"Ni Tanzania tu utasikia biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi" Yerico Nyerere

"Ni Tanzania tu utasikia biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi" Yerico Nyerere

the power

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
407
Reaction score
799
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
 
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

[emoji19]Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni Nationa Groupo Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima thus their expected marginal profit kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Nchi inakosa national economic strategic planners kila mtu anakimbilia siasa tu.
 
Au mahali ambapo nchi inagawa bure rasilimali zake kisha inaenda kuomba mkopo wa kununulia rasilimali hizo.

Mahali ambapo wananchi wanafurahia mikopo na misaada kuliko uwajibikaji na kujitegemea.

Mahali ambapo unazipitishia nchi zingine shehena zao kwenye bandari yako, kisha unaenda kununua bidhaa hizohizo nchini mwao. (Courtesy of Mb. Msukuma)

Mahali ambapo harakati za maendeleo zinaonekana tu sekunde chache kabla ya ngwe za uchaguzi.

Mahali ambapo serikali inakopa ili kujenga miradi ya maendeleo, kisha inaigawa kwenye mashirika binafsi yasimamie.

Mahali ambapo kura ya rais ni muhimu kuliko kula ya raia.
 
Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni.
Kwa nini eti umewatukana hao wanyama mwitu kiasi hicho?

Wafanyie heshima basi kwa sababu sioni kibaya anachofanya nyani na hao wanyama wengine, ikilinganishwa na matendo ya kushangaza na kuhuzunisha afanyayo kiumbe mwanadamu.
 
Naomba uzungumze na Musiba vizuri, alishasema hujuma zinazofanyika kwenye hiyo kampuni. Tiketi za mafisadi zinauzwa kwanza ndipo zinafuata za kampuni.
 
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
hahaha eti manyani na tumbili!
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
 
Kama nchi yako wasomi wote wanakimbilia siasa basi ujue Kuna tatizo kwenye royal tour yule mzungu yupo na mama Samia shuleni aliposoma mama anauliza swali "nani anataka kuwa rais" darasa Zima wakanyoosha vidole mzungu akasema hapa Kuna tatizo.
 
Hapo NHIF Wangefukuza wote hadi mlinzi au wapangiwe maeneo mengne ya kazi

hata kama wao nhif hawatoi huduma za afya ila wapo kugharamia huduma, lakini shirika limekosa ubunifu kila siku huduma kwa wananchama znazidi kushuku utasikia huduma fulani haipo ktk orodha yao ya malipo
 
Au mahali ambapo nchi inagawa bure rasilimali zake kisha inaenda kuomba mkopo wa kununulia rasilimali hizo.

Mahali ambapo wananchi wanafurahia mikopo na misaada kuliko uwajibikaji na kujitegemea.

Mahali ambapo unazipitishia nchi zingine shehena zao kwenye bandari yako, kisha unaenda kununua bidhaa hizohizo nchini mwao. (Courtesy of Mb. Msukuma)

Mahali ambapo harakati za maendeleo zinaonekana tu sekunde chache kabla ya ngwe za uchaguzi.

Mahali ambapo serikali inakopa ili kujenga miradi ya maendeleo, kisha inaigawa kwenye mashirika binafsi yasimamie.

Mahali ambapo kura ya rais ni muhimu kuliko kula ya raia.
Nimezipenda hoja hzi. Kweli sisi ni wanyama kwa hali hii hatuna tofauti na tumbili au Nyani;halafu unakta mtu anabisha kabisaaaaa.....eti eh serikali inakopa mabilioni ya miradi ya maendeleo halafu inakabidhi kwa mtu binafsi asimamie. Hayo ndio ya DP world, ndiyo ya mwendokasi, ndiyo ya mabenki ya NBC. Tena mengine waliuziwa kwa bei ya kutupa e.g Tanzania Milling Cooperation;leo Azam aliokota embe ardhini akaotesha maembe mengine;halafu tunaambiwa eti alianza kwa kuuza kahawa kaliakoo
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Hio lita moja kwa elf 3000 kwani basi linabeba abiria mmoja tu.
Hesabu ulijifunzia wapi? Hawana excuse hawa.
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Unaweza ukajifanya mtaalamu kumbe hakuna kitu. Ebu tukuulize je wenye mabasi miaka ya 2016 si ndio haohao wanaendelea kuendesha mabasi mpaka leo mwaka 2024 ambapo mafuta ni 3000+ hiyo ni pamoja na daladala. Kumbuka hoja ya msingi kwa kutumia nauli hiyohiyo, kwa upendeleo aliopewa, kwa utitili wa wateja alio nao, kwa routes zinazolipa alizopewa alikuwa anatakiwa apate faida ya mabillioni na kuongeza mabasi mengine mara mbili ili kuongeza faida.Hilo ndilo swali la msingi, kapewa biashara inayolipa, hisiyo naushindani na yenye miundo mbinu mizuri kwa nini ameshindwa. Kuna nchi ukiwapa hii biashara , ni miezi sita tu utashangaa. Kwa hiyo tumeangalia vitu vyoote hivyo bro....
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Kwa siku moja basi la mwendokasi linakunywa lita ngapi za mafuta na linaingiza pesa ngapi?

Ukijua hiyo hesabu, utagundua kwamba tunapigwa vibaya mno na mafisadi.
 
Naomba uzungumze na Musiba vizuri, alishasema hujuma zinazofanyika kwenye hiyo kampuni. Tiketi za mafisadi zinauzwa kwanza ndipo zinafuata za kampuni.
Sasa hapa ndipo umesema vizuri kwamba kuna mianya ya rushwa na wizi wa kutisha na sio hoja ya jamaa yangu hapo kusingizia eti nauli ni ndogo.Shabash....
 
Nimezipenda hoja hzi. Kweli sisi ni wanyama kwa hali hii hatuna tofauti na tumbili au Nyani;halafu unakta mtu anabisha kabisaaaaa.....eti eh serikali inakopa mabilioni ya miradi ya maendeleo halafu inakabidhi kwa mtu binafsi asimamie. Hayo ndio ya DP world, ndiyo ya mwendokasi, ndiyo ya mabenki ya NBC. Tena mengine waliuziwa kwa bei ya kutupa e.g Tanzania Milling Cooperation;leo Azam aliokota embe ardhini akaotesha maembe mengine;halafu tunaambiwa eti alianza kwa kuuza kahawa kaliakoo
Mswahili hawezi Fanya kitu kwa ufanisi nje ya ngono
 
Shulen vijana wasomeshwa ujinga, elim dunia waipenda na elim akhera hawaitaki, huzun kubwa dunia ya mola watu wakataa maarifa na qur'an , wakumbatia ubatili na shirk
 
Hakuna shirika linaloendeshwa kwa ufanisi ingali yote Yana kila kitu.
TTCL,NHIF,TRC,ATC wateja sio wa kuuliza
Yaani ndipo tunashangaa kabisa, hayo mengine nimeyaacha tu eti TTCL wameua airline zote binafsi, wanatawala na kujipngia bei.Halafu unasikia shirika limekufa
 
Back
Top Bottom