"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.
Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.
😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???
Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.
Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.
Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms
Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.
😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???
Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.
Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.
Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.
Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms
Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?