Ni tabia gani umepanga/ulipanga kuiacha kufanya punde tu ukiuanza mwaka mpya? Vipi matokeo yake.

Ni tabia gani umepanga/ulipanga kuiacha kufanya punde tu ukiuanza mwaka mpya? Vipi matokeo yake.

Nataka niache kula wake za watu na vitoto vya form four b jamani maana hii bodaboda yangu ndio chanzo cha hayo yote.
 
Kupunguza matumizi ya soda, hii limeshashindikana kwangu miaka mitatu najaribu lakn waaapi.......nkitoka nje ya dar naweza kaa wiki sijagusa ila nkirudi asubuhi na mapema tu walete Kati na Takeaway au sprite/mirinda niga/7up/ Pepsi baridi mchana, mara nyingi asubuh joto Kali nashindwa kunywa chai natumia sana soda



Npo rough sana kwenye matumizi ya pesa😢 najaribu kuandika mahesabu pembeni naanza jtatu....j4 ohooo huko mbele naandika maumivu, nkipanga langu nikatimiza kinachofuata Kuna fungu linaenda kuumia, nkikutana na marafiki tuliopotezana mda mrefu Kuna fungu linaenda umia, nikipata usajili mpya(elewa) fungu inaenda umia
Soda ni kipengele kwa wengi ila tujitahidi tuache.

Matumizi sio shida kama unaweza kuweka akiba bila kuigusa, ikiwa matumizi yako yanakausha akiba yako ya malengo badilika hasa ukiwa mpambanaji.
 
Back
Top Bottom