Ni Tanzania pekee kuna mgao wa Umeme kwa sasa Afrika nzima

Ni Tanzania pekee kuna mgao wa Umeme kwa sasa Afrika nzima

Hili tatizo la Umeme linataka watu wa kujitoa kutatua hili tatizo sidhani kama litatatuliwa hivi karibuni na pia mgao utaendelea kuwepo miaka na miaka maana hata hawajui tatizo ni nini unadhani watatatua hilo tatizo wanaposema Nchi masikini pia na watu wake wana uwezo mdogo wa kufikiri na kutatua changamoto zinazowazunguka...
Yule mama pale juu si alisema mwisho miezi 6 na sasa imbaki miezi 2 tu ..maana utawala wa magu haukufanya ukarabati kwa miaka 5, mfululuzi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kuwa shirika limekuwa kubwa sana kwa uwezo wetu tunashindwa kulimudu. Na linaendelea kukuwa kila kukicha.

Likatwe katwe tu.
USAHIHI:Shirika limekuwa kubwa kwa awamu ya sita tu.

TANESCO ina ukubwa gani?

Kila Mkoa na wilaya ina Mamlaka yake ya maji safi na usafi wa mazingira ila mgao wa maji upo kila mkoa kwa sasa!

Hoja ya kukata vipande haina mashiko,shida uongozi uliopo hautoshi.

Mlianza kwa kupiga porojo za service hatimaye mnakubali mmeshindwa.
 
Kwanza ieleweke kwamba migao ya umeme huwa ipo sana sio kwa Tanzana pekee bali nchi nyingi tu, hasa kutokana na mambo mengi kubwa ni kutokana na majanga kama ukame na kadhalika.Ila majanga yanapo tulia basi migao ya umeme huisha au kupungua kabisa. Tanzania ni tofauti kabisa iko kinyume chake.Haijalishi kuna nini wala nini.

Kwa utafiti wangu wa haraka haraka ndani ya wiki kadhaa, nimebaini kwamba kwa sasa ni Tanzania pekee ndio kuna mgao mkari wa umeme Africa nzima, bila kujalisha mvua zinanyesha au la, ni migao ambayo hatujui sabanu kwani mvua zimenyesha za kutosha.

Nchi nyingi zilizo kuwa na migao kama Zambia kwa sasa imetulia baada ya Mvua kunyesha kule kwenye bwawa lao kubwa la kariba na elewa ni mvua za Masika ndio zilituliza mgao kule Zambia, maoe wao hawana hizi Elinino.

Cha ajabu kwa Tanzania ni tofauti, kuna migao ambayo haijalishi kuna mvua au mafuriko au ukame, tunazidiwa hadi na Somalia kwenye vita kule. Nchi ija migao ya umeme mwaka mzima na kibaya zaidi hakuna dalili za migao kupungua kwa siku za karibuni, kuna uwezekano haki ikaenda hadi Dec Mwakani tena.
Umeenda south africa
 
Hakuweza kabisa, tusidanganyane.

Mwendazake alikuta mitambo mipya kabisa ya Kikwete ya Kinyerezi I, II, III na IV na ikaanza kufa mmoja mmoja katika wakati wake. Ilikuwa inakufa inapomaliza warranty yake tu ya miaka miwili.

Mwisho ikafa yote na hakuna poesa za kuifufuwa, alifanya ujinga sana kukataa kusaini "extended warranty" na kampuni zilizofunga hiyo mitambo. "kwani Watanzania watashindwa kuisimamia" - ka sauti yake. Ndilo kosa hilo linaloitu cost mpaka leo.

Wazungu nao wamaechukuwa advantage, wanasema kuitengeneza sasa gharama zake ni kubwa sana, uamuzi ni wetu.
Siyo kweli, kama mitambo ilikuwa imekufa kwanini umeme ulikuwa haukatiki? sijasema 100% alipatia lakini umeme ulikuwa haukatika hata ukiomba kuunganishiwa kwa elf 27 ndani ya saa 24 umeungwa sahivi 320,000 kuungwa ni hisani mpaka utoe rushwa, alikuwa na mabaya yake lakini kwenye umeme na maji hapana, hata kipindupindu tulisahau sahivi kimerudi kwa kasi sn. tuache utani wapigaji hawataki kabisa umeme wa uhakika hata SGR ni maigizo tupu, shida yako unateswa na udini na siyo uhalisia, sisemi Samia ana mabaya yote hapana ana mazuri yake machache lakini mambo mengi anadanganywa siyo mtu wa field ni mtu wa kuletewa vitu mezani na kuamini.
 
