Ni Tanzania pekee kuna mgao wa Umeme kwa sasa Afrika nzima

Ni Tanzania pekee kuna mgao wa Umeme kwa sasa Afrika nzima

Hili tatizo la Umeme linataka watu wa kujitoa kutatua hili tatizo sidhani kama litatatuliwa hivi karibuni na pia mgao utaendelea kuwepo miaka na miaka maana hata hawajui tatizo ni nini unadhani watatatua hilo tatizo wanaposema Nchi masikini pia na watu wake wana uwezo mdogo wa kufikiri na kutatua changamoto zinazowazunguka...
 
Kwa kweli wafanya tu hata hiv itasaidia sana!! Haya mateso wanayowapa Watanzania hayafai kabisa!!

Wabnafishe tu hilo li Tanesco halina dhamani tena wameshindwa kabisa kujiendesha!! Na muhimu waigawe vipande vipande kama proposal yako uliyotoa, hata ikiwezekana kila Wilaya wawe na kampuni yao ya Electrical Power!! Njia za kuzalisha umeme ni nyingi sana wawekezaji binafsi wanaweza kuwekeza wakauza Wilayani kwenye shirika, huu ujinga utaisha kabisa!
Ukweli ni kuwa shirika limekuwa kubwa sana kwa uwezo wetu tunashindwa kulimudu. Na linaendelea kukuwa kila kukicha.

Likatwe katwe tu.
 
Uongozi wa CCM ni janga kwa nchi yetu. Ukiona tatizo lolote lile linajitokeza nje ya kawaida, basi tambua kuna 10% ya mafisadi inahitajika.
Na bado, tunawaandalia watoto wetu waje kuwaongoza hapo baadae.
 
Kwanza ieleweke kwamba migao ya umeme huwa ipo sana sio kwa Tanzana pekee bali nchi nyingi tu, hasa kutokana na mambo mengi kubwa ni kutokana na majanga kama ukame na kadhalika.Ila majanga yanapo tulia basi migao ya umeme huisha au kupungua kabisa.Tanzania ni tofauti kabisa iko kinyume chake.Haijalishi kuna nini wala nini.

Kwa utafiti wangu wa haraka haraka ndani ya wiki kadhaa, nimebaini kwamba kwa sasa ni Tanzania pekee ndio kuna mgao mkari wa umeme Africa nzima, bila kujalisha mvua zinanyesha au la, ni migao ambayo hatujui sabanu kwani mvua zimenyesha za kutosha.

Nchi nyingi zilizo kuwa na migao kama Zambia kwa sasa imetulia baada ya Mvua kunyesha kule kwenye bwawa lao kubwa la kariba na elewa ni mvua za Masika ndio zilituliza mgao kule Zambia, maoe wao hawana hizi Elinino.

Cha ajabu kwa Tanzania ni tofauti, kuna migao ambayo haijalishi kuna mvua au mafuriko au ukame, tunazidiwa hadi na Somalia kwenye vita kule. Nchi ija migao ya umeme mwaka mzima na kibaya zaidi hakuna dalili za migao kupungua kwa siku za karibuni, kuna uwezekano haki ikaenda hadi Dec Mwakani tena.
Uuuwiiii! Kuna Nchi nyingi hazina mgawo kwa vile hazina umeme. Nusu ya Kenya hains mgawo kwa sababu hains umeme. 90% ya South Africa haina mgawo kwa sababu haina umeme. Jiji la Pretoria na Durban na Johaneesburg yana mgawo wa masaa 7 kila SIKU. Where do you live?
 
Mgao wa umeme Tanzania ni wa kipekee duniani kwani nakumbuka wakati hii migao inaanza wakati wa Mwinyi nakumbuka ilikuwa ni mwaka 1993 tulidanganywa kama kawaida kwamba ni mgao wa kwanza na wa mwisho lakini kumbe ndio mgao ulikuwa unatambulishwa rasmi.

Chini ya huu utawala usio na ridhaa ya wananchi migao ya umeme kamwe haitaisha na tutasubiri sana kwa sababu ni artificial power rationing corruptly designed to save the selfish interests of some greedy individuals in the government. That's all.
Hata Mwl.Nyerere baada ya vita ya Kagera 1978/79,alisema Watanzania tufunge mikanda kwa miezi 18.Lakini sijui ni lini tulifungua mikanda ya maisha magumu na kuishi maisha ya nchi ya ahadi.

