Magufuli alithibiti, halafu kilichofuata akafia Mzena Hospitali KijitonyamaHuu mtindo wa kwenda India umerudi kwa kasi ya ajabu.
Magufuli alidhibiti hii hali na walio kuwa wanapewa kibali ni wachache sana, kulikoni sasa tena.
Waziri wa Afya Mama Jenista Muhagama anapaswa adhibiti hii hali.
Ni nadra sana kuona mtu mwenye pesa anakufa miaka 50 sijui Nini kinaendelea
Na hawakufa IndiaSteve jobs mwenye apple kafa na miaka 52.
Yusuph manji tajiri mkubwa kafa na miaka 49.
Ruge mutahaba kafa na miaka 49
Michael Jackson kafa na miaka ya early 50s
ADANI anawekeza kwenye Bima ya Afya 🐼
Ni Unyani tu,ApedomiaIfahamike kwamba, inaeezekana kabisa kuwachukia viongozi wetu kwa baadhi ya mambo hasa ya kisiasa ila si kuona wala kusikia wakifa mara tu wanapougua na kwenda India kwa matibabu
Kama Taifa, kweli kabisa hatuna uwezo wa kujenga miundombinu bora na vifaa tiba vyote vinavyokidhi ubora kama India ambako viongozi wengi sasa wakiugua tu, utasikia wamepelekwa India kwenye matibabu
India sasa imekuwa kama Jehanamu inayomeza viongozi wetu
Kinazuwia nini sisi kujenga Hospital ya kisasa na vifaa tiba vya kisasa ili kuepuka kusafirishwa viongozi wetu kwenda India kisha kurudi maiti?
Ni nani mwenye uthubutu wa kufanya hili?
Viongozi wetu tunawapenda, ifike hatua na nyinyi mpendeke, vaeni uthubutu wa kuanzisha mambo magumu kwenye ubongo wetu, Magufuli alisema, Kila kitu tu aweza, kazi ni sisi kuamua
Si aliamini kuwa kutibiwa nje ni matumizi mabaya ya fedha za wananchi.Unadhani angefia wapi ambako kifo hakiwezi kuitwa kifo?
Imekuwa kawaida kila mmoja kukumbilia India
Naona wengi ni mkumbo tu
Yaani nina hela nisiende Germany nikimbilie India
Hao wanaoenda naona labda ni hatua za mwisho
Lakini mbona wanasema Muhimbili mpaka wanafunzi toka nje wanakuja kujifunza?
Au kugunga plaster tu
Hawa viongozi nao bogus wengi, yaani wanaacha hospital za maana wanaenda Apollo
Mkuu, hongera mno kufanya kazi kwenye hospital ya kimataifaNilipata nafasi ya kufanya matibabu hospitali ya Appollo india, ukweli ni kuwa hakuna lisilowezekana. Ukweli bongo hatujawa serious tu