Kwanza ieleweke kwamba migao ya umeme huwa ipo sana sio kwa Tanzana pekee bali nchi nyingi tu, hasa kutokana na mambo mengi kubwa ni kutokana na majanga kama ukame na kadhalika.Ila majanga yanapo tulia basi migao ya umeme huisha au kupungua kabisa. Tanzania ni tofauti kabisa iko kinyume chake.Haijalishi kuna nini wala nini.

Kwa utafiti wangu wa haraka haraka ndani ya wiki kadhaa, nimebaini kwamba kwa sasa ni Tanzania pekee ndio kuna mgao mkari wa umeme Africa nzima, bila kujalisha mvua zinanyesha au la, ni migao ambayo hatujui sabanu kwani mvua zimenyesha za kutosha.

Nchi nyingi zilizo kuwa na migao kama Zambia kwa sasa imetulia baada ya Mvua kunyesha kule kwenye bwawa lao kubwa la kariba na elewa ni mvua za Masika ndio zilituliza mgao kule Zambia, maoe wao hawana hizi Elinino.

Cha ajabu kwa Tanzania ni tofauti, kuna migao ambayo haijalishi kuna mvua au mafuriko au ukame, tunazidiwa hadi na Somalia kwenye vita kule. Nchi ija migao ya umeme mwaka mzima na kibaya zaidi hakuna dalili za migao kupungua kwa siku za karibuni, kuna uwezekano haki ikaenda hadi Dec Mwakani tena.
Watakuja akina mbwa wa shamba kukupinga
Kuna wimbi la umaskini limeongezeka kutokana na mgao wa umeme
 
Mambo madogo kama mipango miji imewashinda.Sasa mambo ya umeme wataweza kweli?
Sikumkubali JPM kwa baadhi ya vitu,lakini alifanya jambo kubwa ambalo wengi walishindwa hasa kwenye umeme wakawa watu wa kumuonea wivu wa kijinga.
Yani kkoo kunanukaa mavi kila konaa.. chemba zimefuka maji yanatirirka ovyo alafu wahusika wapo ofisini wanakula maisha tu
 
Hakuweza kabisa, tusidanganyane.

Mwendazake alikuta mitambo mipya kabisa ya Kikwete ya Kinyerezi I, II, III na IV na ikaanza kufa mmoja mmoja katika wakati wake. Ilikuwa inakufa inapomaliza warranty yake tu ya miaka miwili.

Mwisho ikafa yote na hakuna poesa za kuifufuwa, alifanya ujinga sana kukataa kusaini "extended warranty" na kampuni zilizofunga hiyo mitambo. "kwani Watanzania watashindwa kuisimamia" - ka sauti yake. Ndilo kosa hilo linaloitu cost mpaka leo.

Wazungu nao wamaechukuwa advantage, wanasema kuitengeneza sasa gharama zake ni kubwa sana, uamuzi ni wetu.
Kwa hiyo alivyokufa tu na mitambo ikachoka???? Wee bibi kizeee utulieee.
 
Siyo kweli, kama mitambo ilikuwa imekufa kwanini umeme ulikuwa haukatiki? sijasema 100% alipatia lakini umeme ulikuwa haukatika hata ukiomba kuunganishiwa kwa elf 27 ndani ya saa 24 umeungwa sahivi 320,000 kuungwa ni hisani mpaka utoe rushwa, alikuwa na mabaya yake lakini kwenye umeme na maji hapana, hata kipindupindu tulisahau sahivi kimerudi kwa kasi sn. tuache utani wapigaji hawataki kabisa umeme wa uhakika hata SGR ni maigizo tupu, shida yako unateswa na udini na siyo uhalisia, sisemi Samia ana mabaya yote hapana ana mazuri yake machache lakini mambo mengi anadanganywa siyo mtu wa field ni mtu wa kuletewa vitu mezani na kuamini.
Yula hata akiambiwa Mtambo wa Mili 100 ni sh Bilion 200 anatoaa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama ni hivyo itakua Kuna watu wachache wanaonufaika kwa watanzania kukosa umeme
Kwani wewe hulijui hilo

1) Magenerator madogo na makubwa yanauzika sana kama umeme hakuna

2) Kuna kampuni zile zinazo plant Generator katika makampuni na maofisi makubwa

3) Kuna makampuni yanayofanya service za Magenerator makubwa yalioko katika makampuni na maofisi makubwa

4) Solar zinauzika sana kama umeme hakuna

5) Gase zinauzika sana kama umeme hakuna

Hizo biashara hapo zote zinamilikiwa na mafisadi hivyo inawezekana kuzimwa umeme Ili mafisadi wapige pesa

R .I.P Jembe langu
Raisi pekee uliyefanikiwa kuwanyoosha mafisadi
 
Kwanza ieleweke kwamba migao ya umeme huwa ipo sana sio kwa Tanzana pekee bali nchi nyingi tu, hasa kutokana na mambo mengi kubwa ni kutokana na majanga kama ukame na kadhalika.Ila majanga yanapo tulia basi migao ya umeme huisha au kupungua kabisa. Tanzania ni tofauti kabisa iko kinyume chake.Haijalishi kuna nini wala nini.