Umeme hutumika kama sera ya mgombea uraisi toka Chama Cha mboga mboga ili kupata Kura, kwa kundi la wapumbavu walio wengi ndani ya taifa hili.

Na kichaka Cha umeme ndo kichaka Cha ufisadi ndani ya taifa hili.
 
Kwanza ieleweke kwamba migao ya umeme huwa ipo sana sio kwa Tanzana pekee bali nchi nyingi tu, hasa kutokana na mambo mengi kubwa ni kutokana na majanga kama ukame na kadhalika.Ila majanga yanapo tulia basi migao ya umeme huisha au kupungua kabisa. Tanzania ni tofauti kabisa iko kinyume chake.Haijalishi kuna nini wala nini.

Kwa utafiti wangu wa haraka haraka ndani ya wiki kadhaa, nimebaini kwamba kwa sasa ni Tanzania pekee ndio kuna mgao mkari wa umeme Africa nzima, bila kujalisha mvua zinanyesha au la, ni migao ambayo hatujui sabanu kwani mvua zimenyesha za kutosha.

Nchi nyingi zilizo kuwa na migao kama Zambia kwa sasa imetulia baada ya Mvua kunyesha kule kwenye bwawa lao kubwa la kariba na elewa ni mvua za Masika ndio zilituliza mgao kule Zambia, maoe wao hawana hizi Elinino.

Cha ajabu kwa Tanzania ni tofauti, kuna migao ambayo haijalishi kuna mvua au mafuriko au ukame, tunazidiwa hadi na Somalia kwenye vita kule. Nchi ija migao ya umeme mwaka mzima na kibaya zaidi hakuna dalili za migao kupungua kwa siku za karibuni, kuna uwezekano haki ikaenda hadi Dec Mwakani tena.

Halafu mama anakuwa na mdomo domo kuongea matatizo ya Kenya ya kwake yamemshinda
 
Adui wa tanesco anajulikana, ni ujinga wa Mtanzania.

Wote wanafanya makosa ya kutatuwa tatizo kwa njia zilezile zilizoshindikana kutatuwa tatizo.

Mboa utatuzi wa Tanesco ni mdogo sana, shirika likatwe vipande vipande tu, kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.

Hapo ndipo itajulikana, mkoa unaoshindwa wanapewa watu binafsi waendeshe.

Ndani ya miezi mitatu hutosikia tena mgao wa umeme.
Una point hapa.
 
Uuuwiiii! Kuna Nchi nyingi hazina mgawo kwa vile hazina umeme. Nusu ya Kenya hains mgawo kwa sababu hains umeme. 90% ya South Africa haina mgawo kwa sababu haina umeme. Jiji la Pretoria na Durban na Johaneesburg yana mgawo wa masaa 7 kila SIKU. Where do you live?
Kenya haina umeme upi? we uko Kenya at the same time uko South Africa? chawa wewe
 
Nchi nzima alikuwepo Kiongozi mmoja tu msema kweli na anaejitambua... Leo hayupo waty Mil 50+ tumeshindwa kujiongoza hata kwenye suala moja tu la Umeme achilia mengine yote yaliyolalaa... Mafuriko kila kona msengee mmoja anakuja kutuambia Hakuna maji ya kutosha...[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Adui wa tanesco anajulikana, ni ujinga wa Mtanzania.

Wote wanafanya makosa ya kutatuwa tatizo kwa njia zilezile zilizoshindikana kutatuwa tatizo.

Mbona utatuzi wa Tanesco ni mdogo sana, shirika likatwe vipande vipande tu, kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.

Hapo ndipo itajulikana, mkoa unaoshindwa wanapewa watu binafsi waendeshe.

Ndani ya miezi mitatu hutosikia tena mgao wa umeme.

Pole sana fox
Umeandika bila ya kujua vizuri

Sitetei selikali hapana ila unatakiwa ujue ya kua umeme wote tanzania ni mmoja (grid)
Ila zimegawiwa kwa kila mkoa (substation)

Hivyo kusema kila mkoa ukitegemee itakua ni uwongo kwakua sio kweli kua kila mkoa unaweza kuzalisha umeme wake
Unless uwe umeme wa jua!
Kumbuka kujenga power plants inatumia pesa
Location pia huzingatiwa
Hivyo wazo lako ni jema ila kutokana na aina ya umeme tunaotumia tanzania itakua ngumu ni
 
Back
Top Bottom