Ni trilion ngapi zinatosha kujenga Hospitali inayokidhi matibabu ya viongozi wetu ili wasiende tena India? India imekuwa Jehanamu inameza viongozi we

Ni trilion ngapi zinatosha kujenga Hospitali inayokidhi matibabu ya viongozi wetu ili wasiende tena India? India imekuwa Jehanamu inameza viongozi we

Huu mtindo wa kwenda India umerudi kwa kasi ya ajabu.
Magufuli alidhibiti hii hali na walio kuwa wanapewa kibali ni wachache sana, kulikoni sasa tena.
Waziri wa Afya Mama Jenista Muhagama anapaswa adhibiti hii hali.
 
Huu mtindo wa kwenda India umerudi kwa kasi ya ajabu.
Magufuli alidhibiti hii hali na walio kuwa wanapewa kibali ni wachache sana, kulikoni sasa tena.
Waziri wa Afya Mama Jenista Muhagama anapaswa adhibiti hii hali.
Viongozi wetu sometime wanakuwa ni kama hamnazo vile..!

Tangu waanze kwenda India kutibiwa, hawarudi na Idea yoyote ya kuwa na hospital hapa nchini yenye hadhi hizo
 
Viongozi wanasifia kuongeza hospital na vituo vya afya nchini ila wenyewe hawaviamini hata kidogo. Wanataka wewe umsomeshe mwanao shule ya kata na atibiwe Mloganzila ila wao Wakipata mafua tu wanaruka India bongo wanarudi kuzikwa tu.

Bora waende SA, Ulaya au Amerika japo huko gharama za matibabu ni kubwa maradufu ila India ni pango la walanguzi wanaenda kuisha tu huko kwenye hiyo nchi ya tatu iliyochangamka.
 
Viongozi wanasifia kuongeza hospital na vituo vya afya nchini ila wenyewe hawaviamini hata kidogo. Wakipata mafua tu wanaruka India bongo wanarudi kuzikwa tu. Ila wanataka wewe umsomeshe mwanao shule ya kata na atibiwe Mloganzila.

Bora waende SA, Ulaya au Amerika ila huko gharama za matibabu ni kubwa maradufu ila India ni pango la walanguzi wanaenda kuisha tu huko kwenye hiyo nchi ya tatu iliyochangamka.
Wamekuwa hawaviamini kwa sababu wanajua, uwekezaji wake ni hafifu ndio maana
 
Ifahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu

Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu

India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu

Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?

Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?

Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
Tatizo ni knowledge mzee hao ngozi nyeupe bado hawajatupa knowledge na uwezo kama wao bado kuna ka elimu fulan iv kamefichwa shida sio vifaa, wala majengo mazuri
 
Ifahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu

Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu

India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu

Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?

Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?

Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
Hospitali sio majengo. Tuna wataalamu wa kutosha kwenye mambo ya afya? Serikali iwekeze zaidi kwenye elimu. Ikumbukwe elimu pia sio majengo tu.
 
Ifahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu

Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu

India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu

Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?

Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?

Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
Hospitali sio majengo Bali vifaa tiba vya Kisasa na utaalami ubobezi.

Mwisho Bongo hatuaminiani Kwa sababu za Kisiasa nk
 
Back
Top Bottom