Kwa utafiti wangu wa haraka haraka ndani ya wiki kadhaa, nimebaini kwamba kwa sasa ni Tanzania pekee ndio kuna mgao mkari wa umeme Africa nzima, bila kujalisha mvua zinanyesha au la, ni migao ambayo hatujui sabanu kwani mvua zimenyesha za kutosha.

Nchi nyingi zilizo kuwa na migao kama Zambia kwa sasa imetulia baada ya Mvua kunyesha kule kwenye bwawa lao kubwa la kariba na elewa ni mvua za Masika ndio zilituliza mgao kule Zambia, maoe wao hawana hizi Elinino.

Cha ajabu kwa Tanzania ni tofauti, kuna migao ambayo haijalishi kuna mvua au mafuriko au ukame, tunazidiwa hadi na Somalia kwenye vita kule. Nchi ija migao ya umeme mwaka mzima na kibaya zaidi hakuna dalili za migao kupungua kwa siku za karibuni, kuna uwezekano haki ikaenda hadi Dec Mwakani tena.

Upo sahihi kabisa. Katika kipindi cha wiki 9 nimetembelea mataifa 6 ya Afrika, sijakuta kukosekana umeme kwa nchi yeyote katika nchi nilizotembelea.
 
Kwani wewe hulijui hilo

1) Magenerator madogo na makubwa yanauzika sana kama umeme hakuna

2) Kuna kampuni zile zinazo plant Generator katika makampuni na maofisi makubwa

3) Kuna makampuni yanayofanya service za Magenerator makubwa yalioko katika makampuni na maofisi makubwa

4) Solar zinauzika sana kama umeme hakuna

5) Gase zinauzika sana kama umeme hakuna

Hizo biashara hapo zote zinamilikiwa na mafisadi hivyo inawezekana kuzimwa umeme Ili mafisadi wapige pesa

R .I.P Jembe langu
Raisi pekee uliyefanikiwa kuwanyoosha mafisadi
Inasikitisha sana
 
Adui wa tanesco anajulikana, ni ujinga wa Mtanzania.

Wote wanafanya makosa ya kutatuwa tatizo kwa njia zilezile zilizoshindikana kutatuwa tatizo.

Mbona utatuzi wa Tanesco ni mdogo sana, shirika likatwe vipande vipande tu, kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.

Hapo ndipo itajulikana, mkoa unaoshindwa wanapewa watu binafsi waendeshe.

Ndani ya miezi mitatu hutosikia tena mgao wa umeme.

Kwenye hili, kwa mara ya kwanza nakubakiana na mawazo yako.

Shirika likatwe vipabde vipabde, kwa lengo siku moja lifutwe kabisa. Umeme uzalishwe na kusambazwa na sejta binafsi tu.

Tunafahamu kabisa, kwa aina ya watu wanaokuwepo Serikalini, hasa hii serikali ya CCM hakuna chema ambacho huwa kinafanikiwa, wanachoweza ni uovu tu: ufisadi, rushwa, kudhulumu haki za watu, na wakati wote kufikiria wanavyoweza kubakia madarakani iwe kwa haki au dhuluma.
 
Kwenye hili, kwa mara ya kwanza nakubakiana na mawazo yako.

Shirika likatwe vipabde vipabde, kwa lengo siku moja lifutwe kabisa. Umeme uzalishwe na kusambazwa na sejta binafsi tu.

Tunafahamu kabisa, kwa aina ya watu wanaokuwepo Serikalini, hasa hii serikali ya CCM hakuna chema ambacho huwa kinafanikiwa, wanachoweza ni uovu tu: ufisadi, rushwa, kudhulumu haki za watu, na wakati wote kufikiria wanavyoweza kubakia madarakani iwe kwa haki au dhuluma.
hayo ya kuuziwa na kampuni binafsi ndo mambo ya IPTL yani ni wizi plus..
 
Back
Top Bottom