Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
wezi sanaMkuu,usiwapendelee kwa kutowataja.Bila nukta ya shaka,hao ni CCM!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wezi sanaMkuu,usiwapendelee kwa kutowataja.Bila nukta ya shaka,hao ni CCM!
Bado risasi 16 kwa Tundu LissuAsiseme hajui hayo yote.Ajibu kwa utulivu mkubwa.
kama mwisho mbaya ni kifo basi shime,elimu ya uzima na kifo ikafundishwe upya kwa baadhi yenu.Nchi hii inaombewa si kwa Maneno tu bali hadi kwa machochi yatililikayo pasipo ukomo kwa uamsho mkubwa wa Maombi.
Atakaye Kuwa adui wa haki Mwisho wake utakua Mbaya.
1.5 sema wewe unàyesema ziliibiwa zikawekwa wapi!!!1.5 Trillion ziko wapi? Chato airport na Burigi National Park ndiyo milestone zako? Azorry na Ben Saanane wako wapi?
Usijiliwaze.Hata Mungu huwaondosha waovu kwa vifo.Fuatilia maandiko ya imani.kama mwisho mbaya ni kifo basi shime,elimu ya uzima na kifo ikafundishwe upya kwa baadhi yenu.
Na tukaambiwa hakuna Covid 19, watu wamepoteza maisha by a state engineered cheap propagandakama mwisho mbaya ni kifo basi shime,elimu ya uzima na kifo ikafundishwe upya kwa baadhi yenu.
Upuuzi tu. Huyo azarry na ben saa nane wakipotea kwa upingaji wao maendeleo, na hiyo 1.5 tr hewa ndio utalinganisha na maendeleo makubwa yaliyofanyika kwenye uwekezaji kwenye miundombinu afya na uboreshaji wa utawala kwa kupunguza rushwa na ufisadi?1.5 Trillion ziko wapi? Chato airport na Burigi National Park ndiyo milestone zako? Azorry na Ben Saanane wako wapi?
usifuatilie maandiko kijinga namna hiyo.Usijiliwaze.Hata Mungu huwaondosha waovu kwa vifo.Fuatilia maandiko ya imani.
Watetezi wa huo ujinga ndiyo mje mlieleze taifa1.5 sema wewe unàyesema ziliibiwa zikawekwa wapi!!!
ben na azorry hawajulikani walkie mpaka leo.
Farao alipikiwa pilau pwani ya bahari ya Shamu?Tumia hata magoti kutafakari.Au hadi uisikie sauti inakuambia ..."huyu kibaka nauondoa uhai wake kwa uovu wake"...kutoka uwinguni?usifuatilie maandiko kijinga namna hiyo.
usijejitetea mbele kwamba wena huondoshwa na Shetani.
Adolf Hitler alileta maendeleo makubwa sana ujerumani lakini atrocities alizofanya kwa human kind haziwezi kusahulika, hakuna anayetetea ujinga wakeUpuuzi tu. Huyo azarry na ben saa nane wakipotea kwa upingaji wao maendeleo, na hiyo 1.5 tr hewa ndio utalinganisha na maendeleo makubwa yaliyofanyika kwenye uwekezaji kwenye miundombinu afya na uboreshaji wa utawala kwa kupunguza rushwa na ufisadi?
sio farao tu hata eliya alipewa biriani.Farao alipikiwa pilau pwani ya bahari ya Shamu?
Eliya hakufa kibudu kama mjomba'ako!😂😂😂sio farao tu hata eliya alipewa biriani.
huo ujinga wa adolf unaujua wewe mcheza singeri wa kwa mparanhe,wajerumani wanaujua umuhimu wa hitler pale ulaya.Adolf Hitler alileta maendeleo makubwa sana ujerumani lakini atrocities alizofanya kwa human kind haziwezi kusahulika, hakuna anayetea ujinga wake
Tunasemea kufia madarakani. We kubali tu kuwa MUNGU FUNDIkama mwisho mbaya ni kifo basi shime,elimu ya uzima na kifo ikafundishwe upya kwa baadhi yenu.
cheki unavyojifariji kijinga,eliya kapigwa mawe mpaka anakufa unakuja kujichekesha hapa!!!Eliya hakufa kibudu kama mjomba'ako!😂😂😂
Mungu ni mwema kila wakatiTunasemea kufia madarakani. We kubali tu kuwa MUNGU FUNDI
Mungu fundi kweli kweli,ndiye huyu anayejua wewe umebakiza masaa tu lakini uko unademka hapa kudhihaki kifo hicho hicho!!!!Tunasemea kufia madarakani. We kubali tu kuwa MUNGU FUNDI
Mtaje anayeteteahuo ujinga wa adolf unaujua wewe mcheza singeri wa kwa mparanhe,wajerumani wanaujua umuhimu wa hitler pale ulaya.