samoramsouth
Senior Member
- Jan 16, 2011
- 192
- 30
Wananchi ndiyo wanatakiwa waiwajibishe serikali. Tanzania bunge ni sehemu ya serikali.Si tumetaka bure acha iwe Bure ila nadhani bado ni mapema kusema wazazi wagharimie
Serikali ingepaswa kubanwa na wabunge na asas za kiraia kuboresha elimu lakini Sasa bunge ni lao kwa sasa
Wananchi lazima wapate kiongozi wa kuanzisha hiyo move mmoja mmoja sio rahisi na elimu yenyewe ya kufanya hayo sidhani kama ipoWananchi ndiyo wanatakiwa waiwajibishe serikali. Tanzania bunge ni sehemu ya serikali.
KWA HIYO JF NDIO TUNAINGIZAWadau mimi ni mdau wa elimu kama mjumbe wa kamati mojawapo ya shule. Ni takribani kuanzia Januari 2024 fedha za Capitation mashuleni haziingizwi kwa wakati. Mfano fedha ya Machi na Aprili 2024 hadi sasa hazijaingizwa. Mitihani ya muhula wa kwanza ni hatihati kufanyika. Bwana Mkenda unaizungumziaje. ELIMU ELIMU ELIMU. USIMWACHE AENDE ZAKE.
Sio elimu bila malipo ni elimu bila AdaSio elimu bure ni elimu bila malipo point of correction