Ni Tanzania pekee kuna mgao wa Umeme kwa sasa Afrika nzima

Kukosekana kwa huduma ya umeme kunaumiza sana wananchi [emoji24]

Kunatesa sana.

Kunachosa sana.

Kunarudisha nyuma maendeleo ya uchumi.
 
Tatizo ni uongozi mbovu siyo ukubwa wa shirika
Ndiyo maana yake, uongozi hauna uwezo wa kuendesha shirika kubwa. Sasa sielewqi unachokataa nini?

Suluhisho ni shirika likatwe ili viongozi waweze kuendesha mashirika madogo madogo yaliyo ndani ya uwezo wao.
 
100% uko right. hii itasaidia kujua panapovuja.
 
Wanaofanya kazi tanesco wote ni CCM?
 
Kukosekana kwa huduma ya umeme kunaumiza sana wananchi [emoji24]

Kunatesa sana.

Kunachosa sana.

Kunarudisha nyuma maendeleo ya uchumi.
Tulia bajeti ya MKUTANO WA CHIPUKIZI CCM imebana sanaa...!!hela ikipatikana tutanunua mashine
 
Kamtengua Mwenyekiti wa Bodi TANESCO kampeleka ubalozi Uganda. Umefeli hapa unapelekwa pale, tena wazee walishastaafu, wanaumwa hiki na kile, they have nothing to lose in terms of kujenga career zao kwa hiyo wanajifanyia kazi ovyo ovyo. Misrule and mismanagement of the third world.
 
Wewe Fox kumbe na wewe akili yako kama mchwa! Kikwewete ndio aliharibu kabisa hii nchi,kila sekta ilikua imeoza hadi akaja Magufuli kurekebisha. Mama nae badala ya kukabidhi hio wizara mwanzoni tu kwa wachapa kazi akaipa kiparandezi na mabeans wizara nyeti hadi hapa ilipofikia ndio kaona maji yamezidi unga kampa Dotto. Tatizo kubwa la Tanesco haliko kwenye mitambo wewe injinia wa makaratasi, tatizo lipo kwenye uongozi tu.
 
Watenganishe. Shirika la uzalishaji umeme na mashirika ya usambazaji umeme kwa kila mkoa. Vyanzo vya uzalishaji vya sasa vibaki serikalini na viyauzie mashirika ya usambazaji ya kila mkoa. Pia mashirika hayo ya mikoa yawe huru kununua umeme kutoka kwa vyanzo binafsi.

Hapo utaona watu wanavyowekeza kwenye solar farms, windfarms, geothermal na microhydro power plants. Ndani ya muda mfupi hatutasikia tena tatizo la umeme.
 
Na Tanzania ni % ngapi maeneo hayana umeme tusitake kujifichia huko swaka la umeme TZ limekua shida yani hii kitu imeshindikana tunaharibu vitu vyetu kisa umeme kukatika hovyo,kweli nacho maskini na watu wake hawana Akili.
Nacho ilijojaa kila rasilimali lkn Hakuna maendeleo umeme Hakuna aibu tupu

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…