Ni tabia gani umepanga/ulipanga kuiacha kufanya punde tu ukiuanza mwaka mpya? Vipi matokeo yake.

Unapokuwa unatamani kutumia soda , jitahidi utumie kununua maji kama mbadala hii mbinu niliitumia na nina miaka 8 sasa situmii soda.
 
Marufuku kuwa na rafiki.
 
Kupunguza matumizi ya soda, hii limeshashindikana kwangu miaka mitatu najaribu lakn waaapi.......nkitoka nje ya dar naweza kaa wiki sijagusa ila nkirudi asubuhi na mapema tu walete Kati na Takeaway au sprite/mirinda niga/7up/ Pepsi baridi mchana, mara nyingi asubuh joto Kali nashindwa kunywa chai natumia sana soda



Npo rough sana kwenye matumizi ya pesa😢 najaribu kuandika mahesabu pembeni naanza jtatu....j4 ohooo huko mbele naandika maumivu, nkipanga langu nikatimiza kinachofuata Kuna fungu linaenda kuumia, nkikutana na marafiki tuliopotezana mda mrefu Kuna fungu linaenda umia, nikipata usajili mpya(elewa) fungu inaenda umia
 
Kulala mapema yaani kulala saa tatu au nne kamili nimeshindwa lakini sijashindwa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…