuandika mahesabu pembeni naanza jtatu....j4 ohooo huko mbele naandika maumivu, nkipanga langu nikatimiza kinachofuata Kuna fungu linaenda kuumia, nkikutana na marafiki tuliopotezana mda mrefu Kuna fungu linaenda umia, nikipata usajili mpya(elewa) fungu inaenda umia
Yeah kwa asilimia 90Umeweza?
Kulala mapema siwezi labda niwe hoi naumwa vinginevyo siwezi lala kabla ya saa 6 usiku.Kulala mapema yaani kulala saa tatu au nne kamili nimeshindwa lakini sijashindwa kabisa
Hongera mkuuYeah kwa asilimia 90
Nitafanya hvyo mkuuBasi acha mapema kabla hazijakukolea.
Sema tutafika tuSoda ni kipengele kwa wengi ila tujitahidi tuache.
Matumizi sio shida kama unaweza kuweka akiba bila kuigusa, ikiwa matumizi yako yanakausha akiba yako ya malengo badilika hasa ukiwa mpambanaji.
Hata tukiwa tumechokaSema tutafika tu
Siku age ikisoma 40+ Sina kitu kwa benki nachokumbuka ni hela nlizokuwa nashika nikiwa 20'sHata tukiwa tumechoka
Weka akiba mkuu na uwekeze vinginevyo 40 sio mbaliSiku age ikisoma 40+ Sina kitu kwa benki nachokumbuka ni hela nlizokuwa nashika nikiwa 20's
Hii hata nikimaliza kazi zangu mapema huwa nachelewa kulala kabisa.Kulala mapema siwezi labda niwe hoi naumwa vinginevyo siwezi lala kabla ya saa 6 usiku.
🤣🤣🤣🤣🤣 ila weweKuamini watu.. nikidhani wote tuko na moyo soft. Kuna vikobe flani vimezingua 2023.
Kama haikudhuru ni vyemaHii hata nikimaliza kazi zangu mapema huwa nachelewa kulala kabisa.