Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Ateswe bila sababu kwani wao ni wendawazimu?!Kama hukutesewa baba yako unaweza usilione hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ateswe bila sababu kwani wao ni wendawazimu?!Kama hukutesewa baba yako unaweza usilione hili.
Mkuu ata Adolf Hitler alileta maendeo makubwa Germany lakini kwa ukatili wake hakuna anayemteteaKitendo cha kujua hujui kitu ni busara na una akili. Ila anaejua anajua kumbe hajui hana busara. Je umeshindwa kuelewa maendeleo yaliyoletwa kwa mda mfupi na mwamba JPM?
😅😅😅kweliMkuu,usiwapendelee kwa kutowataja.Bila nukta ya shaka,hao ni CCM!
Dunia ina watu na viatutuliteseka sana aisee. Azory masikini mpaka leo hatujui alipo. halafu kuna mbuzi zinatetea huu uovu
Duh,tulipatwa kwakweli