BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
- #81
HahaaaShida ni huyo bib kiroboto pale juu , kuongozwa na mwanamke ni laana
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaShida ni huyo bib kiroboto pale juu , kuongozwa na mwanamke ni laana
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wewe ulie enda tuambieUmeenda south africa
lakini mambo mengi anadanganywa siyo mtu wa field ni mtu wa kuletewa vitu mezani na kuamini.
Ndiyo maana yake, uongozi hauna uwezo wa kuendesha shirika kubwa. Sasa sielewqi unachokataa nini?Tatizo ni uongozi mbovu siyo ukubwa wa shirika
100% uko right. hii itasaidia kujua panapovuja.Adui wa tanesco anajulikana, ni ujinga wa Mtanzania.
Wote wanafanya makosa ya kutatuwa tatizo kwa njia zilezile zilizoshindikana kutatuwa tatizo.
Mbona utatuzi wa Tanesco ni mdogo sana, shirika likatwe vipande vipande tu, kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.
Hapo ndipo itajulikana, mkoa unaoshindwa wanapewa watu binafsi waendeshe.
Ndani ya miezi mitatu hutosikia tena mgao wa umeme.
Makamba ndio alilianzisha hili, Doto kaachiwa jumba bovu tu limuangikie, kua uyaone wewe.Sasa Makamba hapo katoka wapi? Doto si ndo Waziri wa Nishati atueleze nn kinaendelea?
Wanaofanya kazi tanesco wote ni CCM?Kwenye hili, kwa mara ya kwanza nakubakiana na mawazo yako.
Shirika likatwe vipabde vipabde, kwa lengo siku moja lifutwe kabisa. Umeme uzalishwe na kusambazwa na sejta binafsi tu.
Tunafahamu kabisa, kwa aina ya watu wanaokuwepo Serikalini, hasa hii serikali ya CCM hakuna chema ambacho huwa kinafanikiwa, wanachoweza ni uovu tu: ufisadi, rushwa, kudhulumu haki za watu, na wakati wote kufikiria wanavyoweza kubakia madarakani iwe kwa haki au dhuluma.
Imechoka na imeanza kusimama toka yupo hai.Kwa hiyo alivyokufa tu na mitambo ikachoka???? Wee bibi kizeee utulieee.
Tulia bajeti ya MKUTANO WA CHIPUKIZI CCM imebana sanaa...!!hela ikipatikana tutanunua mashineKukosekana kwa huduma ya umeme kunaumiza sana wananchi [emoji24]
Kunatesa sana.
Kunachosa sana.
Kunarudisha nyuma maendeleo ya uchumi.
Wewe Fox kumbe na wewe akili yako kama mchwa! Kikwewete ndio aliharibu kabisa hii nchi,kila sekta ilikua imeoza hadi akaja Magufuli kurekebisha. Mama nae badala ya kukabidhi hio wizara mwanzoni tu kwa wachapa kazi akaipa kiparandezi na mabeans wizara nyeti hadi hapa ilipofikia ndio kaona maji yamezidi unga kampa Dotto. Tatizo kubwa la Tanesco haliko kwenye mitambo wewe injinia wa makaratasi, tatizo lipo kwenye uongozi tu.Hakuweza kabisa, tusidanganyane.
Mwendazake alikuta mitambo mipya kabisa ya Kikwete ya Kinyerezi I, II, III na IV na ikaanza kufa mmoja mmoja katika wakati wake. Ilikuwa inakufa inapomaliza warranty yake tu ya miaka miwili.
Mwisho ikafa yote na hakuna poesa za kuifufuwa, alifanya ujinga sana kukataa kusaini "extended warranty" na kampuni zilizofunga hiyo mitambo. "kwani Watanzania watashindwa kuisimamia" - ka sauti yake. Ndilo kosa hilo linaloitu cost mpaka leo.
Wazungu nao wamaechukuwa advantage, wanasema kuitengeneza sasa gharama zake ni kubwa sana, uamuzi ni wetu.
Sasa kama ilikuwepo enzi za Jk mbona mambo yalikuw ovyoo zaidi yani hali ya sasa na jk hakuna tofauti kabisa.Imechoka na imeanza kusimama toka yupo hai.
Nchi imemshinda huyu mama, aondoke tu hio 2025 akawaongoze waramba urojo.Ni matokeo ya kuokoteza viongozi wasio na vision. Mtu hata ukuu wa wilaya hatoshi lakini ni Rais na wengine mawaziri
Na Tanzania ni % ngapi maeneo hayana umeme tusitake kujifichia huko swaka la umeme TZ limekua shida yani hii kitu imeshindikana tunaharibu vitu vyetu kisa umeme kukatika hovyo,kweli nacho maskini na watu wake hawana Akili.Uuuwiiii! Kuna Nchi nyingi hazina mgawo kwa vile hazina umeme. Nusu ya Kenya hains mgawo kwa sababu hains umeme. 90% ya South Africa haina mgawo kwa sababu haina umeme. Jiji la Pretoria na Durban na Johaneesburg yana mgawo wa masaa 7 kila SIKU. Where do you live?
Mama kafeli mno mno mnooooNchi imemshinda huyu mama, aondoke tu hio 2025 akawaongoze waramba urojo.