Ni Tanzania pekee ambapo ujinga unatetewa na kundi kubwa la watu

Ni Tanzania pekee ambapo ujinga unatetewa na kundi kubwa la watu

Azory na saa nane ndiyo kina nani? Watu maelfu na kina mama wajawazito wanakufa kila siku kwa ubovu wa miundombinu na huduma za afya unadhani wao sio watu? Tena ndiyo uovu mkubwa huku viongozi wakitumia mabilioni kwa royal tour na kula kwa urefu wa kamba! Kama hao wapiga chokochoko na wazuia maendeleo na kuzidi kuumiza maelfu ya watu kwa umasikini kwa siasa uchwara walipaswa kuondoshwa ili wengine waishi basi ni heri!
Na kwa nini watu wafe kizembe kwa kukosa huduma za msingi za afya?Usikwepeshe hoja.Iwe kupotea kwa watu,kodi za hovyo,kuuwawa watu,kuporwa mali na kuharibiwa,kukosa huduma nk,yote ni sababu ya CCM dhaifu.
 
Apumzike tu...nchi ilipoteza Uhuru wake maana hata viongozi wa dini wanaoliombea dua taifa wanaotumika kuwatuliza watu kwa maneno na vitengo walikosa thamani, kila kukicha walaka kumuhusu haya mambo hayakuerpo kabla.
vipi pale serengeti viongozi wa dini wanapata thamani au sio!!!!

acheni uchawa hautawasaidia.
 
Kuna watu wapumbavu sana kama huyu mleta mada.Unaweza kulinganisha miradi mikubwa ya maendeleo na porojo za CAG? Watanzania tumesema hata angekula 5trilion sisi tuliridhika! Kwa sababu maendeleo tuliyaona! Hapakuwa na kodi za kijinga wala mikopo ya kipuuzi na maendeleo yalionekana! Kama FISADI na muuaji alifanya hayo yote! Hakika alikuwa FISADI mzuri na mwema sana! Azory na saa nane ndiyo kina nani? Watu maelfu na kina mama wajawazito wanakufa kila siku kwa ubovu wa miundombinu na huduma za afya unadhani wao sio watu? Kama hao wapiga chokochoko na wazuia maendeleo na kuzidi kuumiza maelfu ya watu kwa umasikini kwa siasa uchwara walipaswa kuondoshwa ili wengine waishi basi ni heri!
Acha mihemuko jenga hoja
 
Na kwa nini watu wafe kizembe kwa kukosa huduma za msingi za afya?Usikwepeshe hoja.Iwe kupotea kwa watu,kodi za hovyo,kuuwawa watu,kuporwa mali na kuharibiwa,kukosa huduma nk,yote ni sababu ya CCM dhaifu.
sasa kiherehere cha kumparamia jpm peke yake ni sababu alikuulia mume au???

hata huyo mumeo saanane alisahau adui yakeni yupi akaanza kumsakama mtu kama mtu,akakutana na kitu kizito.
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza maisha.

Mustakabali mzima wa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ulikua chini ya maamuzi ya mtu mmoja. Yeye ndiye aliyekua muamuzi wa wapi maendeleo yaende au la, nani ale au afe njaa, nani ateuliwe au atumbuliwe. Mkusanyiko wa ujinga mwingi kama huu ulitotokana na udhaifu wa katiba yetu lakini pia na mapungufu ya afya ya akili ya kiongozi wetu.

Kama wenzangu walivyosema, mwenye enzi Mungu alituamulia ugomvi huu, je kuna haja ya kuendelea kutetea ujinga huo mwingi uliopita? Tumuombe Mungu atuvushe na atupe mapito na mwisho mwema. Asanteni
Hapo kwa mwenye kuamua nani aishi nani asihishi unaweza kuhibitisha pasi na shakha kuwa alikuwa alifanya hivo?
 
Na kwa nini watu wafe kizembe kwa kukosa huduma za msingi za afya?Usikwepeshe hoja.Iwe kupotea kwa watu,kodi za hovyo,kuuwawa watu,kuporwa mali na kuharibiwa,kukosa huduma nk,yote ni sababu ya CCM dhaifu.
sasa kiherehere cha kumparamia jpm peke yake ni sababu alikuulia mume au???

hata huyo mumeo saanane alisahau adui yakeni yupi akaanza kumsakama mtu kama mtu,akakutana na kitu kizito.
 
Sasa mwandiko una kelele?Hebu kuwa na akili unapoeleza jambo.Acha mazoea.Mwisho utaandika unasikia harufu ya ushuzi inatokea JF.🤔🤔🤔🤔
mwandiko una kelele ndio maana una alama kiazi weww,ukiuzwa huwezi jua kama hili ni swali kisa husikii sauti????
Mimi mtawa sina mke.Jiwe atasakamwa hadi mlie.Kuku ninyi!😂😂😂
sisi tulilia siku amekufa,nyinyi mtashikwa na uchungu mpaka mnaingia ardhini maama mimba aliyowaachia ni kubwa mno.
 
Azory na saa nane ndiyo kina nani? Watu maelfu na kina mama wajawazito wanakufa kila siku kwa ubovu wa miundombinu na huduma za afya unadhani wao sio watu? Tena ndiyo uovu mkubwa huku viongozi wakitumia mabilioni kwa royal tour na kula kwa urefu wa kamba! Kama hao wapiga chokochoko na wazuia maendeleo na kuzidi kuumiza maelfu ya watu kwa umasikini kwa siasa uchwara walipaswa kuondoshwa ili wengine waishi basi ni heri!
unatoa kejeli kwa azory na saanane kwa kuwa tu si ndugu zako wa damu
huduma za afya kama ulivyo sema ni kama hakuna, hasa vijijini
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza maisha.

Mustakabali mzima wa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ulikua chini ya maamuzi ya mtu mmoja. Yeye ndiye aliyekua muamuzi wa wapi maendeleo yaende au la, nani ale au afe njaa, nani ateuliwe au atumbuliwe. Mkusanyiko wa ujinga mwingi kama huu ulitotokana na udhaifu wa katiba yetu lakini pia na mapungufu ya afya ya akili ya kiongozi wetu.

Kama wenzangu walivyosema, mwenye enzi Mungu alituamulia ugomvi huu, je kuna haja ya kuendelea kutetea ujinga huo mwingi uliopita? Tumuombe Mungu atuvushe na atupe mapito na mwisho mwema. Asanteni
Katika kipindi cha Mwaka mmoja na miezi michache nchi yetu inashuhudia utawala unaolinda Viongozi mafisadi, wafanyabiashara wakubwa na watumishi chawa na kutojali haki na heshima za raia wa hali ya chini kama kiini na chachu ya maendeleo kupitia makusanyo ya kodi na tozo za kinyonyaji.

Watanzania wote wasio viongozi,wafanyabiashara wakubwa watumishi wenye nyadhifa za juu serikalini wamekatwa mkia na kuwa hawana tofauti na wakimbizi nchini.

Mustakabali wote wa mipango, maendeleo na matumizi ya nchi yako kwa kikundi cha watu wachache "Oligarchs" ambao ni wanasiasa wa CCM na wafanyabiashara wakubwa tokana na fedha wanazokwapua toka kwa raia kupitia kodi na tozo za kinyonyaji pamoja na kuuza rasilimali za taifa.

Tunatumaini ipo siku yatakwisha haya ila hatuna hakika tutakuwa katika hali gani hio siku ambayo haya yatafikia tamati. Tumerudi nyuma kihatua kwa 99% toka ambako tulikuwa tunaelekea kimaendeleo na utunzaji wa rasilimali za taifa.

Zile zama za shamba la bibi zimerejea kwa kasi kubwa na sasa yote yanafanyika bila vazi la uwoga wala aibu mbele ya raia. Maisha yanapanda kwa kasi ya ajabu, tozo lukuki, kila kitu bei juu. Miradi haiendelezwi, ni udokozi unafanyika bila soni watu wanalambishana asali huku wananchi hawaelewi hatma yao ya kesho.

Mamlaka zimejipanga kunyonya raia kwa kisingizio kuwa ni kuleta maendeleo ambayo ni kiini macho. Maendeleo hayo hayo ambayo yanakopewa hela kwa matrillion ndio hayo hayo yanayokusanyiwa tozo. Msimamizi yupo ila hatuoni hatua za kiuongozi anazochukua.

Sina budi kusema tuliingia choo cha kike kwenda kinyume na ukuu wa Mungu kwa kujifanya tuna akili sana. Mama kazi yake halisi ni kuzaa, kulea na kusimamia nyumba sio majukumu mazito ambayo tumemtwisha. Kwa upande wa mafisadi na ma chawa kwao awamu hii ni bora kuliko iliopita ila raia wa hali ya chini ni msiba usio na wafariji.

Tusijizime data, hio kazi na uchawa unaoringa nao baada ya miaka 5-10 watoto wako hawatafaidika nao kwa lolote lile. System inazidi kuoza kwa comfort ya muda mfupi.
 
Wasalaam wana JF

Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza maisha.

Mustakabali mzima wa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ulikua chini ya maamuzi ya mtu mmoja. Yeye ndiye aliyekua muamuzi wa wapi maendeleo yaende au la, nani ale au afe njaa, nani ateuliwe au atumbuliwe. Mkusanyiko wa ujinga mwingi kama huu ulitotokana na udhaifu wa katiba yetu lakini pia na mapungufu ya afya ya akili ya kiongozi wetu.

Kama wenzangu walivyosema, mwenye enzi Mungu alituamulia ugomvi huu, je kuna haja ya kuendelea kutetea ujinga huo mwingi uliopita? Tumuombe Mungu atuvushe na atupe mapito na mwisho mwema. Asanteni
Athati ya majaribio ya kuvuta bangi, imekuharibu tayari. Pole kinda.
 
Back
Top Bottom