Narudia tena kifo hakina ubora ni maumivu tuBora ufie India ipo hadhi kuliko mzena.
Ukienda India lazima uludishwe umekaushwa na chloroform 😁😁😁..🤣
Napenyea wapi chief
Huko ni kwa wale wanadhani wakifika huko basi bado wataishi
Viongozi wetu sometime wanakuwa ni kama hamnazo vile..!Huu mtindo wa kwenda India umerudi kwa kasi ya ajabu.
Magufuli alidhibiti hii hali na walio kuwa wanapewa kibali ni wachache sana, kulikoni sasa tena.
Waziri wa Afya Mama Jenista Muhagama anapaswa adhibiti hii hali.
Wamekuwa hawaviamini kwa sababu wanajua, uwekezaji wake ni hafifu ndio maanaViongozi wanasifia kuongeza hospital na vituo vya afya nchini ila wenyewe hawaviamini hata kidogo. Wakipata mafua tu wanaruka India bongo wanarudi kuzikwa tu. Ila wanataka wewe umsomeshe mwanao shule ya kata na atibiwe Mloganzila.
Bora waende SA, Ulaya au Amerika ila huko gharama za matibabu ni kubwa maradufu ila India ni pango la walanguzi wanaenda kuisha tu huko kwenye hiyo nchi ya tatu iliyochangamka.
Tatizo ni knowledge mzee hao ngozi nyeupe bado hawajatupa knowledge na uwezo kama wao bado kuna ka elimu fulan iv kamefichwa shida sio vifaa, wala majengo mazuriIfahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu
Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu
India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu
Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?
Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?
Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
Hospitali sio majengo. Tuna wataalamu wa kutosha kwenye mambo ya afya? Serikali iwekeze zaidi kwenye elimu. Ikumbukwe elimu pia sio majengo tu.Ifahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu
Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu
India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu
Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?
Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?
Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
Yule kijana anajielewa basi?Leo hapa huwezi kumuona The Sunk Cost Fallacy 2 | ChoiceVariable akisema "mama amejenga" hospitali 10000 za kisasa .
Hospitali sio majengo Bali vifaa tiba vya Kisasa na utaalami ubobezi.Ifahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu
Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu
India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu
Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?
Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?
Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua