mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
ili ukamtafute facebook???Mtaje anayetetea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ili ukamtafute facebook???Mtaje anayetetea
Nitahukumiwa kwa matendo yangu na yeye aliyetangulia hali kadhalikaMungu fundi kweli kweli,ndiye huyu anayejua wewe umebakiza masaa tu lakini uko unademka hapa kudhihaki kifo hicho hicho!!!!
Tumia ubongo na weye!Wale tunaowaita mashahidi wa Uganda walikufaje?Let that alone,Yesu alikufaje?Ujuaji mwingi wakati hujui hata tafsiri za vyanzo vya vifo.Nakucheka kwa dharau.cheki unavyojifariji kijinga,eliya kapigwa mawe mpaka anakufa unakuja kujichekesha hapa!!!
ndio sababu nikasema kabla hujafakamia bible hakikisha umekula kwanza.
Too low for meili ukamtafute facebook???
sasa unasemaje nimtaje!!!kwani unawajua wajerumani wote??Too low for me
Wala sio mlinganisho sahihi kabisa. Jpm na hitler wapi na wapi? Ni wapinga maendeleo na fisadi na wazembe waliyodhibitiwa na jpm ndio wanajaribu kupotosha eti alikua dikteta.Adolf Hitler alileta maendeleo makubwa sana ujerumani lakini atrocities alizofanya kwa human kind haziwezi kusahulika, hakuna anayetea ujinga wake
Ok.Hakuwa dikteta ila alikuwa mlevi aliyevamiwa na madaraka.Wala sio mlinganisho sahihi kabisa. Jpm na hitler wapi na wapi? Ni wapinga maendeleo na fisadi na wazembe waliyodhibitiwa na jpm ndio wanajaribu kupotosha eti alikua dikteta.
Alikuwa dikteta uchwaraWala sio mlinganisho sahihi kabisa. Jpm na hitler wapi na wapi? Ni wapinga maendeleo na fisadi na wazembe waliyodhibitiwa na jpm ndio wanajaribu kupotosha eti alikua dikteta.
cheka kwa dharau tu,si ndio akili zako zimeishia hapo!!nakusaidiaje sasa!!!Tumia ubongo na weye!Wale tunaowaita mashahidi wa Uganda walikufaje?Let that alone,Yesu alikufaje?Ujuaji mwingi wakati hujui hata tafsiri za vyanzi vya vifo.Nakucheka kwa dharau.
Niko timamuWatetezi wa marehemu na walinzi wa kaburi wanakuja na calibr missiles za kirusi,hakikisha umejiandaa .
Ndugu,kwenye maandiko huko umeonesha ulivyo mdebwedo.Jikite tu kumtetea jamaa yako jiwe.cheka kwa dharau tu,si ndio akili zako zimeishia hapo!!nakusaidiaje sasa!!!
unasema eliya hakufa kibudu nini maana ya kufa kibudu???nani alikufa kifo kibaya kati ya magufuli na eliya mtumishi wa Mungu???
Mungu ni mgumu sana kueleweka kwa vichwa panzi kama nyinyi,mnadandia maandiko tu kwa mbele.
Namuona jiwe kalalia jiwe[emoji23][emoji23][emoji23] maisha yapo kasi sana,,, huyu mzee alikua wa ajabu mnoooooo[emoji23][emoji2]View attachment 2268440
Kuna watu wapumbavu sana kama huyu mleta mada.Unaweza kulinganisha miradi mikubwa ya maendeleo na porojo za CAG? Watanzania tumesema hata angekula 5trilion sisi tuliridhika! Kwa sababu maendeleo tuliyaona! Hapakuwa na kodi za kijinga wala mikopo ya kipuuzi na maendeleo yalionekana! Kama FISADI na muuaji alifanya hayo yote! Hakika alikuwa FISADI mzuri na mwema sana! Azory na saa nane ndiyo kina nani? Watu maelfu na kina mama wajawazito wanakufa kila siku kwa ubovu wa miundombinu na huduma za afya unadhani wao sio watu? Kama hao wapiga chokochoko na wazuia maendeleo na kuzidi kuumiza maelfu ya watu kwa umasikini kwa siasa uchwara walipaswa kuondoshwa ili wengine waishi basi ni heri!1.5 Trillion ziko wapi? Chato airport na Burigi National Park ndiyo milestone zako? Azorry na Ben Saanane wako wapi?
Hapo alikuwa anawazuga wanaojiita wanyonge kwamba hata yeye ni mwenzao na anaweza hata kuota jua kama agama lizard aka sorokoto kuli.Uongo mtupu!😂😂😂😂Namuona jiwe kalalia jiwe[emoji23][emoji23][emoji23] maisha yapo kasi sana,,, huyu mzee alikua wa ajabu mnoooooo
Azory na saa nane ndiyo kina nani? Watu maelfu na kina mama wajawazito wanakufa kila siku kwa ubovu wa miundombinu na huduma za afya unadhani wao sio watu? Tena ndiyo uovu mkubwa huku viongozi wakitumia mabilioni kwa royal tour na kula kwa urefu wa kamba! Kama hao wapiga chokochoko na wazuia maendeleo na kuzidi kuumiza maelfu ya watu kwa umasikini kwa siasa uchwara walipaswa kuondoshwa ili wengine waishi basi ni heri!tuliteseka sana aisee. Azory masikini mpaka leo hatujui alipo. halafu kuna mbuzi zinatetea huu uovu
Toa hoja acha mihemuko, yule aliyekua anapora hela za watu kwenye mabenki? Aliekua anakopa pesa kwenye benki za biashara kimya kimya na kukudanganya miradi inaendeshwa kwa pesa zetu? Huyo aliyekua anatesa na kununua wapinzani au yule aliyekua anatumia pesa za serikali kukaa chato na delegation yake miezi sita?Mjinga na MPUMBAVU ni wewe unayepigwa kodi kila unapogeuka huku wenzio wakilamba ASALI! Hakuna utawala wa hovyo kama huu uliopo sasa! Magufuli pamoja na madhaifu yake hauwezi kumfananisha na takataka nyingine yoyote!