Ni trilion ngapi zinatosha kujenga Hospitali inayokidhi matibabu ya viongozi wetu ili wasiende tena India? India imekuwa Jehanamu inameza viongozi we

Ni trilion ngapi zinatosha kujenga Hospitali inayokidhi matibabu ya viongozi wetu ili wasiende tena India? India imekuwa Jehanamu inameza viongozi we

Ifahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu

Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu

India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu

Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?

Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?

Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
Shida sio mjengo tu, ishu iko hapa, madokta wetu wengi wamesoma hapa hapa bongo kwenye vyuo vyetu visivyo na ubora, ambsvyo alama za kufaulu zinuzwa kwa pesa au ngono, sasa viongozi wetu wanajua hili kwamba tuna madokta fake kila Kona, na ni yupo taysri kutibiwa na dokta aliyefoji matokeo?
Pale muhimbili, iliwahi kutokea, mgonjwa wa kichwa, kapasuliwa mguu, wa mguu kapasuliwa kichwa. ! Hata ungekuwa ni wewe upo taysri kuweka maisha yako na afya yako kwenye mikono ya *madokta" Wa mchongo kama hawa!
 
Ifahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu

Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu

India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu

Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?

Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?

Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
Miundombinu na vifaa is the least of our worries.

Hayo ni mambo ya pesa tu, bajeti. Tukijibana, tukiongea vizuri na watu, tunaweza kufanya.

Tatizo kubwa kabisa si miundombinu na vifaa.

Tatizo kubwa kabisa ni utamaduni.

Kuna cousin wangu mmoja alikuwa anasema, kitu chochote unachoweza kukimaliza kwa pesa tu si tatizo, hiyo ni gharama tu. Matatizo yenyewe huwezi kuyamaliza kwa pesa tu, yanataka kujipanga kiakili zaidi.

Kwa mfano, hata ukijenga hospitali nzuri sana, yenye vifaa vizuri sana, kama wafanyakazi wake wanapenda rushwa, hawaaminiki kutunza siri za faragha za mgonjwa, wanaweza hata kutumika kuwamaliza wagonjwa, unafikiri watu wataiamini hiyo hospitali?

Ukiwa na hospitali nzuri lakini huna maintenance culture, unafikiri itadumu?
 
Ifahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu

Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu

India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu

Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?

Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?

Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
Mmmmm india kwa miaka zaidi 50 sasa wako no 1 duniani....kwa hiyo huduma duniani......nchi masikini unataka uweke hospital.kwa viongozi wengine je ? Tupambane haki zetu bado watu hawajui mlo wa pili itakuwaje zaidi 60% umasikiniii mkubwaa
 
Shida sio mjengo tu, ishu iko hapa, madokta wetu wengi wamesoma hapa hapa bongo kwenye vyuo vyetu visivyo na ubora, ambsvyo alama za kufaulu zinuzwa kwa pesa au ngono, sasa viongozi wetu wanajua hili kwamba tuna madokta fake kila Kona, na ni yupo taysri kutibiwa na dokta aliyefoji matokeo?
Pale muhimbili, iliwahi kutokea, mgonjwa wa kichwa, kapasuliwa mguu, wa mguu kapasuliwa kichwa. ! Hata ungekuwa ni wewe upo taysri kuweka maisha yako na afya yako kwenye mikono ya *madokta" Wa mchongo kama hawa!
 
Kifo ni kifo tu. Waache hawa jamaa wanaojiita viongozi waendelee na usanii wao, eti CCM imejenga hospitali bora za kisasa halafu wenyewe wanatibiwa nje ya nchi tena kwa gharama ya nchi,halafu sisi wananchi wa vipato vya chini tunagharamia matibabu na hata ukifa maiti inatozwa gharama za matibabu. Wacha waendelee kufa huko huko.
 
Ifahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu

Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu

India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu

Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?

Ajabu ni kwamba utakuta hata jamii yako Kijijini hawana zahanati lakini unawafikiria viongozi wasioona kama kuna Hospitali yeyote inayowafaa hapa Nchini. Utumwa wa Fikra hautakaa ututoke vichwani mwetu, wacha tuendelee kuitwa Chawa tu

Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?

Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
 
Back
Top Bottom