bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
We utakuwa umefukuzwa jeshini au umewahi kupokea kipigo cha wajeda si bure uichukie timu yenyewe ya mkiani kabisa kila siku vipigo.Jkt ruvu ikifungwa ndiyo huwa nafurahia.
Hahahaaaa. Ya bonanzaaaa. π³π³π³π³ we Sesten.Si ilikua mechi ya bonanza ile maana Bingwa alikua kashatwaa ndooilika bado kukabidhiwa tu
Ni kama mechi ya juzi ya kirafiki Mnyama alipomning'iniza AFC Leopards
Nimesitisha ile ofa yanguMie simba tu jamaani na kama ile game ya mwisho alipofungwa na Kagera Sugar mbele ya Jiwe basi moyo wangu uliburudika hatari.
(Mnisamehe mikia ndio furaha yangu hiyo) Teh teh teh
Hahahaaa. Ila Babu wajua mie ni Mwana wa Jangwani lakini.Nimesitisha ile ofa yangu
Najua lakini ndo nini sasa kuombeana mabaya? Mbona mi sijasema nafurahi vyura wakifungwa?Hahahaaa. Ila Babu wajua mie ni Mwana wa Jangwani lakini.
Wee sio shabiki wa mpira, unalazimishwa tuuTimu yoyote anayochezea C. Ronaldo
Timu yoyote anayochezea Neymar
Timu yoyote anayochezea Messi
Yanga, Simba, Taifa Star
Arsena, Man utd, Liverpool.
Brazil
Kiufupi sipendi timu zenye washabiki sifa na wachezaji wenye mijisifa
ππππ itakuwa hufurahi Babu.Najua lakini ndo nini sasa kuombeana mabaya? Mbona mi sijasema nafurahi vyura wakifungwa?
Na hapo ushindi wenyewe tiamaji tiamaji, sijui ingekua inashinda kila mara mngepata tabu sana.Mpaka hapa Manyau a.k.a Mwanitesa utd a.k.a Manchester utd inaongoza kwa kura kibao kwa kuchukiwa.Automatically hii ina represent na sehemu nyingine za duniani kuwa hali iko hvhv.
Poleni sana Mashetani wekundu
Na hao ndo wababe wako kwa nini sio hull city au burnley?Hizi timu zikifungwa huwa nafurahi Sana:
Man United
Asernal
Liverpool
Tottenham
Man City
..................hongezea zingine
Lazima umchukie mbabe wako mtu anekudunda hadi kamasi zinatoka unawezaje kumfurahia?Mpaka hapa Manyau a.k.a Mwanitesa utd a.k.a Manchester utd inaongoza kwa kura kibao kwa kuchukiwa.Automatically hii ina represent na sehemu nyingine za duniani kuwa hali iko hvhv.
Poleni sana Mashetani wekundu
Lakini mziki wetu mwaka huu unaukubali au unaukataa? Sema ukweli wako Hajar πHahahaaaa. Ya bonanzaaaa. π³π³π³π³ we Sesten.
Hahahaaaaa. Naona Unajitahidi kufukia mashimo. πππ
Yanga mnanifurahisha kwa mnavojua kujipa moyo aisee HajarNaukataa na nitaukataa kila siku. ππππ
Kwani we Sesten wa Yanga unaukubali eee?