Ni Tanzania pekee ambapo ujinga unatetewa na kundi kubwa la watu

Ni Tanzania pekee ambapo ujinga unatetewa na kundi kubwa la watu

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza maisha.

Mustakabali mzima wa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ulikua chini ya maamuzi ya mtu mmoja. Yeye ndiye aliyekua muamuzi wa wapi maendeleo yaende au la, nani ale au afe njaa, nani ateuliwe au atumbuliwe. Mkusanyiko wa ujinga mwingi kama huu ulitotokana na udhaifu wa katiba yetu lakini pia na mapungufu ya afya ya akili ya kiongozi wetu.

Kama wenzangu walivyosema, mwenye enzi Mungu alituamulia ugomvi huu, je kuna haja ya kuendelea kutetea ujinga huo mwingi uliopita? Tumuombe Mungu atuvushe na atupe mapito na mwisho mwema. Asanteni

 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza maisha.

Mustakabali mzima wa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ulikua chini ya maamuzi ya mtu mmoja. Yeye ndiye aliyekua muamuzi wa wapi maendeleo yaende au la, nani ale au afe njaa, nani ateuliwe au atumbuliwe. Mkusanyiko wa ujinga mwingi kama huu ulitotokana na udhaifu wa katiba yetu lakini pia na mapungufu ya afya ya akili ya kiongozi wetu.

Kama wenzangu walivyosema, mwenye enzi Mungu alituamulia ugomvi huu, je kuna haja ya kuendelea kutetea ujinga huo mwingi uliopita? Tumuombe Mungu atuvushe na atupe mapito na mwisho mwema. Asanteni
Mkuu,usiwapendelee kwa kutowataja.Bila nukta ya shaka,hao ni CCM!
 
Muoga yule.Katoroka kuishi?😂😂😂😂
😂😃
20210409_001359.jpg
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza maisha.

Mustakabali mzima wa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ulikua chini ya maamuzi ya mtu mmoja. Yeye ndiye aliyekua muamuzi wa wapi maendeleo yaende au la, nani ale au afe njaa, nani ateuliwe au atumbuliwe. Mkusanyiko wa ujinga mwingi kama huu ulitotokana na udhaifu wa katiba yetu lakini pia na mapungufu ya afya ya akili ya kiongozi wetu.

Kama wenzangu walivyosema, mwenye enzi Mungu alituamulia ugomvi huu, je kuna haja ya kuendelea kutetea ujinga huo mwingi uliopita? Tumuombe Mungu atuvushe na atupe mapito na mwisho mwema. Asanteni
Muhuni tu wewe. Miaka sita ilikua ya utetezi mkubwa na ulinzi wa maslahi ya umma. Ilikua kilio kwa fisadi wazembe na binafsi wenye kuona maslahi yao ndio maslahi ya taifa.
Walaaniwe wote wenye fikra kama zako.
 
Muhuni tu wewe. Miaka sita ilikua ya utetezi mkubwa na ulinzi wa maslahi ya umma. Ilikua kilio kwa fisadi wazembe na binafsi wenye kuona maslahi yao ndio maslahi ya taifa.
Walaaniwe wote wenye fikra kama zsko.
1.5 Trillion ziko wapi? Chato airport na Burigi National Park ndiyo milestone zako? Azorry na Ben Saanane wako wapi?
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza maisha.

Mustakabali mzima wa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ulikua chini ya maamuzi ya mtu mmoja. Yeye ndiye aliyekua muamuzi wa wapi maendeleo yaende au la, nani ale au afe njaa, nani ateuliwe au atumbuliwe. Mkusanyiko wa ujinga mwingi kama huu ulitotokana na udhaifu wa katiba yetu lakini pia na mapungufu ya afya ya akili ya kiongozi wetu.

Kama wenzangu walivyosema, mwenye enzi Mungu alituamulia ugomvi huu, je kuna haja ya kuendelea kutetea ujinga huo mwingi uliopita? Tumuombe Mungu atuvushe na atupe mapito na mwisho mwema. Asanteni
tuliteseka sana aisee. Azory masikini mpaka leo hatujui alipo. halafu kuna mbuzi zinatetea huu uovu
 
Back
Top Bottom