Ni Tanzania pekee kuna mgao wa Umeme kwa sasa Afrika nzima

Ni Tanzania pekee kuna mgao wa Umeme kwa sasa Afrika nzima

Dikteta Magu aliwazeje? pamoja na ukatili wake lakini sikuwahi kusikia mgao wa maji wala umeme, Rostam, Makamba na JK wanajua wanachokifanya kwenye huu mgao
Hakuweza kabisa, tusidanganyane.

Mwendazake alikuta mitambo mipya kabisa ya Kikwete ya Kinyerezi I, II, III na IV na ikaanza kufa mmoja mmoja katika wakati wake. Ilikuwa inakufa inapomaliza warranty yake tu ya miaka miwili.

Mwisho ikafa yote na hakuna poesa za kuifufuwa, alifanya ujinga sana kukataa kusaini "extended warranty" na kampuni zilizofunga hiyo mitambo. "kwani Watanzania watashindwa kuisimamia" - ka sauti yake. Ndilo kosa hilo linaloitu cost mpaka leo.

Wazungu nao wamaechukuwa advantage, wanasema kuitengeneza sasa gharama zake ni kubwa sana, uamuzi ni wetu.
 
Hakuweza kabisa, tusidanganyane.

Mwendazake alikuta mitambo mipya kabisa ya Kikwete ya Kinyerezi I, II, III na IV na ikaanza kufa mmoja mmoja katika wakati wake. Ilikuwa inakufa inapomaliza warranty yake tu ya miaka miwili.

Mwisho ikafa yote na hakuna poesa za kuifufuwa, alifanya ujinga sana kukataa kusaini "extended warranty" na kampuni zilizofunga hiyo mitambo. "kwani Watanzania watashindwa kuisimamia" - ka sauti yake. Ndilo kosa hilo linaloitu cost mpaka leo.

Wazungu nao wamaechukuwa advantage, wanasema kuitengeneza sasa gharama zake ni kubwa sana, uamuzi ni wetu.
Wewe ajuza ni mpuuzi sana
 
Pole sana fox
Umeandika bila ya kujua vizuri

Sitetei selikali hapana ila unatakiwa ujue ya kua umeme wote tanzania ni mmoja (grid)
Ila zimegawiwa kwa kila mkoa (substation)

Hivyo kusema kila mkoa ukitegemee itakua ni uwongo kwakua sio kweli kua kila mkoa unaweza kuzalisha umeme wake
Unless uwe umeme wa jua!
Kumbuka kujenga power plants inatumia pesa
Location pia huzingatiwa
Hivyo wazo lako ni jema ila kutokana na aina ya umeme tunaotumia tanzania itakua ngumu ni
Siku hizi kuna kitu kinaitwa segmented synchronous grid, ni mambo madogo sana hayo.

Kila mkoa unajitegemea na grid inabaki kama ilivyo. Ni switching tu hapo zinafanya kazi, hakuna zaidi.

Tena kwa siku hizi zinaweza kuwa automated na grid ikawepo na unaelewa kabisa nani anatumia umeme kiasi gani wa kwenye grid.

Kwa kukujuza, mimi ni Engineer mstaafu niliyefanya kazi nje ya Tanzania.
 
20231218_000655.jpg
 
Siku hizi kuna kitu kinaitwa semented grid, ni mambo madogo sana hayo.

Kila mkoa unajitegemea na grid inabaki kama ilivyo. Ni switching tu hapo zinafanya kazi, hakuna zaidi.

Tena kwa siku hizi zinaweza kuwa automated na grid ikawepo na unaelewa kabisa nani anatumia umeme kiasi gani wa kwenye grid.

Kwa kukujuza, mimi ni REngineer mstaafu niliyefanya kazi nje ya Tnzania.
Sawa bro
 
Hata Tanzania ni awamu hii tu ndo tunashuhudia mgao masika.

Mitambo iliharibika ghafla ilipoingia madarakani na hakuna pesa imetenga bajeti tatu sasa imepitisha bungeni.
 
Uuuwiiii! Kuna Nchi nyingi hazina mgawo kwa vile hazina umeme. Nusu ya Kenya hains mgawo kwa sababu hains umeme. 90% ya South Africa haina mgawo kwa sababu haina umeme. Jiji la Pretoria na Durban na Johaneesburg yana mgawo wa masaa 7 kila SIKU. Where do you live?
Kwani matengenezo ya miundombinu ya umeme hayajaisha
 
Nchi nzima alikuwepo Kiongozi mmoja tu msema kweli na anaejitambua... Leo hayupo waty Mil 50+ tumeshindwa kujiongoza hata kwenye suala moja tu la Umeme achilia mengine yote yaliyolalaa... Mafuriko kila kona msengee mmoja anakuja kutuambia Hakuna maji ya kutosha...[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Mambo madogo kama mipango miji imewashinda.Sasa mambo ya umeme wataweza kweli?
Sikumkubali JPM kwa baadhi ya vitu,lakini alifanya jambo kubwa ambalo wengi walishindwa hasa kwenye umeme wakawa watu wa kumuonea wivu wa kijinga.
 
Kwanza ieleweke kwamba migao ya umeme huwa ipo sana sio kwa Tanzana pekee bali nchi nyingi tu, hasa kutokana na mambo mengi kubwa ni kutokana na majanga kama ukame na kadhalika.Ila majanga yanapo tulia basi migao ya umeme huisha au kupungua kabisa. Tanzania ni tofauti kabisa iko kinyume chake.Haijalishi kuna nini wala nini.

Kwa utafiti wangu wa haraka haraka ndani ya wiki kadhaa, nimebaini kwamba kwa sasa ni Tanzania pekee ndio kuna mgao mkari wa umeme Africa nzima, bila kujalisha mvua zinanyesha au la, ni migao ambayo hatujui sabanu kwani mvua zimenyesha za kutosha.

Nchi nyingi zilizo kuwa na migao kama Zambia kwa sasa imetulia baada ya Mvua kunyesha kule kwenye bwawa lao kubwa la kariba na elewa ni mvua za Masika ndio zilituliza mgao kule Zambia, maoe wao hawana hizi Elinino.

Cha ajabu kwa Tanzania ni tofauti, kuna migao ambayo haijalishi kuna mvua au mafuriko au ukame, tunazidiwa hadi na Somalia kwenye vita kule. Nchi ija migao ya umeme mwaka mzima na kibaya zaidi hakuna dalili za migao kupungua kwa siku za karibuni, kuna uwezekano haki ikaenda hadi Dec Mwakani tena.
Shida ni huyo bib kiroboto pale juu , kuongozwa na mwanamke ni laana

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Adui wa tanesco anajulikana, ni ujinga wa Mtanzania.

Wote wanafanya makosa ya kutatuwa tatizo kwa njia zilezile zilizoshindikana kutatuwa tatizo.

Mbona utatuzi wa Tanesco ni mdogo sana, shirika likatwe vipande vipande tu, kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.

Hapo ndipo itajulikana, mkoa unaoshindwa wanapewa watu binafsi waendeshe.

Ndani ya miezi mitatu hutosikia tena mgao wa umeme.
Ukishaakata na umemeo kil mkoa utazalisha wake au bado kutakuwa na mabo ya grill

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom